Ndugu zetu wakristo mnakwama wapi ?

Ndugu zetu wakristo mnakwama wapi ?

sheremaya

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2015
Posts
4,936
Reaction score
12,483
Mambo gani sasa haya mnayaruhusu yatendeke kwenye makanisa yenu,tukiwaambia hamna akili mnatabisha,
Kwanini hamuwakemei hawa wanaofanya muonekane wakristo ni watu wa hovyo namna hii..
IMG-20190809-WA0022.jpg


Au ndio mnatembea na mithali 31:6 mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea,kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini..hapa sasa ni kuongezeana uchungu mimi savanna moja hainitoshi kabisa..
IMG-20190809-WA0023.jpg


Naam pastor akiwa sambamba na mithali 23:31 usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu litiapo bilauri rnbi yake ishukapo taratibu

IMG-20190809-WA0020.jpg


Wacha masikini apewe kileo ili asahau shida zake asahau shida zake,
Huyu anaonekana alikua na kiu kweli na hii kitu
IMG-20190809-WA0021.jpg


Hizi fursa zinapatikana kanisani nasema hivyo kwasababu wakristo wengi wamegeuza nyumba za ibada kuwa fursa..
Hebu acheni hii tabia mbaya kemeeni wenzenu wanao kengeuka
 
Mambo gani sasa haya mnayaruhusu yatendeke kwenye makanisa yenu,tukiwaambia hamna akili mnatabisha,
Kwanini hamuwakemei hawa wanaofanya muonekane wakristo ni watu wa hovyo namna hii..
View attachment 1176856

Au ndio mnatembea na mithali 31:6 mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea,kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini..hapa sasa ni kuongezeana uchungu mimi savanna moja hainitoshi kabisa..
View attachment 1176859

Naam pastor akiwa sambamba na mithali 23:31 usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu litiapo bilauri rnbi yake ishukapo taratibu

View attachment 1176862

Wacha masikini apewe kileo ili asahau shida zake asahau shida zake,
Huyu anaonekana alikua na kiu kweli na hii kitu
View attachment 1176867

Hizi fursa zinapatikana kanisani nasema hivyo kwasababu wakristo wengi wamegeuza nyumba za ibada kuwa fursa..
Hebu acheni hii tabia mbaya kemeeni wenzenu wanao kengeuka

Wizi mtupu. Huu mkwamo ni mkwamo kweli kweli
 
Uzuri wa imani kila mtu anaamini kile anachokiamini.., kwa muungwana cha kufanya ni kuamini chake na kuwaachia waumini wengine waamini vyao.., hio ndio misingi ya Amani na Utulivu.., ukianza kuwapangia watu cha kuamini nadhani wewe ndio mwenye matatizo (unaweza kuwashauri ila sio kuwapangia wala kuwashurutisha..)
 
Uzuri wa imani kila mtu anaamini kile anachokiamini.., kwa muungwana cha kufanya ni kuamini chake na kuwaachia waumini wengine waamini vyao.., hio ndio misingi ya Amani na Utulivu.., ukianza kuwapangia watu cha kuamini nadhani wewe ndio mwenye matatizo (unaweza kuwashauri ila sio kuwapangia wala kuwashurutisha..)

Tunawashauri kwa kufuata maandiko yao wenyewe yanasema nini kwenye bible..
Sijawapinga kwa kutoka nnje ya maandiko bali wao ndio.
 
Tunawashauri kwa kufuata maandiko yao wenyewe yanasema nini kwenye bible..
Sijawapinga kwa kutoka nnje ya maandiko bali wao ndio.
wenyewe hawajui kusoma.., au inakuwaje tafsiri yako ndio iwe sahihi kuliko wao imani yao inavyowatuma ?

Kwangu mimi so long as Imani ya mtu haibughuzi wengine na kuwa Kero kwao.., basi all is well and good luck to them na muumba wao...
 
wenyewe hawajui kusoma.., au inakuwaje tafsiri yako ndio iwe sahihi kuliko wao imani yao inavyowatuma ?

Kwangu mimi so long as Imani ya mtu haibughuzi wengine na kuwa Kero kwao.., basi all is well and good luck to them na muumba wao...

Huo ndio ubinafsi unapoona mwenzako anakengeuka na unaelewa wazi kwamba anakengeuka alafu unasema kwani yeye hajioni.
Kwani mtu anapo anza kuuugua ugonjwa wa kichaa huwa anajitambua ?
Wewe mzima ndio unatambua na ukitambua hilo yakupasa kumsaidia mwenzako..

Utakuja kukuta mke wako anapewa maji ya battery anywe utasema imani yake ndio imemtuma hivyo.
 
Huo ndio ubinafsi unapoona mwenzako anakengeuka na unaelewa wazi kwamba anakengeuka alafu unasema kwani yeye hajioni.
Kwani mtu anapo anza kuuugua ugonjwa wa kichaa huwa anajitambua ?
Wewe mzima ndio unatambua na ukitambua hilo yakupasa kumsaidia mwenzako..

Utakuja kukuta mke wako anapewa maji ya battery anywe utasema imani yake ndio imemtuma hivyo.
Unawelewa wazi kuhusu imani yake kuliko yeye anayoamini hio imani ?

Na akinywa hayo maji ya battery atakufa au atapona ? Na kama atapona kuna Imani zinaamini ushirikina na mizimu kama babu zetu..., All in all keyword kwangu ilikuwa isidhuru wengine au kuwa kero kwa wengine.., sasa kama kumpa mtu maji ya battery hakuna madhara all is good...
 
Huyo kijana amefungua biashara yenye faida mbili.....
Sadaka na papuchi, zote ashindwage yeye tu....teh
 
Tunawashauri kwa kufuata maandiko yao wenyewe yanasema nini kwenye bible..
Sijawapinga kwa kutoka nnje ya maandiko bali wao ndio.

Na wenyewe wakikushauri ujiue ukapate mabikra 72 peponi utakubali au watakuwa wamekushauri nje ya maandiko !?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom