Lakini umeona sababu zilizowekwa 1) wamefariki 2)wamehama vituo 3)Hawakukidhi masharti nk. wasiwasi wangu ni kuwa wamefutwa ndio tuamini lakini kura zao zinaweza kutumiwa. Au siyo Mfaume wa Wafaume. Wanafunzi vyuo vikuu wenyewe hawafiki hata laki mbili.