Singo Batan
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 292
- 191
Wanaobeza na kujilalamisha hapa wote hakuna mwenye facts za namna gani Tume ilifanya vibaya kwenye uchaguzi mkuu wa 2020. Wote wanakuja na porojo za WANASIASAMKURUGENZI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk Wilson Mahera ametoa wito kwa viongozi, wadau wote wa uchaguzi kuendelea kujipanga kikamilifu kuhakikisha uchaguzi ujao unakuwa bora, mzuri na kuaminika katika jamii na ulimwenguni kote.
Alisema hayo juzi wakati akifungua kikao cha wadau wa uchaguzi kujadili na kuchangia taarifa ya uchaguzi 2020, kilichoandaliwa na Kituo cha Amani Haki na Msaada wa Kisheria Tanzania (PLAJC). "Tanzania ni nchi yenye misingi ya demokrasia inayozingatia sheria, ni imani yangu mapendekezo yatakayotokana na kikao hiki yatajielekeza katika kuboresha na kuimarisha demokrasia nchini na hatimaye kukuza na kudumisha umoja na mshikamano wa kitaifa," alisema.
Alisema uchaguzi ni muhimu katika nchi kwani unaashiria kukua na kukomaa kwa demokrasia katika nchi, kupitia uchaguzi wananchi hupata fursa na kuchagua viongozi wanaowataka kwa hiari.
“Kwa upande mwingine uchaguzi unawafanya viongozi waliochaguliwa kufanya kazi kwa kujiamini kwa kuwa wana ridhaa ya wananchi wanaowaongoza.
Pamoja na ukweli huo ili uchaguzi ukidhi malengo hayo ni lazima usimamiwe vizuri na kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki,” alisema.
Mwenyekiti wa PLAJC, Leatitia Petro alisema kikao hicho ni kwa ajili ya kujadili na kuchambua taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ya NEC pamoja na taarifa mbalimbali za wadau wa ndani na nje waliopewa vibali na tume kuangalia uchaguzi mkuu 2020.
Alipongeza serikali kwa kugharamia shughuli za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kwa asilimia 100.
Pia alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kujenga mazingira wezeshi kwa taasisi zisizo za kiserikali kuendelea kufanya kazi za kuleta maendeleo kwa wananchi.
Ungeandika "anakunya"!Kujisaidia ni hata kukojoa tu.Mahera yuko chooni "anajisaidia" hawezi kuhisi harufu ya kinyesi chake na hata akihisi harufu kamwe hawezi kuikimbia hiyo harufu mpk amalize "kijisaidia"
Mahela mwingine au yule mchafuzi wa uchaguzi uleeeMKURUGENZI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk Wilson Mahera ametoa wito kwa viongozi, wadau wote wa uchaguzi kuendelea kujipanga kikamilifu kuhakikisha uchaguzi ujao unakuwa bora, mzuri na kuaminika katika jamii na ulimwenguni kote.
Alisema hayo juzi wakati akifungua kikao cha wadau wa uchaguzi kujadili na kuchangia taarifa ya uchaguzi 2020, kilichoandaliwa na Kituo cha Amani Haki na Msaada wa Kisheria Tanzania (PLAJC). "Tanzania ni nchi yenye misingi ya demokrasia inayozingatia sheria, ni imani yangu mapendekezo yatakayotokana na kikao hiki yatajielekeza katika kuboresha na kuimarisha demokrasia nchini na hatimaye kukuza na kudumisha umoja na mshikamano wa kitaifa," alisema.
Alisema uchaguzi ni muhimu katika nchi kwani unaashiria kukua na kukomaa kwa demokrasia katika nchi, kupitia uchaguzi wananchi hupata fursa na kuchagua viongozi wanaowataka kwa hiari.
“Kwa upande mwingine uchaguzi unawafanya viongozi waliochaguliwa kufanya kazi kwa kujiamini kwa kuwa wana ridhaa ya wananchi wanaowaongoza.
Pamoja na ukweli huo ili uchaguzi ukidhi malengo hayo ni lazima usimamiwe vizuri na kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki,” alisema.
Mwenyekiti wa PLAJC, Leatitia Petro alisema kikao hicho ni kwa ajili ya kujadili na kuchambua taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ya NEC pamoja na taarifa mbalimbali za wadau wa ndani na nje waliopewa vibali na tume kuangalia uchaguzi mkuu 2020.
Alipongeza serikali kwa kugharamia shughuli za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kwa asilimia 100.
Pia alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kujenga mazingira wezeshi kwa taasisi zisizo za kiserikali kuendelea kufanya kazi za kuleta maendeleo kwa wananchi.
Watanzania wengine bwana sijui kama mnajua mnachotaka mlitaka Uchaguzi uendeshwe kwa kufuata maelekezo ya wazungu? Sasa Mahera kasimamia Sheria mnawewesekaHuyu hakupaswa awe amekalia hicho kiti. Ni basi Tu nchi yetu haina utamaduni WA kuwajibika.
Hongereni Sana NEC kwa kuendelea kujipambanua katika dira yenu kutoka kuwa chombo kinachoaminika ktk kusimamia Uchaguzi Africa mpka kuwa chombo Bora kinachoaminika Ulimwengu mzima.Hii ni dira yenyeMKURUGENZI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk Wilson Mahera ametoa wito kwa viongozi, wadau wote wa uchaguzi kuendelea kujipanga kikamilifu kuhakikisha uchaguzi ujao unakuwa bora, mzuri na kuaminika katika jamii na ulimwenguni kote.
Alisema hayo juzi wakati akifungua kikao cha wadau wa uchaguzi kujadili na kuchangia taarifa ya uchaguzi 2020, kilichoandaliwa na Kituo cha Amani Haki na Msaada wa Kisheria Tanzania (PLAJC). "Tanzania ni nchi yenye misingi ya demokrasia inayozingatia sheria, ni imani yangu mapendekezo yatakayotokana na kikao hiki yatajielekeza katika kuboresha na kuimarisha demokrasia nchini na hatimaye kukuza na kudumisha umoja na mshikamano wa kitaifa," alisema.
Alisema uchaguzi ni muhimu katika nchi kwani unaashiria kukua na kukomaa kwa demokrasia katika nchi, kupitia uchaguzi wananchi hupata fursa na kuchagua viongozi wanaowataka kwa hiari.
“Kwa upande mwingine uchaguzi unawafanya viongozi waliochaguliwa kufanya kazi kwa kujiamini kwa kuwa wana ridhaa ya wananchi wanaowaongoza.
Pamoja na ukweli huo ili uchaguzi ukidhi malengo hayo ni lazima usimamiwe vizuri na kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki,” alisema.
Mwenyekiti wa PLAJC, Leatitia Petro alisema kikao hicho ni kwa ajili ya kujadili na kuchambua taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ya NEC pamoja na taarifa mbalimbali za wadau wa ndani na nje waliopewa vibali na tume kuangalia uchaguzi mkuu 2020.
Alipongeza serikali kwa kugharamia shughuli za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kwa asilimia 100.
Pia alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kujenga mazingira wezeshi kwa taasisi zisizo za kiserikali kuendelea kufanya kazi za kuleta maendeleo kwa wananchi.
MKURUGENZI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk Wilson Mahera ametoa wito kwa viongozi, wadau wote wa uchaguzi kuendelea kujipanga kikamilifu kuhakikisha uchaguzi ujao unakuwa bora, mzuri na kuaminika katika jamii na ulimwenguni kote.
Alisema hayo juzi wakati akifungua kikao cha wadau wa uchaguzi kujadili na kuchangia taarifa ya uchaguzi 2020, kilichoandaliwa na Kituo cha Amani Haki na Msaada wa Kisheria Tanzania (PLAJC). "Tanzania ni nchi yenye misingi ya demokrasia inayozingatia sheria, ni imani yangu mapendekezo yatakayotokana na kikao hiki yatajielekeza katika kuboresha na kuimarisha demokrasia nchini na hatimaye kukuza na kudumisha umoja na mshikamano wa kitaifa," alisema.
Alisema uchaguzi ni muhimu katika nchi kwani unaashiria kukua na kukomaa kwa demokrasia katika nchi, kupitia uchaguzi wananchi hupata fursa na kuchagua viongozi wanaowataka kwa hiari.
“Kwa upande mwingine uchaguzi unawafanya viongozi waliochaguliwa kufanya kazi kwa kujiamini kwa kuwa wana ridhaa ya wananchi wanaowaongoza.
Pamoja na ukweli huo ili uchaguzi ukidhi malengo hayo ni lazima usimamiwe vizuri na kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki,” alisema.
Mwenyekiti wa PLAJC, Leatitia Petro alisema kikao hicho ni kwa ajili ya kujadili na kuchambua taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ya NEC pamoja na taarifa mbalimbali za wadau wa ndani na nje waliopewa vibali na tume kuangalia uchaguzi mkuu 2020.
Alipongeza serikali kwa kugharamia shughuli za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kwa asilimia 100.
Pia alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kujenga mazingira wezeshi kwa taasisi zisizo za kiserikali kuendelea kufanya kazi za kuleta maendeleo kwa wananchi.
Huyo Mahera atakuwa amechanganyikiwa, sio bure.MKURUGENZI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk Wilson Mahera ametoa wito kwa viongozi, wadau wote wa uchaguzi kuendelea kujipanga kikamilifu kuhakikisha uchaguzi ujao unakuwa bora, mzuri na kuaminika katika jamii na ulimwenguni kote.
Alisema hayo juzi wakati akifungua kikao cha wadau wa uchaguzi kujadili na kuchangia taarifa ya uchaguzi 2020, kilichoandaliwa na Kituo cha Amani Haki na Msaada wa Kisheria Tanzania (PLAJC). "Tanzania ni nchi yenye misingi ya demokrasia inayozingatia sheria, ni imani yangu mapendekezo yatakayotokana na kikao hiki yatajielekeza katika kuboresha na kuimarisha demokrasia nchini na hatimaye kukuza na kudumisha umoja na mshikamano wa kitaifa," alisema.
Alisema uchaguzi ni muhimu katika nchi kwani unaashiria kukua na kukomaa kwa demokrasia katika nchi, kupitia uchaguzi wananchi hupata fursa na kuchagua viongozi wanaowataka kwa hiari.
“Kwa upande mwingine uchaguzi unawafanya viongozi waliochaguliwa kufanya kazi kwa kujiamini kwa kuwa wana ridhaa ya wananchi wanaowaongoza.
Pamoja na ukweli huo ili uchaguzi ukidhi malengo hayo ni lazima usimamiwe vizuri na kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki,” alisema.
Mwenyekiti wa PLAJC, Leatitia Petro alisema kikao hicho ni kwa ajili ya kujadili na kuchambua taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ya NEC pamoja na taarifa mbalimbali za wadau wa ndani na nje waliopewa vibali na tume kuangalia uchaguzi mkuu 2020.
Alipongeza serikali kwa kugharamia shughuli za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kwa asilimia 100.
Pia alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kujenga mazingira wezeshi kwa taasisi zisizo za kiserikali kuendelea kufanya kazi za kuleta maendeleo kwa wananchi.
madness...dunia yote inajua NEC is fully owned by ccm. Haiwezi ikatenda hakiMKURUGENZI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk Wilson Mahera ametoa wito kwa viongozi, wadau wote wa uchaguzi kuendelea kujipanga kikamilifu kuhakikisha uchaguzi ujao unakuwa bora, mzuri na kuaminika katika jamii na ulimwenguni kote.
Alisema hayo juzi wakati akifungua kikao cha wadau wa uchaguzi kujadili na kuchangia taarifa ya uchaguzi 2020, kilichoandaliwa na Kituo cha Amani Haki na Msaada wa Kisheria Tanzania (PLAJC). "Tanzania ni nchi yenye misingi ya demokrasia inayozingatia sheria, ni imani yangu mapendekezo yatakayotokana na kikao hiki yatajielekeza katika kuboresha na kuimarisha demokrasia nchini na hatimaye kukuza na kudumisha umoja na mshikamano wa kitaifa," alisema.
Alisema uchaguzi ni muhimu katika nchi kwani unaashiria kukua na kukomaa kwa demokrasia katika nchi, kupitia uchaguzi wananchi hupata fursa na kuchagua viongozi wanaowataka kwa hiari.
“Kwa upande mwingine uchaguzi unawafanya viongozi waliochaguliwa kufanya kazi kwa kujiamini kwa kuwa wana ridhaa ya wananchi wanaowaongoza.
Pamoja na ukweli huo ili uchaguzi ukidhi malengo hayo ni lazima usimamiwe vizuri na kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki,” alisema.
Mwenyekiti wa PLAJC, Leatitia Petro alisema kikao hicho ni kwa ajili ya kujadili na kuchambua taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ya NEC pamoja na taarifa mbalimbali za wadau wa ndani na nje waliopewa vibali na tume kuangalia uchaguzi mkuu 2020.
Alipongeza serikali kwa kugharamia shughuli za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kwa asilimia 100.
Pia alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kujenga mazingira wezeshi kwa taasisi zisizo za kiserikali kuendelea kufanya kazi za kuleta maendeleo kwa wananchi.
Unaongea nini?Muda unaongea...
Nini maana ya Legendary?Mahera mwenyewe soon anang`olewa pale tume, ni mmoja wa masalia ya Legendary Pombe so acha aongee kwa mara ya mwisho kabla hajarudi kule.
NEC inafanya kazi zake kwa weledi so hatuna shaka nayo kabisa na tunaamini wataendeleza kazi nzuri hongera kwao..MKURUGENZI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk Wilson Mahera ametoa wito kwa viongozi, wadau wote wa uchaguzi kuendelea kujipanga kikamilifu kuhakikisha uchaguzi ujao unakuwa bora, mzuri na kuaminika katika jamii na ulimwenguni kote.
Alisema hayo juzi wakati akifungua kikao cha wadau wa uchaguzi kujadili na kuchangia taarifa ya uchaguzi 2020, kilichoandaliwa na Kituo cha Amani Haki na Msaada wa Kisheria Tanzania (PLAJC). "Tanzania ni nchi yenye misingi ya demokrasia inayozingatia sheria, ni imani yangu mapendekezo yatakayotokana na kikao hiki yatajielekeza katika kuboresha na kuimarisha demokrasia nchini na hatimaye kukuza na kudumisha umoja na mshikamano wa kitaifa," alisema.
Alisema uchaguzi ni muhimu katika nchi kwani unaashiria kukua na kukomaa kwa demokrasia katika nchi, kupitia uchaguzi wananchi hupata fursa na kuchagua viongozi wanaowataka kwa hiari.
“Kwa upande mwingine uchaguzi unawafanya viongozi waliochaguliwa kufanya kazi kwa kujiamini kwa kuwa wana ridhaa ya wananchi wanaowaongoza.
Pamoja na ukweli huo ili uchaguzi ukidhi malengo hayo ni lazima usimamiwe vizuri na kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki,” alisema.
Mwenyekiti wa PLAJC, Leatitia Petro alisema kikao hicho ni kwa ajili ya kujadili na kuchambua taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ya NEC pamoja na taarifa mbalimbali za wadau wa ndani na nje waliopewa vibali na tume kuangalia uchaguzi mkuu 2020.
Alipongeza serikali kwa kugharamia shughuli za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kwa asilimia 100.
Pia alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kujenga mazingira wezeshi kwa taasisi zisizo za kiserikali kuendelea kufanya kazi za kuleta maendeleo kwa wananchi.
Wadau ni vyema kweli wakajipanga. Na Wadau wakuu wa Uchaguzi ni Vyama vya Siasa, Badala ya Wadau kuhangaika na mambo ambayo sibya msingi ni vyema wakajikita Sasa nankuimarisha Vyama vyao kuanzia ngazi ya mashina au matawi kwani huko ndiko kuna wapiga kura wao.MKURUGENZI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk Wilson Mahera ametoa wito kwa viongozi, wadau wote wa uchaguzi kuendelea kujipanga kikamilifu kuhakikisha uchaguzi ujao unakuwa bora, mzuri na kuaminika katika jamii na ulimwenguni kote.
Alisema hayo juzi wakati akifungua kikao cha wadau wa uchaguzi kujadili na kuchangia taarifa ya uchaguzi 2020, kilichoandaliwa na Kituo cha Amani Haki na Msaada wa Kisheria Tanzania (PLAJC). "Tanzania ni nchi yenye misingi ya demokrasia inayozingatia sheria, ni imani yangu mapendekezo yatakayotokana na kikao hiki yatajielekeza katika kuboresha na kuimarisha demokrasia nchini na hatimaye kukuza na kudumisha umoja na mshikamano wa kitaifa," alisema.
Alisema uchaguzi ni muhimu katika nchi kwani unaashiria kukua na kukomaa kwa demokrasia katika nchi, kupitia uchaguzi wananchi hupata fursa na kuchagua viongozi wanaowataka kwa hiari.
“Kwa upande mwingine uchaguzi unawafanya viongozi waliochaguliwa kufanya kazi kwa kujiamini kwa kuwa wana ridhaa ya wananchi wanaowaongoza.
Pamoja na ukweli huo ili uchaguzi ukidhi malengo hayo ni lazima usimamiwe vizuri na kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki,” alisema.
Mwenyekiti wa PLAJC, Leatitia Petro alisema kikao hicho ni kwa ajili ya kujadili na kuchambua taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ya NEC pamoja na taarifa mbalimbali za wadau wa ndani na nje waliopewa vibali na tume kuangalia uchaguzi mkuu 2020.
Alipongeza serikali kwa kugharamia shughuli za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kwa asilimia 100.
Pia alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kujenga mazingira wezeshi kwa taasisi zisizo za kiserikali kuendelea kufanya kazi za kuleta maendeleo kwa wananchi.
Watakuja kujificha kwako na hutawafanya chochote. Jipange vyema.Ngoja waendelee tu kuchezea akili za watu. Ipo siku watatafuta mahali pa kwenda kujificha baada ya watu kuchoshwa na uonevu wao.
Mungu akuponye na Imani yako ya kishirikina. Ungeweza kutumia uchawi huo basi ungesaidia Chama chako kushinda au hata kua na maendeleo.Kila aliyeshiriki kuhujumu maamuzi ya Watanzania kwenye uchafuzi wa 2020 ni lazima Mungu atamchapa hapahapa duniani.
Huyu siku si nyingi mtasikia tunkama siyo stroke, basi lolote baya na liwe juu yake Amen.
... the someone i mean that are, was very famous, admired by a lot of people and that many stories are told about him .Nini maana ya Legendary?