Ndugu zetu wakristo mnakwama wapi ?

Ndugu zetu wakristo mnakwama wapi ?

mbona upumbavu upo kwenye imani zote tu
kuna waumini wa imani nyingine hawapendi kabisa elimu, wanadai ni haramu, wakiona watu wanajiachia wakifurahia maisha wanafura kwa hasira wanavaa mabomu na kujilipua, sasa na hao sijui wanakwama wapi
Hawapendi kabisa elimu???? Kwahiyo hata elimu ya dini yao hawasomi?
 
Tofauti kati ya uislamu na ukristo upo sehemi moja wakristo wamejaaliwa uvumilivu, ustamihilivu na kutoendeshwa lwa mihemuko tofauti na waislamu wao wanaendeshwa na mihemuko, jazba hawana ustahimilivu wala uvumilivu ingelikua ni waislamu hao ungekuta watu wanaandamana kutaka kupigana au kumpiga huyo mchungaji
Maneno yako yananifanya nimkumbuke Nabii Tito na kilichomkuta.
 
mbona upumbavu upo kwenye imani zote tu
kuna waumini wa imani nyingine hawapendi kabisa elimu, wanadai ni haramu, wakiona watu wanajiachia wakifurahia maisha wanafura kwa hasira wanavaa mabomu na kujilipua, sasa na hao sijui wanakwama wapi

Elimu mnayoipata mnakimbilia serikalini mkajiandae na wizi na dhulma inasaidia nini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom