NEC kusitisha na kufuta maombi yote ya kazi za mudA (BVRs) mmenisikitisha na kuniumiza sana

naomba kazi

JF-Expert Member
Mar 5, 2019
253
213
Habarini wakuu

Juzi ijumaa ya tarehe 30 Mei Tume ya uchaguzi NEC walitangaza nafasi za kazi ZA muda mfupi

Na kipaumbele walikuweka kwa watu walio kwisha fanya kazi iyo (hapa sifa nilikuwa nayo)

Wakasonga mbele zaidi kwa kusema kama umesoma degree ya computer utapewa nafasi zaidi (hapa pia nilikuwa nina sifa)


Yaani nikuwa nina sifa zote ZA kuchukuliwa

Nimeshangaa sana leo kuona mseemaji wa tume kupitia gazeti la MWANANCHI LA LEO 06.06.2019 (MWANANCHI ONLINE) akisema kuwa

"Anaomba radhi kwa wale wote waliiiomba nafasi zile maana, wanasikitika kuwa hawataendelea tena na zoezi la kuchukua watu, badala yake wanasitisha na kufuta kabisa maombi ayo"

Nilitegemea ndio sehemu ambayo ningepatia mtaji wakutoka kwenye aya maisha magumu nilikuwa nayo

Sina ajira huu mwaka wa 3

MMENIUMIZA sana kwa tamko lenu

Ila sina namna
 
Haaaa mkuu we chama gani? Maana Mambo yanayoendelea huko mzalendo hawezi kukubaliiiiii kufanya umafyia na ukatiliii.....huna kadi hupati nafasi,

Waliomba wengi Ni watu wasiounga juhudi hivyo zoezi lazima lisimame
 
Haaaa mkuu we chama gani? Maana Mambo yanayoendelea huko mzalendo hawezi kukubaliiiiii kufanya umafyia na ukatiliii.....huna kadi hupati nafasi,

Waliomba wengi Ni watu wasiounga juhudi hivyo zoezi lazima lisimame
Daaaaah.. nimeumia mno mkuu
 
Nimemaliza degree ya computer science na nipo competente ile mbaya kwenye mambo ya technologia ila ndio ivyo

Mwakaa wa tatu huu sijawai pata ajira na uda nafanya sana application
 
Sijapata kazi kabisa ndugu, nimeangaika sana kutafuta mkuu ila sijawai kupata
Mkuu, tumia knowledge yako kutengeneza pesa!

Kama unajua programming hata PHP, JavaScript, CSS na HTML, pia (angularjs, vue, react au ember) utengeneza apps mbalimbali na kuziuza.

Kuna taasisi nyingi sana zinataka real Programmers.
IMG_20190606_175436_294.jpeg
 
Mkuu, tumia knowledge yako kutengeneza pesa!

Kama unajua programming hata PHP, JavaScript, CSS na HTML, pia (angularjs, vue, react au ember) utengeneza apps mbalimbali na kuziuza.

Kuna taasisi nyingi sana zinataka real Programmers.View attachment 1119835
Dah nimempigia anasema ameshapata mtu, asante sana mkuu
 
Dah nimempigia anasema ameshapata mtu, asante sana mkuu
Ila tutambue kwamba ajira za computer si nyingi, ila ni moja ya fani unayoweza kutengeneza mpunga mrefu sana.

Cha msingi ujue vitu na usiwe mbambaishaji, na hapo ndio wengi tunafeli.

Karibu sana mkuu!
 
Wanalipa shs ngapi per day?
Habarini wakuu

Juzi ijumaa ya tarehe 30 Mei Tume ya uchaguzi NEC walitangaza nafasi za kazi ZA muda mfupi

Na kipaumbele walikuweka kwa watu walio kwisha fanya kazi iyo (hapa sifa nilikuwa nayo)

Wakasonga mbele zaidi kwa kusema kama umesoma degree ya computer utapewa nafasi zaidi (hapa pia nilikuwa nina sifa)


Yaani nikuwa nina sifa zote ZA kuchukuliwa

Nimeshangaa sana leo kuona mseemaji wa tume kupitia gazeti la MWANANCHI LA LEO 06.06.2019 (MWANANCHI ONLINE) akisema kuwa

"Anaomba radhi kwa wale wote waliiiomba nafasi zile maana, wanasikitika kuwa hawataendelea tena na zoezi la kuchukua watu, badala yake wanasitisha na kufuta kabisa maombi ayo"

Nilitegemea ndio sehemu ambayo ningepatia mtaji wakutoka kwenye aya maisha magumu nilikuwa nayo

Sina ajira huu mwaka wa 3

MMENIUMIZA sana kwa tamko lenu

Ila sina namna
 
Yani una Degree ya computer na huna kazi?? Inawezekanaje??? Au unamsanisha haujaajiriwa na taasisi yoyote
Mkuu unachoshangaa ni kipi
doctors,engineers, treasurers,walimu,nk
wanalia na ajira hasa kipindi hiki cha awamu ya 5.

muwezeshe ajiajiri au mpe mbinu ulizotumia wewe ili naye atoke kwenye sintofahamu hii; watu tunatoka familia tofauti tofauti, kama uliwezeshwa mtaji au ukipata kazi baada ya kumaliza tu masomo yako mshukuru mungu.

Lakini usishangae inawezekana kanaje
 
Sijapata kazi kabisa ndugu, nimeangaika sana kutafuta mkuu ila sijawai kupata
Umebobea eneo gani? Una professional certification yoyote related to IT? or atleast indepth knowledge ya eneo fulani whether programming, database, network, servers virtualization n.k ? That could be what's holding you back...
 
Mkuu ninachoamini kwamba. Mtu akisoma fani yenye utaalamu na ufundi ana fursa kubwa sana ya kujiajiri. Kwa elimu yake anaweza kufanya udananda wote anaoujua yeye. Nadhani jamaa hajachangamka tuu. Kwa elimu yake anaweza kuwa hata Dalali wa electronics Gadgets sijui anakwama wapi. Au ndo kusbiri white colar jobs kama izo za Nec anazowania
Mkuu unachoshangaa ni kipi
doctors,engineers, treasurers,walimu,nk
wanalia na ajira hasa kipindi hiki cha awamu ya 5.

muwezeshe ajiajiri au mpe mbinu ulizotumia wewe ili naye atoke kwenye sintofahamu hii; watu tunatoka familia tofauti tofauti, kama uliwezeshwa mtaji au ukipata kazi baada ya kumaliza tu masomo yako mshukuru mungu.

Lakini usishangae inawezekana kanaje
 
ndo maana sikuomba nilijua tuu...
acha tuu niendelee kukaa mtani ipo siku nitapata zari LA mentali na kutusua haya maisha
 
Mkuu ninachoamini kwamba. Mtu akisoma fani yenye utaalamu na ufundi ana fursa kubwa sana ya kujiajiri. Kwa elimu yake anaweza kufanya udananda wote anaoujua yeye. Nadhani jamaa hajachangamka tuu. Kwa elimu yake anaweza kuwa hata Dalali wa electronics Gadgets sijui anakwama wapi. Au ndo kusbiri white colar jobs kama izo za Nec anazowania
Ulichoongea kina mashiko sana mkuu
nakubaliana na wewe. Mimi nami nilikuwa
Muhanga wa hili nilitembeza bahasha ya kaki dsm pasipo mafanikio nikiamua kukifungia chet changu kabatini mpk Leo nikaangalia mambo mengine.

Ila hali kwa sasa ni ngumu sana
Kuna jamaa angu nilikutana last 3 weeks
kinondoni municipal anafukuzia dili
A kaniambia Sanchez rafiki angu huwezi amini huu mwezi 5 mzima sijashika elfu 10
Kwa pamoja; unaweza ona situation ilivyokuwa kitaa.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom