Mwanakijiji,
Hii picha ni ya mwaka gani? maana mimi Julius Ndyanabo ninayemfahamu alikuwa mtu wa miraba minne na alikuwa na ofisi zake pale jirani na kituo cha mabasi ya Uda cha stesheni!
By the way to add twist, alikuwa wakili wetu Yanga (Young Affrican Sports Club)!
Tehe tehe teh umedata wewe mchungaji.... kumbe kanda2!