NEC kusitisha na kufuta maombi yote ya kazi za mudA (BVRs) mmenisikitisha na kuniumiza sana

Ni kweli mzee hali sasa ni Tete. Lakini bado fursahazikosekani. Tatizo vijana tunapenda nyazfa. Hatutaki kufanya kazi. Elimu zetu badala ya kutusaidia zinatudidimiza.
Ulichoongea kina mashiko sana mkuu
nakubaliana na wewe. Mimi nami nilikuwa
Muhanga wa hili nilitembeza bahasha ya kaki dsm pasipo mafanikio nikiamua kukifungia chet changu kabatini mpk Leo nikaangalia mambo mengine.

Ila hali kwa sasa ni ngumu sana
Kuna jamaa angu nilikutana last 3 weeks
kinondoni municipal anafukuzia dili
A kaniambia Sanchez rafiki angu huwezi amini huu mwezi 5 mzima sijashika elfu 10
Kwa pamoja; unaweza ona situation ilivyokuwa kitaa.
 
Vumilieni mzee kasema ananyoosha nchi ila pasi bado haijapata moto, kwahiyo kuweni wapole
 
Laki 5 na nusu kwa mwezi, zoezi likikuwa la miezi miwili
kamanda mwenzangu pole ,hata mimi niliomba io kazi ila nilishavua kofia ya degree yangu nakuihifadhi uwa naivaa pale tuu inapobidi,fanya mishe zingine ndogo ndogo ikitokea ndo uapply
 
Nimemaliza degree ya computer science na nipo competente ile mbaya kwenye mambo ya technologia ila ndio ivyo

Mwakaa wa tatu huu sijawai pata ajira na uda nafanya sana application
Mtafute Fundi wa simu upande wa hardware halafu ww ukae pale upande wa software,mbona hautakosa hata hela ya kula.Kwa sababu unajua computer phone software haitakuzingua Ni kujifunza ndani ya muda mchache tu,piga window na. Kuuza software
 
Back
Top Bottom