makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,129
- 80,995
Kazi ipo kweli kweli
Utafanya ndulele ziwe mali mjini hapa.
Utafanya ndulele ziwe mali mjini hapa.
Utaishia kujamba jamba tu.Ujiboosti na karanga ee (Eeeh..)
Tuliza na kitumbua (Eeeh..)
Jihadhari na majanga wee
Usije ukaugua maana
Ikipanda ni balaa
Ikishuka ndo hatari
View attachment 1788814
Waambie kabisa kukufata pm muamala usome elfu 10 ya kumuona mganguzi, kugangwa ni 100k, huduma ya kufuatiliwa maendeleo ya mgangwaji ni 100k(vip anapatiwa na mrembo wa kutestia mitambo)Ukitaka kuwa Bilionea ndani ya miaka miwili kama Lengai Ole Sabaya tangaza tiba ya nguvu za kiume.
Na asiye leta mrejesho na asante tunamchumia ndulele na kulifanyia kazi jina lake.Waambie kabisa kukufata pm muamala usome elfu 10 ya kumuona mganguzi, kugangwa ni 100k, huduma ya kufuatiliwa maendeleo ya mgangwaji ni 100k(vip anapatiwa na mrembo wa kutestia mitambo)
Uwedi mia?
Kama alikuwa ni wa tackle 3, sasa atakuwa mwendo wa jogooNa asiye leta mrejesho na asante tunamchumia ndulele na kulifanyia kazi jina lake.
Hahaaa, huyo mzee alijua kuinadisha bidhaa yake adhimu eti mdinda dinda dahUmenikumbusha mzee mmoja maeneo ya morogoro mjini alikua akiuza dawa ya mdinda dinda!
Ila yule mzee alivyokua akiipromot aisee!!?
Hii komenti yako inamaanisha nini..?Chemshia na huo mti tumia kunywa asubuhi na jion siku Saba utaleta mrejesho hapa sio ufanye sifa utamtoa mwenzio chango la kurudisha kizazi, nyuma Mana hivyo vigongo nilivyo kutajia ni hatari sana.
Mkuu Mshana, huu mti ni tiba ya kweli?Chemshia na huo mti tumia kunywa asubuhi na jion siku Saba utaleta mrejesho hapa sio ufanye sifa utamtoa mwenzio chango la kurudisha kizazi, nyuma Mana hivyo vigongo nilivyo kutajia ni hatari sana.
Sina hakikaMkuu Mshana, huu mti ni tiba ya kweli?
C&PHii komenti yako inamaanisha nini..?
Mkuu hii ni dawa gani?Umenikumbusha mzee mmoja maeneo ya morogoro mjini alikua akiuza dawa ya mdinda dinda!
Ila yule mzee alivyokua akiipromot aisee!!?