Sir Khan
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 5,386
- 10,073
Kama kweli unajiheshimu weka hapa ushahidi wa haya uliyoandika?Haidhuru si kitu
Bangi ndio iliyomsaidia kuwa na busara ya kuhifadhi vyombo alivyoteka toka hakalu la Sulaiman Salalah aleeii wasalaam..tofauti na alivyofanya mwanae....
Na majani hayohayo ya kondeni(bangi)ndio iliyompa kibri na hakutaka kutubu ndani ya mwaka mmoja baada ya ile ndoto.
Na kwa nyongeza ninajiheshimu sababu ki umri mie ni baba yako au mke wa mama yako...Asante na karibu.