Unaingiaje kwenye uchaguzi Mkuu wakati huo Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani ambaye ndo mpinzani wako mkuu yupo mahabusu, na kama haitoshi, chama kimefutiwa Ruzuku yake, kimezuiliwa kufanya shughuli zake za kisiasa, kimebanwa kila kona.
Katika mazingira hayo, hapo kuna uchaguzi gani? Unachagua nini kati ya nini?
Angalau zamani hata kama CHADEMA kitashindwa kwenye box la kura, kilikuwa kinashiriki uchaguzi. Kilikuwa hakiwekewi vikwazo vingi hivi mwaka wa uchaguzi.
Watu wa CCM, mtakuwa na amani gani kuingia kwenye uchaguzi Mkuu katika mazingira haya?
Jitafakarini kwanza kabla ya kuingia kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu katika mazingira haya.
Katika mazingira hayo, hapo kuna uchaguzi gani? Unachagua nini kati ya nini?
Angalau zamani hata kama CHADEMA kitashindwa kwenye box la kura, kilikuwa kinashiriki uchaguzi. Kilikuwa hakiwekewi vikwazo vingi hivi mwaka wa uchaguzi.
Watu wa CCM, mtakuwa na amani gani kuingia kwenye uchaguzi Mkuu katika mazingira haya?
Jitafakarini kwanza kabla ya kuingia kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu katika mazingira haya.