Ndugu zetu wakristo mnakwama wapi ?

Ndugu zetu wakristo mnakwama wapi ?

Unawelewa wazi kuhusu imani yake kuliko yeye anayoamini hio imani ?

Na akinywa hayo maji ya battery atakufa au atapona ? Na kama atapona kuna Imani zinaamini ushirikina na mizimu kama babu zetu..., All in all keyword kwangu ilikuwa isidhuru wengine au kuwa kero kwa wengine.., sasa kama kumpa mtu maji ya battery hakuna madhara all is good...

Licha ya imani lakini kila tujongeapo tuwe sambamba na akili zetu,
Sio kila kitu unameza tu kwa kisingizio cha imani,tusiangamie kwa kukosa maarifa
 
Licha ya imani lakini kila tujongeapo tuwe sambamba na akili zetu,
Sio kila kitu unameza tu kwa kisingizio cha imani,tusiangamie kwa kukosa maarifa
kwangu mimi vingi sivimezi ila kwa wanaomeza maarifa yao yanawaambia ni sawa.., tena wale ambao wanakimbilia dini kujiliwaza naona ni bora kuliko hao watu bila dini huenda wangekuwa wanaandamana kila siku na kupora watu bila uoga wa so called the end of days..., kwahio kama religion is the opium of the mass let it be so long as hio opium haifanyi watu waanze kuingilia maisha yangu na kuwa kero kwangu...
 
Biblia imeandika WAZI KABISA kwamba WALEVI WATAENDA MOTONI (1 Kor 6:9-10). Tena walevi wanahesabiwa wana dhambi mbaya kama ya unyang'anyi, kuabudu sanamu, kulawiti n.k. Lakini Biblia ilishaandika kwamba hizi "siku za mwisho" (yaani mwisho wa dunia haupo tena mbali sana -japo hakuna anayejua kama ni miaka mia au hamsini au ishini ijayo.....) watatokea viongozi wa dini ya Kikristo ambao ni feki. Kwa hivyo tusishangae.
 
Ukisikia yalaaah jua limempata mhusika,kwenye elimu utasikia tunabaguliwa
mbona upumbavu upo kwenye imani zote tu
kuna waumini wa imani nyingine hawapendi kabisa elimu, wanadai ni haramu, wakiona watu wanajiachia wakifurahia maisha wanafura kwa hasira wanavaa mabomu na kujilipua, sasa na hao sijui wanakwama wapi
 
Km usomi biblia utashangaa kwa sisi tunaosoma maandiko tunaona yanatimia ivyo tunajiandaa kwa safari.
 
Tofauti kati ya uislamu na ukristo upo sehemi moja wakristo wamejaaliwa uvumilivu, ustamihilivu na kutoendeshwa lwa mihemuko tofauti na waislamu wao wanaendeshwa na mihemuko, jazba hawana ustahimilivu wala uvumilivu ingelikua ni waislamu hao ungekuta watu wanaandamana kutaka kupigana au kumpiga huyo mchungaji
 
Sasa sisi tuwakemee yeye MUNGU mwenye dini yake yuko wapi!?!...acha watu waabudu na waamini wanachotaka,kama kweli MUNGU yupo ndo ata-deal nao...

Kwa nini unataka kuyafanya maisha kuwa magumu
 
Mambo gani sasa haya mnayaruhusu yatendeke kwenye makanisa yenu,tukiwaambia hamna akili mnatabisha,
Kwanini hamuwakemei hawa wanaofanya muonekane wakristo ni watu wa hovyo namna hii..
View attachment 1176856

Au ndio mnatembea na mithali 31:6 mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea,kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini..hapa sasa ni kuongezeana uchungu mimi savanna moja hainitoshi kabisa..
View attachment 1176859

Naam pastor akiwa sambamba na mithali 23:31 usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu litiapo bilauri rnbi yake ishukapo taratibu

View attachment 1176862

Wacha masikini apewe kileo ili asahau shida zake asahau shida zake,
Huyu anaonekana alikua na kiu kweli na hii kitu
View attachment 1176867

Hizi fursa zinapatikana kanisani nasema hivyo kwasababu wakristo wengi wamegeuza nyumba za ibada kuwa fursa..
Hebu acheni hii tabia mbaya kemeeni wenzenu wanao kengeuka
Kiongozi. Inakuaje unasema 'wakristu' hlf unaishia kumuonesha 'pasta fulani mmoja?'
 
Dah! Ila kuna watu wanafukunyua mambo.

Mkuu hebu tuambie vizuri hilo Kanisa liko wapi na mchungaji wao ni nani?

Halafu ni nchi gani huko wanakofanya hivo, mbona hapa kwetu walimshika yule jamaa ambae alikua anaelekea kupata wafuasi wengi kulingana na kaulimbiu yake.

Kauli mbiu ya KULA VYOMBO na KUMLA HOUSE GIRL.

Unafikiri mchezo hiyo kauli mbiu, watu wengi wangeungana naye Kula vyombo moja moto moja baridi, na kumgegeda house Girl tayari watu walikua wamempata mtetezi wao kwa wake zao.
 
Kwanini umejuisha wakristu wote na ukaamua kuwatukana?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom