NEC yabariki kufukuzwa wabunge 8 wa CUF na kutaka majina mapya kwa ajili ya uteuzi

Mkuu siyo kazi ya NEC kubariki kufukuzwa kwa mwanachama yeyote ktk chama chochote. Wala hakuna chama kinachohitaji baraka za mtu yeyote kinapomfukuza mwanachama wake kwa kikao halali kinachotambulika na katiba ya chama husika.

Mwanachama ambaye ni mbunge akifukuzwa spika wa bunge anaandikiwa na chama husika barua ya kumjulisha kufukuzwa kwa mwanachama huyo. Naye spika akishapitia barua hiyo na kujiridhisha kwamba ni kweli mwanachama huyo amefukuzwa, naye anachukua jukumu la kuitaarifu Tume ya Uchaguzi(NEC).

NEC ikishapokea taarifa ya spika nayo inatangaza nafasi zile za hao wabunge kuwa ziko wazi. Kama ni wa kuteuliwa kuna huo utaratibu ambao umeuelezea hapo juu, sina haja ya kurudia. Kama ni wa kuchaguliwa NEC watatangaza tarehe siku na muda wa kufanya uchaguzi kwa ajili ya kujaza nafasi hiyo iliyoachwa wazi.
Mkurugenzi ndiye huteua miungoni mwa majina alopelekewa mwaka ule na tiari keshatangaza wabunge wateule kwenye taarifa ya TBC mchana.
 
Serikali inahusikaje?Huwezi mpambanisha lipumba na Kubenea halafu utegemee kubenea ashinde.

Hicho kinachoendelea ndani ya CUF ndio matamanio ya awamu hii kuhakikisha upinzani halisi unakufa, kisha unabakia upinzaniatumbo.
 
Zitto alifukuzwa CDM 2012 kesi ikaja kuamuliwa 2015 miezi 3 kabla ya uchaguzi. Kazi tunayo
Wanatakiwa wawe na Plan B kwani mahakamani wanaweza wakashindwa au kama ulivyoweka vizuri-kesi ikaendelea hata kupita 2020. Hivyo waseme kwa mfano ikifika 2018 tunachukua maamuzi magumu kama kujitoa CUF na kujipanga kwenye kinyang'anyiro cha 2020. Vinginevyo ni bai bai CUF. Hii itakuwa pigo kwa upinzani na UKAWA.
 
Nikiona mtu anashangilia na kufurahia kwa kinachotokea CUF napata shida sana kumwelewa kama kweli anatumia akili au amezikalia, ila wahenga walishawahi kusema kwa kigogo "What goes around comes around"
Ila ukiona mtu anashangalia mabaya ya CCM huwa unasikia raha si ndio ? ukute unatoa hadi sadaka.
 
Pumbavu wee mleta mada, ningekuwa na uwezo ningeua matanzania ya aina hii.

Ni nani atakayebeba dhambi kati ya profesa wa kijinga na Maalim?

Huyu pr asiyejielewa alikimbilia Rwanda baada ya kubeba hela za ccm wakabaki wakina maalimu wanapambana,wakawachagua wabunge wa viti et this time liprofesa linatengua uteuzi very stupid.

Ww na familia yako mleta mada ni wajinga sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umetumia lugha kali sana mkuu, ila cha msingi ni kwamba hawa jamaa wanafikiri watanzania hawajui move yote hii ni fitna tu ya watawala- wagombanishe watawanyike.

Ila wanasahau mwamba kuna Mwenyezi Mungu ambaye ndiye mtoa haki Mkuu, hapendi kuona haki ya mwenzako unaipoka. Hata Mfalme Daudi miaka ile alishuhudia wazi wazi kamba katika maisha yake hajawahi kuona mwenye haki akadhurumika na hata watoto wake kulala njaa.

Sasa kuna watu wanapoka haki za wenzao zilizoainishwa kwenye Katiba lakini kwa upande mwingine wao hao hao wanataka waombewe kila siku, sasa unajiuliza waombewe ili wapate msamaha upi waliotenda?

Haya mambo ni suala la kupeana muda tu, sisi tulio na imani zetu tunajua huu ni upepo, Ibilisi anapita hana uwezo wa kujenga makazi. CUF itasimama tena na haki huwa haipokwi na binadamu sababu Mwenyezi Mungu hakumpa uwezo huo.
 
NEC nayo yakubari kufutwa kwa Ubunge wa Wabunge nane wa Cuf !! yaitaka Cuf kuteua Majina nane (8) kutoka ktk orodha iliyo wasilishwa Ktk Ofisi ya Tume siku kumi na tano(15) kabla ya Uchaguzi wa 2015.

Ni wazi suala la Ubunge wa waliokua Wabunge hao nane (8) umekoma rasmi
Punde Cuf kutangaza majina nane (8) yanayo ziba nafasi zao.

Ramadhan Kailima, Mkurugenzi wa NEC amethibisha.

Ndani ya siku tatu kazi aliyotumwa imetimia wakati kesi yake inaenda mwaka kwa maagizo toka juu imekaliwa
Hao nane warudi mtaani tuungue jua wote badala ya kuneemeka na kodi zetu
 
Wanatakiwa wawe na Plan B kwani mahakamani wanaweza wakashindwa au kama ulivyoweka vizuri-kesi ikaendelea hata kupita 2020. Hivyo waseme kwa mfano ikifika 2018 tunachukua maamuzi magumu kama kujitoa CUF na kujipanga kwenye kinyang'anyiro cha 2020. Vinginevyo ni bai bai CUF. Hii itakuwa pigo kwa upinzani na UKAWA.
Okey
 
NEC nayo yakubari kufutwa kwa Ubunge wa Wabunge nane wa Cuf !! yaitaka Cuf kuteua Majina nane (8) kutoka ktk orodha iliyo wasilishwa Ktk Ofisi ya Tume siku kumi na tano(15) kabla ya Uchaguzi wa 2015.

Ni wazi suala la Ubunge wa waliokua Wabunge hao nane (8) umekoma rasmi
Punde Cuf kutangaza majina nane (8) yanayo ziba nafasi zao.

Ramadhan Kailima, Mkurugenzi wa NEC amethibisha.

Ndani ya siku tatu kazi aliyotumwa imetimia wakati kesi yake inaenda mwaka kwa maagizo toka juu imekaliwa
Mbona ya Sakaya haikwenda speed hii wanayo peleka ya huyu mamluki??
Yaani maamuzi mengine yamefanywa nje ya nchi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii kitu imeenda mbio mbio ka moto wa petrol au mafuta ya taa, hivi ile kesi yao mahakamani ilishakwisha, NEC YABARIKI, hivi hii NEC si ya CCM au ni vyama vyote, mimi sio mwanasiasa lakini ninavyojua NEC hii kawaida ni ya CCM, wanasiasa watuhabarishe
 
Pumbavu wee mleta mada, ningekuwa na uwezo ningeua matanzania ya aina hii.

Ni nani atakayebeba dhambi kati ya profesa wa kijinga na Maalim?

Huyu pr asiyejielewa alikimbilia Rwanda baada ya kubeba hela za ccm wakabaki wakina maalimu wanapambana,wakawachagua wabunge wa viti et this time liprofesa linatengua uteuzi very stupid.

Ww na familia yako mleta mada ni wajinga sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haujautumia vizuri uhuru wa kutoa maoni brother.
 
Kambi ya maalimu Seif mmelala usingizi wa pono, amkeni kushekucha atiii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za sasa ivi moto moto Maalim yuko mtendeni ameitisha kikao cha dharura. sijui kinaongelewa nini but watu wako kambini wanajadili watoke vipi. Huyu mzee tokea ameanza kupewa za chembe za Pro hapati usingizi kabsaaa.
 
Itakumbukwa baada ya uchaguzi mkuu huko Zanzibar, CUF ilikuwa na viti vya ubunge vya kutosha lakini baada ya uchaguzi huo kufutwa na ukaitishwa mpya

Maalim na genge lake la Chadema waligomea uchaguzi huo hivyo wabunge waliokuwa wameshinda katika uchaguzi wa awali wakakosa ajira ya ubunge huko zanzibar

Mkuu hauko sawa kabisa. Uliorudiwa ni uchaguzi wa Zanzibar na sio JMT. Hivyo walio athirika na uamuzi wa kurudia uchaguzi ni wawakilishi na sio wabunge waiochaguliwa-vinginevyo CUF ingekuwa na wabunge 10 tu wa bara na wa viti maalum.
 
Ha ha ha kina Maalim walifanya uzembe.
Kwa kufuatana na katiba ya Cuf walitakiwa kukaa kikao na kukubali Prof kujiuzuru ndani ya miezi 6.
Ikipita miezi sit bila kuthibitisha unarudi kwenye nafasi yako.
Sasa Lipumba alivorudi wakaanza kung'aka we msaliti ulikimbia mwenyewe...
Ukiuliza swali katiba inasemaje hakuna atakayekujibu.....je mlichagua mwenyekiti mpya....hakuna jibu..
Lipumba kawapiga technical knock out ya hatari.

Maalim ni Chadema na kila analoongea linatoka kwa viongozi wa Chadema. Hivyo acha Prof. Lipumba afanye kazi ya kurudisha chama na nidhamu
 
Back
Top Bottom