NEC yajipanga uchaguzi ujao kuaminiwa dunia nzima

MKURUGENZI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk Wilson Mahera ametoa wito kwa viongozi, wadau wote wa uchaguzi kuendelea kujipanga kikamilifu kuhakikisha uchaguzi ujao unakuwa bora, mzuri na kuaminika katika jamii na ulimwenguni kote.

Alisema hayo juzi wakati akifungua kikao cha wadau wa uchaguzi kujadili na kuchangia taarifa ya uchaguzi 2020, kilichoandaliwa na Kituo cha Amani Haki na Msaada wa Kisheria Tanzania (PLAJC). "Tanzania ni nchi yenye misingi ya demokrasia inayozingatia sheria, ni imani yangu mapendekezo yatakayotokana na kikao hiki yatajielekeza katika kuboresha na kuimarisha demokrasia nchini na hatimaye kukuza na kudumisha umoja na mshikamano wa kitaifa," alisema.

Alisema uchaguzi ni muhimu katika nchi kwani unaashiria kukua na kukomaa kwa demokrasia katika nchi, kupitia uchaguzi wananchi hupata fursa na kuchagua viongozi wanaowataka kwa hiari.

“Kwa upande mwingine uchaguzi unawafanya viongozi waliochaguliwa kufanya kazi kwa kujiamini kwa kuwa wana ridhaa ya wananchi wanaowaongoza.
Pamoja na ukweli huo ili uchaguzi ukidhi malengo hayo ni lazima usimamiwe vizuri na kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki,” alisema.

Mwenyekiti wa PLAJC, Leatitia Petro alisema kikao hicho ni kwa ajili ya kujadili na kuchambua taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ya NEC pamoja na taarifa mbalimbali za wadau wa ndani na nje waliopewa vibali na tume kuangalia uchaguzi mkuu 2020.

Alipongeza serikali kwa kugharamia shughuli za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kwa asilimia 100.

Pia alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kujenga mazingira wezeshi kwa taasisi zisizo za kiserikali kuendelea kufanya kazi za kuleta maendeleo kwa wananchi.
Wanaobeza na kujilalamisha hapa wote hakuna mwenye facts za namna gani Tume ilifanya vibaya kwenye uchaguzi mkuu wa 2020. Wote wanakuja na porojo za WANASIASA
Nchi ngumu sana hii.

Mahera endelea kupiga kazi na timu yako Mtoto wetu.
Sisi tunataka leadership transitions za amani. Hawa waongo wachache walozoea kushindwa tushawazoea
 
MKURUGENZI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk Wilson Mahera ametoa wito kwa viongozi, wadau wote wa uchaguzi kuendelea kujipanga kikamilifu kuhakikisha uchaguzi ujao unakuwa bora, mzuri na kuaminika katika jamii na ulimwenguni kote.

Alisema hayo juzi wakati akifungua kikao cha wadau wa uchaguzi kujadili na kuchangia taarifa ya uchaguzi 2020, kilichoandaliwa na Kituo cha Amani Haki na Msaada wa Kisheria Tanzania (PLAJC). "Tanzania ni nchi yenye misingi ya demokrasia inayozingatia sheria, ni imani yangu mapendekezo yatakayotokana na kikao hiki yatajielekeza katika kuboresha na kuimarisha demokrasia nchini na hatimaye kukuza na kudumisha umoja na mshikamano wa kitaifa," alisema.

Alisema uchaguzi ni muhimu katika nchi kwani unaashiria kukua na kukomaa kwa demokrasia katika nchi, kupitia uchaguzi wananchi hupata fursa na kuchagua viongozi wanaowataka kwa hiari.

“Kwa upande mwingine uchaguzi unawafanya viongozi waliochaguliwa kufanya kazi kwa kujiamini kwa kuwa wana ridhaa ya wananchi wanaowaongoza.
Pamoja na ukweli huo ili uchaguzi ukidhi malengo hayo ni lazima usimamiwe vizuri na kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki,” alisema.

Mwenyekiti wa PLAJC, Leatitia Petro alisema kikao hicho ni kwa ajili ya kujadili na kuchambua taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ya NEC pamoja na taarifa mbalimbali za wadau wa ndani na nje waliopewa vibali na tume kuangalia uchaguzi mkuu 2020.

Alipongeza serikali kwa kugharamia shughuli za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kwa asilimia 100.

Pia alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kujenga mazingira wezeshi kwa taasisi zisizo za kiserikali kuendelea kufanya kazi za kuleta maendeleo kwa wananchi.
Mahela mwingine au yule mchafuzi wa uchaguzi uleee
 
Mahera mwenyewe soon anang`olewa pale tume, ni mmoja wa masalia ya Legendary Pombe so acha aongee kwa mara ya mwisho kabla hajarudi kule.
 
MKURUGENZI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk Wilson Mahera ametoa wito kwa viongozi, wadau wote wa uchaguzi kuendelea kujipanga kikamilifu kuhakikisha uchaguzi ujao unakuwa bora, mzuri na kuaminika katika jamii na ulimwenguni kote.

Alisema hayo juzi wakati akifungua kikao cha wadau wa uchaguzi kujadili na kuchangia taarifa ya uchaguzi 2020, kilichoandaliwa na Kituo cha Amani Haki na Msaada wa Kisheria Tanzania (PLAJC). "Tanzania ni nchi yenye misingi ya demokrasia inayozingatia sheria, ni imani yangu mapendekezo yatakayotokana na kikao hiki yatajielekeza katika kuboresha na kuimarisha demokrasia nchini na hatimaye kukuza na kudumisha umoja na mshikamano wa kitaifa," alisema.

Alisema uchaguzi ni muhimu katika nchi kwani unaashiria kukua na kukomaa kwa demokrasia katika nchi, kupitia uchaguzi wananchi hupata fursa na kuchagua viongozi wanaowataka kwa hiari.

“Kwa upande mwingine uchaguzi unawafanya viongozi waliochaguliwa kufanya kazi kwa kujiamini kwa kuwa wana ridhaa ya wananchi wanaowaongoza.
Pamoja na ukweli huo ili uchaguzi ukidhi malengo hayo ni lazima usimamiwe vizuri na kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki,” alisema.

Mwenyekiti wa PLAJC, Leatitia Petro alisema kikao hicho ni kwa ajili ya kujadili na kuchambua taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ya NEC pamoja na taarifa mbalimbali za wadau wa ndani na nje waliopewa vibali na tume kuangalia uchaguzi mkuu 2020.

Alipongeza serikali kwa kugharamia shughuli za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kwa asilimia 100.

Pia alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kujenga mazingira wezeshi kwa taasisi zisizo za kiserikali kuendelea kufanya kazi za kuleta maendeleo kwa wananchi.
Hongereni Sana NEC kwa kuendelea kujipambanua katika dira yenu kutoka kuwa chombo kinachoaminika ktk kusimamia Uchaguzi Africa mpka kuwa chombo Bora kinachoaminika Ulimwengu mzima.Hii ni dira yenye
maono makubwa ambayo mnatanua WiGo sasa kutoka Africa sasa mmewaza zaidi ya Africa.kwa mipango mizuri mnayoendelea kujipanga hakiki hiyo dira itafijiwa malengo husika.Kongole Sana kwenu NEC kupitia Dr.Charles Mahera ambaye ndiye mtendaji mkuu wa NEC
 
MKURUGENZI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk Wilson Mahera ametoa wito kwa viongozi, wadau wote wa uchaguzi kuendelea kujipanga kikamilifu kuhakikisha uchaguzi ujao unakuwa bora, mzuri na kuaminika katika jamii na ulimwenguni kote.

Alisema hayo juzi wakati akifungua kikao cha wadau wa uchaguzi kujadili na kuchangia taarifa ya uchaguzi 2020, kilichoandaliwa na Kituo cha Amani Haki na Msaada wa Kisheria Tanzania (PLAJC). "Tanzania ni nchi yenye misingi ya demokrasia inayozingatia sheria, ni imani yangu mapendekezo yatakayotokana na kikao hiki yatajielekeza katika kuboresha na kuimarisha demokrasia nchini na hatimaye kukuza na kudumisha umoja na mshikamano wa kitaifa," alisema.

Alisema uchaguzi ni muhimu katika nchi kwani unaashiria kukua na kukomaa kwa demokrasia katika nchi, kupitia uchaguzi wananchi hupata fursa na kuchagua viongozi wanaowataka kwa hiari.

“Kwa upande mwingine uchaguzi unawafanya viongozi waliochaguliwa kufanya kazi kwa kujiamini kwa kuwa wana ridhaa ya wananchi wanaowaongoza.
Pamoja na ukweli huo ili uchaguzi ukidhi malengo hayo ni lazima usimamiwe vizuri na kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki,” alisema.

Mwenyekiti wa PLAJC, Leatitia Petro alisema kikao hicho ni kwa ajili ya kujadili na kuchambua taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ya NEC pamoja na taarifa mbalimbali za wadau wa ndani na nje waliopewa vibali na tume kuangalia uchaguzi mkuu 2020.

Alipongeza serikali kwa kugharamia shughuli za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kwa asilimia 100.

Pia alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kujenga mazingira wezeshi kwa taasisi zisizo za kiserikali kuendelea kufanya kazi za kuleta maendeleo kwa wananchi.

images (4).jpg
 
MKURUGENZI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk Wilson Mahera ametoa wito kwa viongozi, wadau wote wa uchaguzi kuendelea kujipanga kikamilifu kuhakikisha uchaguzi ujao unakuwa bora, mzuri na kuaminika katika jamii na ulimwenguni kote.

Alisema hayo juzi wakati akifungua kikao cha wadau wa uchaguzi kujadili na kuchangia taarifa ya uchaguzi 2020, kilichoandaliwa na Kituo cha Amani Haki na Msaada wa Kisheria Tanzania (PLAJC). "Tanzania ni nchi yenye misingi ya demokrasia inayozingatia sheria, ni imani yangu mapendekezo yatakayotokana na kikao hiki yatajielekeza katika kuboresha na kuimarisha demokrasia nchini na hatimaye kukuza na kudumisha umoja na mshikamano wa kitaifa," alisema.

Alisema uchaguzi ni muhimu katika nchi kwani unaashiria kukua na kukomaa kwa demokrasia katika nchi, kupitia uchaguzi wananchi hupata fursa na kuchagua viongozi wanaowataka kwa hiari.

“Kwa upande mwingine uchaguzi unawafanya viongozi waliochaguliwa kufanya kazi kwa kujiamini kwa kuwa wana ridhaa ya wananchi wanaowaongoza.
Pamoja na ukweli huo ili uchaguzi ukidhi malengo hayo ni lazima usimamiwe vizuri na kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki,” alisema.

Mwenyekiti wa PLAJC, Leatitia Petro alisema kikao hicho ni kwa ajili ya kujadili na kuchambua taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ya NEC pamoja na taarifa mbalimbali za wadau wa ndani na nje waliopewa vibali na tume kuangalia uchaguzi mkuu 2020.

Alipongeza serikali kwa kugharamia shughuli za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kwa asilimia 100.

Pia alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kujenga mazingira wezeshi kwa taasisi zisizo za kiserikali kuendelea kufanya kazi za kuleta maendeleo kwa wananchi.
Huyo Mahera atakuwa amechanganyikiwa, sio bure.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MKURUGENZI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk Wilson Mahera ametoa wito kwa viongozi, wadau wote wa uchaguzi kuendelea kujipanga kikamilifu kuhakikisha uchaguzi ujao unakuwa bora, mzuri na kuaminika katika jamii na ulimwenguni kote.

Alisema hayo juzi wakati akifungua kikao cha wadau wa uchaguzi kujadili na kuchangia taarifa ya uchaguzi 2020, kilichoandaliwa na Kituo cha Amani Haki na Msaada wa Kisheria Tanzania (PLAJC). "Tanzania ni nchi yenye misingi ya demokrasia inayozingatia sheria, ni imani yangu mapendekezo yatakayotokana na kikao hiki yatajielekeza katika kuboresha na kuimarisha demokrasia nchini na hatimaye kukuza na kudumisha umoja na mshikamano wa kitaifa," alisema.

Alisema uchaguzi ni muhimu katika nchi kwani unaashiria kukua na kukomaa kwa demokrasia katika nchi, kupitia uchaguzi wananchi hupata fursa na kuchagua viongozi wanaowataka kwa hiari.

“Kwa upande mwingine uchaguzi unawafanya viongozi waliochaguliwa kufanya kazi kwa kujiamini kwa kuwa wana ridhaa ya wananchi wanaowaongoza.
Pamoja na ukweli huo ili uchaguzi ukidhi malengo hayo ni lazima usimamiwe vizuri na kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki,” alisema.

Mwenyekiti wa PLAJC, Leatitia Petro alisema kikao hicho ni kwa ajili ya kujadili na kuchambua taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ya NEC pamoja na taarifa mbalimbali za wadau wa ndani na nje waliopewa vibali na tume kuangalia uchaguzi mkuu 2020.

Alipongeza serikali kwa kugharamia shughuli za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kwa asilimia 100.

Pia alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kujenga mazingira wezeshi kwa taasisi zisizo za kiserikali kuendelea kufanya kazi za kuleta maendeleo kwa wananchi.
madness...dunia yote inajua NEC is fully owned by ccm. Haiwezi ikatenda haki
 
Hiyo kamati ya CCM inayojiita NEC hawana jipya. Hakuna uchaguzi Tanzania.
 
MKURUGENZI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk Wilson Mahera ametoa wito kwa viongozi, wadau wote wa uchaguzi kuendelea kujipanga kikamilifu kuhakikisha uchaguzi ujao unakuwa bora, mzuri na kuaminika katika jamii na ulimwenguni kote.

Alisema hayo juzi wakati akifungua kikao cha wadau wa uchaguzi kujadili na kuchangia taarifa ya uchaguzi 2020, kilichoandaliwa na Kituo cha Amani Haki na Msaada wa Kisheria Tanzania (PLAJC). "Tanzania ni nchi yenye misingi ya demokrasia inayozingatia sheria, ni imani yangu mapendekezo yatakayotokana na kikao hiki yatajielekeza katika kuboresha na kuimarisha demokrasia nchini na hatimaye kukuza na kudumisha umoja na mshikamano wa kitaifa," alisema.

Alisema uchaguzi ni muhimu katika nchi kwani unaashiria kukua na kukomaa kwa demokrasia katika nchi, kupitia uchaguzi wananchi hupata fursa na kuchagua viongozi wanaowataka kwa hiari.

“Kwa upande mwingine uchaguzi unawafanya viongozi waliochaguliwa kufanya kazi kwa kujiamini kwa kuwa wana ridhaa ya wananchi wanaowaongoza.
Pamoja na ukweli huo ili uchaguzi ukidhi malengo hayo ni lazima usimamiwe vizuri na kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki,” alisema.

Mwenyekiti wa PLAJC, Leatitia Petro alisema kikao hicho ni kwa ajili ya kujadili na kuchambua taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ya NEC pamoja na taarifa mbalimbali za wadau wa ndani na nje waliopewa vibali na tume kuangalia uchaguzi mkuu 2020.

Alipongeza serikali kwa kugharamia shughuli za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kwa asilimia 100.

Pia alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kujenga mazingira wezeshi kwa taasisi zisizo za kiserikali kuendelea kufanya kazi za kuleta maendeleo kwa wananchi.
NEC inafanya kazi zake kwa weledi so hatuna shaka nayo kabisa na tunaamini wataendeleza kazi nzuri hongera kwao..
 
Bahati njema Mungu alijibu unafiki wa kila namna uliofanyika kwenye uchaguzi wa 2020!
 
MKURUGENZI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk Wilson Mahera ametoa wito kwa viongozi, wadau wote wa uchaguzi kuendelea kujipanga kikamilifu kuhakikisha uchaguzi ujao unakuwa bora, mzuri na kuaminika katika jamii na ulimwenguni kote.

Alisema hayo juzi wakati akifungua kikao cha wadau wa uchaguzi kujadili na kuchangia taarifa ya uchaguzi 2020, kilichoandaliwa na Kituo cha Amani Haki na Msaada wa Kisheria Tanzania (PLAJC). "Tanzania ni nchi yenye misingi ya demokrasia inayozingatia sheria, ni imani yangu mapendekezo yatakayotokana na kikao hiki yatajielekeza katika kuboresha na kuimarisha demokrasia nchini na hatimaye kukuza na kudumisha umoja na mshikamano wa kitaifa," alisema.

Alisema uchaguzi ni muhimu katika nchi kwani unaashiria kukua na kukomaa kwa demokrasia katika nchi, kupitia uchaguzi wananchi hupata fursa na kuchagua viongozi wanaowataka kwa hiari.

“Kwa upande mwingine uchaguzi unawafanya viongozi waliochaguliwa kufanya kazi kwa kujiamini kwa kuwa wana ridhaa ya wananchi wanaowaongoza.
Pamoja na ukweli huo ili uchaguzi ukidhi malengo hayo ni lazima usimamiwe vizuri na kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki,” alisema.

Mwenyekiti wa PLAJC, Leatitia Petro alisema kikao hicho ni kwa ajili ya kujadili na kuchambua taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ya NEC pamoja na taarifa mbalimbali za wadau wa ndani na nje waliopewa vibali na tume kuangalia uchaguzi mkuu 2020.

Alipongeza serikali kwa kugharamia shughuli za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kwa asilimia 100.

Pia alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kujenga mazingira wezeshi kwa taasisi zisizo za kiserikali kuendelea kufanya kazi za kuleta maendeleo kwa wananchi.
Wadau ni vyema kweli wakajipanga. Na Wadau wakuu wa Uchaguzi ni Vyama vya Siasa, Badala ya Wadau kuhangaika na mambo ambayo sibya msingi ni vyema wakajikita Sasa nankuimarisha Vyama vyao kuanzia ngazi ya mashina au matawi kwani huko ndiko kuna wapiga kura wao.

Lakini pia ni wakati wa Wadau wa Uchaguzi ambao ni wapigakura kuanza kuwatathmini walioshinda katika chaguzi zilizopita kama kweli dhamana waliyowapa wanaitendea kazi vyema .

Vyama badala ya kuhangaika na mambo hayo ya msingi vinahangaika na Katiba Mpya mara Tume Huru lakini vinaachankujijenga na kuhimiza wanachama na wafuasi wao kutunza kadi zao za kupiga kura, na wengine kuwa tayari kuboresha taarifa zao pindi NEC wakianza hilo zoezi aghalabu wakati wa kupiga kura basi wawe na sifa stahiki.

TUACHE POROJO ZISIZO NA TIJA, SISI NI WADAU WA UCHAGUZI TUACHE MATUSI NA KEJELI NA BADALA YAKE TUVISAIDIE VYAMA VYETU KUJIPANGA. MIAKA MITAMO SI MINGI NA SASA NI KAMA IMEBAKI 2.
 
Kila aliyeshiriki kuhujumu maamuzi ya Watanzania kwenye uchafuzi wa 2020 ni lazima Mungu atamchapa hapahapa duniani.

Huyu siku si nyingi mtasikia tunkama siyo stroke, basi lolote baya na liwe juu yake Amen.
Mungu akuponye na Imani yako ya kishirikina. Ungeweza kutumia uchawi huo basi ungesaidia Chama chako kushinda au hata kua na maendeleo.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom