Uchaguzi 2020 NEC yataka wagombea wasiwe na matokeo mfukoni

Mnyaturu ana tiketi kabisa. Anawaachia vumbi tar 30.
Unajua Mami . Unachokikataa kwa mshindani wako , uwe wa kwanza kukipractis . Ccm na mgombea wao hawana ndoto za kushindwa hata kabla ya kura kupigwa !!. Utawalaumu vipi upande wa pili kuwa na dhana ya udanganyifu ndani ya tume ?!.
 
Minyoo ya nguruwe ilishaharibu kichwa chako. JPM ni rais wa JMT pia ni mgombea wa Ccm. Tumia akili we kenge.
Wewe mbweha acha umbumbumbu ujuha uzuzu usifikiri Bangi zako ndizo zinapiga kura, wapiga kura hawavuti Bangi ni wapenda haki na hiyo haki haipo CCM ndiyo maana kutwa kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi uonevu unyanyasaji uovu mwingi, watu wamechoka na manyanyaso yenu
 
Unajua Mami . Unachokikataa kwa mshindani wako , uwe wa kwanza kukipractis . Ccm na mgombea wao hawana ndoto za kushindwa hata kabla ya kura kupigwa !!. Utawalaumu vipi upande wa pili kuwa na dhana ya udanganyifu ndani ya tume ?!.
Hata kwa kuangalia tu jinsi Ccm ilivyofanya kazi nzuri kuna mwananchi wa kuwanyima kura?
Hilo la udanganyifu ndani ya tume ni kisingizio cha miaka mingi kwa wanaCdm.
 
Unajua Mami . Unachokikataa kwa mshindani wako , uwe wa kwanza kukipractis . Ccm na mgombea wao hawana ndoto za kushindwa hata kabla ya kura kupigwa !!. Utawalaumu vipi upande wa pili kuwa na dhana ya udanganyifu ndani ya tume ?!.
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila uchakachuaji bila wizi wa kura ni weupe
 
Wewe mbweha acha umbumbumbu ujuha uzuzu usifikiri Bangi zako ndizo zinapiga kura, wapiga kura hawavuti Bangi ni wapenda haki na hiyo haki haipo CCM ndiyo maana kutwa kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi uonevu unyanyasaji uovu mwingi, watu wamechoka na manyanyaso yenu
Tulia tar 28 utapata majibu,ila hasira usipeleke kwenye bangi na faru John.
 
Hata kwa kuangalia tu jinsi Ccm ilivyofanya kazi nzuri kuna mwananchi wa kuwanyima kura?
Hilo la udanganyifu ndani ya tume ni kisingizio cha miaka mingi kwa wanaCdm.
Maendeleo siyo Hisani za CCM maendeleo siyo msaada wa CCM, maendeleo ni kodi za watanzania wote wenye vyama na wasio na vyama, maendeleo siyo pesa binafsi tokea mfukoni mwa mtukufu Mkoloni mweusi kaburu
 
Tarehe 28 Tanzania inaenda kupata Uhuru kama mwaka 1961 toka kwa kaburu Mkoloni mweusi toka chato.
 
Hata kwa kuangalia tu jinsi Ccm ilivyofanya kazi nzuri kuna mwananchi wa kuwanyima kura?
Hilo la udanganyifu ndani ya tume ni kisingizio cha miaka mingi kwa wanaCdm.
Kazi nzuri ipi ya kuwafanya wananchi wasichague watu mbadala ?!. Je ni kuwanyima wasomi wetu ajira ? Je ni kututungia sheria mbovu ?! Kama hizi za kugawana mahekalu, au zile za kutokishtakiwa hata kama wakitenda makosa vipindi vyao vya uongozi ?!

Kazi gani hizo ?!. Ufaransa ndani ya miaka hii michache, wamebadili vyama na ma Rais wao through uchaguzi, hata kama uchumi wao na huduma ni zaidi ya mara 1000 kulinganisha na sie !! Kazi gani ya kulazimisha watu wasimtoe huyu mtu ?!
 
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewataka wagombea wanaowania nafasi za kuchaguliwa kupitia Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani, utakaofanyika wiki ijayo waache kuwa na matokeo mifukoni mwao, bali watambue kuna kushinda na kushindwa.

Mkurugenzi wa Uchaguzi NEC, Dk Willson Mahera, alitoa tahadhari hiyo kwenye kongamano la amani, lililoandaliwa na Taasisi ya Kiislamu ya Twariga jijini Arusha.

Alitahadharisha kuwa wagombea wakiamini ni lazima watashinda, itasababisha vurugu na uvunjifu wa amani matokeo yakitoka tofauti na matarajio yao.

“Tatizo ninaloliona wapo baadhi ya wagombea wanakwenda kupiga kura wakijiaminisha tayari wameshashinda na inapotokea wameshindwa kihalali wanakataa matokeo,” alisema.
Kongamano hilo lilihudhuriwa na viongozi wa dini, wa vyama vya siasa na wa mila wa makabila mbalimbali mkoani humo kwa lengo la kusisitiza wananchi walinde amani wakati huu nchi ikijiandaa kwa Uchaguzi Mkuu.

Dk Mahera alisema NEC itahakikisha inatenda haki na kuwatangaza wagombea watakaoshinda kihalali kwenye nafasi ya urais, ubunge na udiwani.
Aliwataka wagombea watakaoshindwa, wakubali matokeo na wasiwe sehemu ya kuanzisha vurugu.

“Mgombea yeyote atakayeshinda uchaguzi atatangazwa bila kujali anatoka chama kipi cha siasa hivyo wanaotaka kujitangaza kuwa wameshinda kabla ya upigwaji kura wanajidanganya,” alisema.

Dk Mahera alisema NEC itatenda haki kwa kila mgombea kwa kuzingatia sheria za uchaguzi, katiba ya nchi, kanuni na taratibu za uchaguzi na si vinginevyo.

Kuhusu madai kuwa matokeo ya baadhi ya wagombea kutoka vyama vya upinzani hubadilishwa, Dk Mahera alisema jambo hilo haliwezi kutokea kwa kuwa sheria hairuhusu kubadili matokeo ila kumtangaza mtu aliyeshinda kwa kupata kura nyingi kuliko wagombea wengine.

“Vyama vya siasa vitaweka mawakala kwenye vituo vya kupigia kura na wakati wa kuhesabu kura na wakati wa kutangaza matokeo watashiriki kikamilifu, hivyo siyo rahisi mawakala wa vyama vyote wawepo kwenye vituo halafu matokeo ya kura kubadilishwa,” alisema.

Akizungumza kwa niaba ya mgeni rasmi katika kongamano hilo, Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini na Kati, Naibu Katibu Mkuu wa Misioni na Uinjilisti, Jasson Kahembe, aliwataka wananchi kutambua kuna maisha baada ya uchaguzi hivyo waepuke vurugu.

“Kuna maisha baada ya uchaguzi, Tanzania kwanza watu wasifikirie leo bali waangalie na kesho itakuwaje, neno la Mungu kutoka kitabu kitakatifu cha Biblia linasema haki huinua taifa bali dhambi ni aibu kwa watu wote,” alisema.

“Mungu aliwaahidi wana wa Israel kama watamsikiliza, kumtii na kufuata maagizo yake atawabariki, lakini pia aliwaambia watalaaniwa kama watakwenda kinyume na maagizo yake, hivyo taifa lenye utii mbele za Mungu hubarikiwa.”

“Tunapoelekea katika uchaguzi tutambue tunataka mafanikio ya Watanzania na siyo ya tunaowapenda, hivyo tuchague aina ya maisha tunayohitaji kuishi na siyo watu tunaowapenda sisi, pia tusifurahishwe na maneno mazuri ya wagombea wakiwa majukwaani kwa kuwa hizo ni harakati za kutafuta mchumba na uzuri, lakini ubaya wa mchumba hujulikana baada ya harusi,” alisema.

Msemaji wa Taasisi ya Kiislamu ya Twariqa, Shehe Haruna Hussein aliwataka viongozi wa dini wasimame kwenye nafasi yao, wahubiri amani, wasiwe sehemu ya wanasiasa na wasiwachagulie wananchi mgombea, kwa kuwa wakifanya hivyo wanawagawa waumini.

“Viongozi wa dini hatupaswi kusimama kwenye majukwaa ya kisiasa kusema mgombea huyu anafaa kuwa kiongozi na mgombea mwingine hafai, naomba tuache wananchi wafanye uamuzi wao wenye kwenye sanduku la kura,” alisema Shehe Haruna.

HabariLeo

Hivi kwanini viongozi wa dini wakisema mgombea wa CCM anafaa watu wote wanakuwa kimya lakini wakisema mgombea wa upinzani anafaa watu wanatoka hadi ubunguni kukemea kugawa wananchi, hivi wananchi wanagawanyika viongozi wadini wanapomuunga mkono mgombea wa upinzani tu.

Na huyo Mehera asiumeume maneno atamke kwamba mawakala wa vyama vya upinzani wataapishwa na wataruhusiwa vituoni na pia watapewa nakala za matokeo hicho pekee ndicho kitazuia matokeo kubadilishwa. Lakini kusema sheria wakati mara zote majimbo waliyoshinda wapinzani huwa hayatangazwi hadi washindwe kabisa kubadilisha kutokana na nguvu ya umma ndipo watangaze
 
Kazi nzuri ipi ya kuwafanya wananchi wasichague watu mbadala ?!. Je ni kuwanyima wasomi wetu ajira ? Je ni kututungia sheria mbovu ?! Kama hizi za kugawana mahekalu, au zile za kutokishtakiwa hata kama wakitenda makosa vipindi vyao vya uongozi ?!

Kazi gani hizo ?!. Ufaransa ndani ya miaka hii michache, wamebadili vyama na ma Rais wao through uchaguzi, hata kama uchumi wao na huduma ni zaidi ya mara 1000 kulinganisha na sie !! Kazi gani ya kulazimisha watu wasimtoe huyu mtu ?!
Suala la ajira ni tatizo kubwa sana hapa duniani

Lakini leo hii akina mama wa mkoa wa Mara huwezi kuwaambia kitu juu ya kiongozi aliyewajengea hospital ya rufaa,hapo awali walisafiri umbali mrefu.

Kubadili marais hata hapa Tanzania tunabadili kila baada ya miaka mitano. Kwa hiyo suala la msingi ni maendeleo.
 
Suala la ajira ni tatizo kubwa sana hapa duniani

Lakini leo hii akina mama wa mkoa wa Mara huwezi kuwaambia kitu juu ya kiongozi aliyewajengea hospital ya rufaa,hapo awali walisafiri umbali mrefu.

Kubadili marais hata hapa Tanzania tunabadili kila baada ya miaka mitano. Kwa hiyo suala la msingi ni maendeleo.
Ahahahaaaa Mami
Shukuruni tume si huru
 
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewataka wagombea wanaowania nafasi za kuchaguliwa kupitia Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani, utakaofanyika wiki ijayo waache kuwa na matokeo mifukoni mwao, bali watambue kuna kushinda na kushindwa.

Mkurugenzi wa Uchaguzi NEC, Dk Willson Mahera, alitoa tahadhari hiyo kwenye kongamano la amani, lililoandaliwa na Taasisi ya Kiislamu ya Twariga jijini Arusha.

Alitahadharisha kuwa wagombea wakiamini ni lazima watashinda, itasababisha vurugu na uvunjifu wa amani matokeo yakitoka tofauti na matarajio yao.

“Tatizo ninaloliona wapo baadhi ya wagombea wanakwenda kupiga kura wakijiaminisha tayari wameshashinda na inapotokea wameshindwa kihalali wanakataa matokeo,” alisema.
Kongamano hilo lilihudhuriwa na viongozi wa dini, wa vyama vya siasa na wa mila wa makabila mbalimbali mkoani humo kwa lengo la kusisitiza wananchi walinde amani wakati huu nchi ikijiandaa kwa Uchaguzi Mkuu.

Dk Mahera alisema NEC itahakikisha inatenda haki na kuwatangaza wagombea watakaoshinda kihalali kwenye nafasi ya urais, ubunge na udiwani.
Aliwataka wagombea watakaoshindwa, wakubali matokeo na wasiwe sehemu ya kuanzisha vurugu.

“Mgombea yeyote atakayeshinda uchaguzi atatangazwa bila kujali anatoka chama kipi cha siasa hivyo wanaotaka kujitangaza kuwa wameshinda kabla ya upigwaji kura wanajidanganya,” alisema.

Dk Mahera alisema NEC itatenda haki kwa kila mgombea kwa kuzingatia sheria za uchaguzi, katiba ya nchi, kanuni na taratibu za uchaguzi na si vinginevyo.

Kuhusu madai kuwa matokeo ya baadhi ya wagombea kutoka vyama vya upinzani hubadilishwa, Dk Mahera alisema jambo hilo haliwezi kutokea kwa kuwa sheria hairuhusu kubadili matokeo ila kumtangaza mtu aliyeshinda kwa kupata kura nyingi kuliko wagombea wengine.

“Vyama vya siasa vitaweka mawakala kwenye vituo vya kupigia kura na wakati wa kuhesabu kura na wakati wa kutangaza matokeo watashiriki kikamilifu, hivyo siyo rahisi mawakala wa vyama vyote wawepo kwenye vituo halafu matokeo ya kura kubadilishwa,” alisema.

Akizungumza kwa niaba ya mgeni rasmi katika kongamano hilo, Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini na Kati, Naibu Katibu Mkuu wa Misioni na Uinjilisti, Jasson Kahembe, aliwataka wananchi kutambua kuna maisha baada ya uchaguzi hivyo waepuke vurugu.

“Kuna maisha baada ya uchaguzi, Tanzania kwanza watu wasifikirie leo bali waangalie na kesho itakuwaje, neno la Mungu kutoka kitabu kitakatifu cha Biblia linasema haki huinua taifa bali dhambi ni aibu kwa watu wote,” alisema.

“Mungu aliwaahidi wana wa Israel kama watamsikiliza, kumtii na kufuata maagizo yake atawabariki, lakini pia aliwaambia watalaaniwa kama watakwenda kinyume na maagizo yake, hivyo taifa lenye utii mbele za Mungu hubarikiwa.”

“Tunapoelekea katika uchaguzi tutambue tunataka mafanikio ya Watanzania na siyo ya tunaowapenda, hivyo tuchague aina ya maisha tunayohitaji kuishi na siyo watu tunaowapenda sisi, pia tusifurahishwe na maneno mazuri ya wagombea wakiwa majukwaani kwa kuwa hizo ni harakati za kutafuta mchumba na uzuri, lakini ubaya wa mchumba hujulikana baada ya harusi,” alisema.

Msemaji wa Taasisi ya Kiislamu ya Twariqa, Shehe Haruna Hussein aliwataka viongozi wa dini wasimame kwenye nafasi yao, wahubiri amani, wasiwe sehemu ya wanasiasa na wasiwachagulie wananchi mgombea, kwa kuwa wakifanya hivyo wanawagawa waumini.

“Viongozi wa dini hatupaswi kusimama kwenye majukwaa ya kisiasa kusema mgombea huyu anafaa kuwa kiongozi na mgombea mwingine hafai, naomba tuache wananchi wafanye uamuzi wao wenye kwenye sanduku la kura,” alisema Shehe Haruna.

HabariLeo
Wewe umekaa kimya wakati watendaji wako wanahujumu wagombea wa upinzani halafu unapanua domo lako chafu kutoa shombo. Wewe ICC inakuhusu.
 
Back
Top Bottom