Ndugu zangu wananichukia

aisee pole sana miss jay story yako ikotofaut kdg na yng ila umekosea sana kiwanja umenunua lkn hakuwepo mby zaid swala la ujenzi ni swala nyeti sana hutakiwi kukabithi mtu pesa kbs usimazi ulitakiwa uwe wako na sio ndugu yako kbs pesa mwanaharam sana kilichopotea huwezi kueudisha rekebisha makosa yako jipange upya uwe na uchaga kdg kujua unafutilia kazi na kias cha pesa unachotoa kila la kheri
 
usjal dadaangu. kikubwa shukuru Mungu una kitu cha kukupatia kipato. hivyo fanya uanze 1, nunua kiwanja mbali na huko walipo mama na dada, jenga mdo mdo utatusua.
 
Ndugu zako hawakuchukii
ila hawana discipline na pesa
usiwakopeshe wala kuwashirikisha tena ishu za pesa
mama yako unaweza kuta pia sio timam sawasawa
ukimchukia unamuonea bure
 
Pole sana dada, Trust in God, jaribu kusimama wewe kama wewe sasa
 
mtu anapotea wakati wakwenda ila siyo wakurudi...ilitakiwa toka ulipomkopea mil 1 na hakulipa unampotezea mazima,lakini zaidi ni kuwa hata hawa wazazi wetu pia wanakuwa na ushetani ndani yake haswa inapotokea kuwa hana roho yakutamani mafanikio unaweza sema ni aina flani hivi ya uchawi...chakufanya kuanzia sasa nikufanya mambo yako bila hata kuwashirikisha au kuwaweka karibu.....hao wana undugu na shetani hakika nakuambia....fikiria kwa kutumia akili siyo moyo,utakufa maskini wakat MUNGU alikupa nafasi hiyo...
 
Kuna siku Yesu Mnazareti alimwambia "Ondoka kwangu shetani". Mtu mwenye kuzuia Malengo makubwa uliyojiwekea tena kwa makusudi huna jina la kumuita zaidi ya shetani.

Kwa kuwa umetambua ndugu zako (Mama & dada yako) hawapo upande wako ni vzr ukawaepuka. Huna namna zaidi ya kukubaliana na ukweli huu.

Mungu ni mwema mtumaini yeye ili akuinue na kukupa "Hekima & maarifa" ya kushinda vita ulivyonavyo.
 
Cha msingi. Piga moyo konde. Wasamehe. Jipange upya usirudie makosa tena. Simama mwenyewe kwa miguu yako mungu atakusaidia.
 

Fanya yako na achana na watu wasiobebeka,kwanza walikunyanyasa afu unawabembeleza nini sasa?piga chini tafuta maisha yako na familia yako!
 
Acha ubwege ndugu zako hawana nia ya kusaidia zaidi ya kukuumiza fanya mambo yako kimya kimya
 
Wewe ni mtu mzima unalia lia na ndugu ya nini?
Duniani hapa anayekushika mkono ndio ndugu yako........
Chakufanya nunua kiwanja unapoishi....mbali nao kabisa (cha huko kiuze) anza ujenzi.

Mawasiliano nao yawe ni ya kawaida yasihusishe pesa....na ikitokea issue ya pesa ujue kusema "sina hela" unless iwe ni ugonjwa.
 
Pole sana bi dada. Umewajua rang zao, sasa amua kufanya mwenyewe! Mungu atakufungulia milango, na najua watakuja kukuomba msamaha siku moja & uwasamehe tu. Binadamu kwa sasa tumepoteza uaminifu & upendo, hata mnyama hawezi kumfanyia hivi mwanae wa kuzaa, no way. Imeniuma!
 
muda mwingine waweza waza hadi ukakufuru kwa maana kuna ndugu hawafadhiliki na pia hufikiri msaada wako ni jukumu lako kwao..watu kama hawa wanaoutumia undugu kama udhaifu wako ili wakufilisi sio wakuwachekea kila mara maana kwao ni fursa ila kwako ni maumivu.Fanya unachoweza kutoa kama msaada kwao ili uishi maisha yako maana ndugu ni wa muhimu lakini future yako INA umaana zaidi kwako na kizazi chako.
 
Peleleza hata jina lake na ukoo wake kama si wa nchi hii sazi mitandao inasaidia sana unaweza search jina hiko la ukoo ukapata mwanga!kikubwa pigania kutafuta majina yake tuu
 
Katika maisha, kila mtu ana nafasi ya kukuangusha mara moja. Kuangushwa mara mbili ni uzembe uliokithiri.

Ulifanya vyema kuanza kujikwamua na umaskini. Sasa umeshagundua kuwa mama hawezi kusimamia shughuli zako, jitegemee. Nunua kiwanja na uanze ujenzi mahali pengine. Weka pesa zako miezi kadhaa na uchukue likizo ya wiki moja tu full time site usimamie ujenzi. Hakuna anaekuchukia, ndio walivyo na tamaa ya pesa za kusquander. Usiwakasirikie wala kuwanunia, fanya yako bila kuwashirikisha.
 
Comment zenu zinanitia moyo na kunipa mwanga wa kipi cha kufanya,asanteni na Mungu awabariki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…