Ndugu zetu wakristo mnakwama wapi ?

Ndugu zetu wakristo mnakwama wapi ?

😂😂alafu unapandisha mashetani unamwambia pastor niongezee ili nitoke📢📢..
Unarudi zako home umelewa saafi

Hahaha hahahaha 😀 😀 😀 😀
 
Mambo gani sasa haya mnayaruhusu yatendeke kwenye makanisa yenu,tukiwaambia hamna akili mnatabisha,
Kwanini hamuwakemei hawa wanaofanya muonekane wakristo ni watu wa hovyo namna hii..
View attachment 1176856
Au ndio mnatembea na mithali 31:6 mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea,kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini..hapa sasa ni kuongezeana uchungu mimi savanna moja hainitoshi kabisa..
View attachment 1176859
Naam pastor akiwa sambamba na mithali 23:31 usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu litiapo bilauri rnbi yake ishukapo taratibu
View attachment 1176862
Wacha masikini apewe kileo ili asahau shida zake asahau shida zake,
Huyu anaonekana alikua na kiu kweli na hii kitu
View attachment 1176867
Hizi fursa zinapatikana kanisani nasema hivyo kwasababu wakristo wengi wamegeuza nyumba za ibada kuwa fursa..
Hebu acheni hii tabia mbaya kemeeni wenzenu wanao kengeuka


Kuto weza kutambua njia sahihi ndy inawapelekea ivy mkuu
 
Siyo makanisa yote,hebu tuonyeshe hata Hospitali ya Rufaa inayomilikiwa na dini yako unayoiamini kuwa ipo sahihi?au hata vyuo vikuu hata vitatu,zaidi ya kile mlichopewa,mambo ya imani siyo yakuingilia,abudu unachokipenda,acha uchochezi.
 
Mambo gani sasa haya mnayaruhusu yatendeke kwenye makanisa yenu,tukiwaambia hamna akili mnatabisha,
Kwanini hamuwakemei hawa wanaofanya muonekane wakristo ni watu wa hovyo namna hii..
View attachment 1176856

Au ndio mnatembea na mithali 31:6 mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea,kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini..hapa sasa ni kuongezeana uchungu mimi savanna moja hainitoshi kabisa..
View attachment 1176859

Naam pastor akiwa sambamba na mithali 23:31 usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu litiapo bilauri rnbi yake ishukapo taratibu

View attachment 1176862

Wacha masikini apewe kileo ili asahau shida zake asahau shida zake,
Huyu anaonekana alikua na kiu kweli na hii kitu
View attachment 1176867

Hizi fursa zinapatikana kanisani nasema hivyo kwasababu wakristo wengi wamegeuza nyumba za ibada kuwa fursa..
Hebu acheni hii tabia mbaya kemeeni wenzenu wanao kengeuka
Nasadiki kwa kanisa moja takatifu katoliki la mitume,naungama kwa ubatizo mmoja......hayo makanisa mengine ni "FUJO"
 
Habari njema kwa walevi wote, sasa unaweza kupata stimu ukiwa madhabahuni bila gharama yeyote

Tupe location ya hilo kanisa
 
Siyo makanisa yote,hebu tuonyeshe hata Hospitali ya Rufaa inayomilikiwa na dini yako unayoiamini kuwa ipo sahihi?au hata vyuo vikuu hata vitatu,zaidi ya kile mlichopewa,mambo ya imani siyo yakuingilia,abudu unachokipenda,acha uchochezi.

Utakuja umkute mke wako kwenye hayo majumba sijui utakua mgeni wanani
 
Mambo gani sasa haya mnayaruhusu yatendeke kwenye makanisa yenu,tukiwaambia hamna akili mnatabisha,
Kwanini hamuwakemei hawa wanaofanya muonekane wakristo ni watu wa hovyo namna hii..
View attachment 1176856

Au ndio mnatembea na mithali 31:6 mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea,kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini..hapa sasa ni kuongezeana uchungu mimi savanna moja hainitoshi kabisa..
View attachment 1176859

Naam pastor akiwa sambamba na mithali 23:31 usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu litiapo bilauri rnbi yake ishukapo taratibu

View attachment 1176862

Wacha masikini apewe kileo ili asahau shida zake asahau shida zake,
Huyu anaonekana alikua na kiu kweli na hii kitu
View attachment 1176867

Hizi fursa zinapatikana kanisani nasema hivyo kwasababu wakristo wengi wamegeuza nyumba za ibada kuwa fursa..
Hebu acheni hii tabia mbaya kemeeni wenzenu wanao kengeuka
Hao watu wako kwenye sherehe wewe unawahusushaje Wakristo?

Vv
 
mbona upumbavu upo kwenye imani zote tu
kuna waumini wa imani nyingine hawapendi kabisa elimu, wanadai ni haramu, wakiona watu wanajiachia wakifurahia maisha wanafura kwa hasira wanavaa mabomu na kujilipua, sasa na hao sijui wanakwama wapi
Ah dada umeandika kwa hamaki baada ya kuona wapendwa ktk bwana wakitandika savanna madhabauni... na wewe ungetuwekea kapicha ka hao watu wa dini nyingine kama alivyofanya mtoa uzi chenye kuonyesha wakisema elimu haramu kwa dini yao..
 
Kanuni ni moja bila kupepesa ...Extra Ecclesiam nulla salus
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377]
Yaani necheka kama mazuri vile. "Imani ni kitu kingine kwa aliye nayo hata awe anapotea basi haoni"
Kulishwa majani
Kunywishwa jiki
Kuvuliwa nguo za ndani hadharani
Kunyonyeshwa dushe
Kudhalilishwa!
Kuaminishwa kufufua wafu
Kuaminishwa kutoa misukule
Na sasa tena pombe!
Jamani shtukeni hao ni matapeli na wanakutapelini!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Kwahio wakristo wamfanyeje?si kaamua yeye kufanya na watu wanamfuata,serikali ndo imchukulie hatua kama kavunja sheria
 
Makondoo Kwani Hua Wanaakili Wakifika Kanisaniiii...??!!

Upumbavu nimeamini ni sifa ya watu sio tuu kutokujia
 
Sisi hatuna muda wa mambo ya kimwili. Sasa hapo ulitaka tuvamie kanisa hilo tumpige au?? Yeye mwenyewe anajua mwisho wake utakuaje. Mungu wetu apiganiwi hivyo anajiweza atamlipa sawa sawa na matendo yake.
.....
 
Mambo gani sasa haya mnayaruhusu yatendeke kwenye makanisa yenu,tukiwaambia hamna akili mnatabisha,
Kwanini hamuwakemei hawa wanaofanya muonekane wakristo ni watu wa hovyo namna hii..
View attachment 1176856

Au ndio mnatembea na mithali 31:6 mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea,kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini..hapa sasa ni kuongezeana uchungu mimi savanna moja hainitoshi kabisa..
View attachment 1176859

Naam pastor akiwa sambamba na mithali 23:31 usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu litiapo bilauri rnbi yake ishukapo taratibu

View attachment 1176862

Wacha masikini apewe kileo ili asahau shida zake asahau shida zake,
Huyu anaonekana alikua na kiu kweli na hii kitu
View attachment 1176867

Hizi fursa zinapatikana kanisani nasema hivyo kwasababu wakristo wengi wamegeuza nyumba za ibada kuwa fursa..
Hebu acheni hii tabia mbaya kemeeni wenzenu wanao kengeuka
Mkuu hawa ndio wale Bwana Yesu aliosema katika Mathayo 7:22-22(22 Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? 23 Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu." Sehemu nyingine Bwana Yesu aliwatolea mfano,

"24 Akawatolea mfano mwingine, akisema, Ufalme wa mbinguni umefanana na mtu aliyepanda mbegu njema katika konde lake; 25 lakini watu walipolala, akaja adui yake akapanda magugu katikati ya ngano, akaenda zake.
26 Baadaye majani ya ngano yalipomea na kuzaa, yakaonekana na magugu.
27Watumwa wa mwenye nyumba wakaenda wakamwambia, Bwana, hukupanda mbegu njema katika konde lako? Limepata wapi basi magugu?
28 Akawaambia, Adui ndiye aliyetenda hivi. Watumwa wakamwambia, Basi, wataka twende tukayakusanye?
29 Akasema, La; msije mkakusanya magugu, na kuzing'oa ngano pamoja nayo.
30 Viacheni vyote vikue hata wakati wa mavuno; na wakati wa mavuno nitawaambia wavunao, yakusanyeni kwanza magugu, myafunge matita matita mkayachome; bali ngano ikusanyeni ghalani mwangu." So you see,hata Bwana Yesu anajua kwamba wapo wanaomuita Bwana,lakini sio wake,na yapo pia magugu katikati yetu,lakini amesema tuyaache tusije tukang'oa ngano na magugu.Kazi hiyo itafanywa siku ya mavuno,yaani siku ya hukumu.Mkuu kazi yetu sisi ni kutii maagizo ya Bwana Yesu,yeye anajua how to protect us.We go by faith,not by sight.
 
mbona upumbavu upo kwenye imani zote tu
kuna waumini wa imani nyingine hawapendi kabisa elimu, wanadai ni haramu, wakiona watu wanajiachia wakifurahia maisha wanafura kwa hasira wanavaa mabomu na kujilipua, sasa na hao sijui wanakwama wapi

Punguza Chuki,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom