Ndugu zangu wananichukia

Ndugu zangu wananichukia

Pole sana , ila jifunze kitu kimoja usikae na hasira rohoni au kuendelea kuwaza sana. chukulia positive way kuwa hizo ni challenges za maisha , na tambua kila ugumu unapotokea katika kutafuta solution ndo hapo unapozidi kupata experience ya maisha. Ondoa kinyongo ili usiendelee kuumia mwenyewe pia samehe na anza upya kivyako ila usikatishe mahusiano kwa mama na dada yako haya yatapita ,, na trust me ukishamove on.. baadaye dhamira itawasuta na kuanza kujirudi either kwa kuomba msamaha direct au indirect .
Kumbuka Hakuna jipya chini ya jua yanatokea sana kwenye family nyingi .ila muhimu kukabiliana nayo na kuyashinda
 
Asanteni kwa ushauri na faraja,Mungu awabariki
 
ubinadamu kazi sana. pole sana kwa matatizo
 
Pole sana mkuu ila fahamu tu kwamba wewe ni chanzo chanzo cha yote unayopitia. in Short Learn From Your Mistakes and move Forward
 
Habari wana JF,

Mimi ni kijana wa kike mwenye umri kati ya miaka 25-30.Ninao ndugu zangu wawili ambao tangu nmekua na kujielewa nimekuwa nikiishi nao, ndugu hao ni mama yangu mzazi na dada yangu mkubwa.Mimi ni wa mwisho kuzaliwa lakini bahati mbaya nilipokuwa darasa la pili baba yangu alifariki na inasemekana baba yangu hakuwa na mtoto mwingine zaidi yangu,dada yangu yeye ana baba yake na yuko hai.

Kisa chenyewe ni kwamba hawa ndugu zangu wana maisha mazuri japokuwa dada yangu hakusoma sana kutokana na kutokuwa na akili za darasani lakini baba yake ni mtu mwenye uwezo hivyo alimpa mtaji na huwa anafanya biashara.Tangu baba yangu kufariki nilianza kupata ubaguzi kutoka kwa dada yangu huyu maana alikuwa akiletewa vitu na baba yake mimi hanigawii na tukiwa chumbani basi huniringishia,mimi nilivumilia na kuendelea na maisha.Mama yetu alikuwa akimkemea lakin hakuacha hiyo tabia,mimi nilisoma kwa bidii nikafaulu level zote hadi kufika chuo kikuu.

Baada ya kumaliza chuo na kupata kazi nilipata wazo la kutafuta mali zangu maana baba yangu hakuniachia kitu,kila tunachomiliki kama familia ni cha baba wa dada yangu hadi nyumba tunayoishi.Hivyo nikaamua kujenga kule aliko mama yangu maana mimi nafanya kazi mkoa tofauti na mama anapoishi,mara ya kwanza nikamtumia mil 3 ili anunue matofali 3000 ya block kwa ajili ya ujenzi, nikanunua na ramani kwa mkandarasi nikaituma ili ujenzi uanze.Baada ya mwezi nikaanza kluwa natuma pesa kila mwezi kwa ajili ya vifaa kama cement,mchanga,mawe na gharama za kulipa mafundi ili wajenge,nia yangu ilikua kujenga nusunusu kila mwezi hadi nimalize.

Sasa juzi baada ya kuwasiliana na mama na kuniambia nyumba imefika kwenye lenta niliamua kufanya ziara ya kushtukiza ili nikaione nyumba yangu,cha ajabu nilipofika eneo la tukio nikakuta hakuna nyumba wala msingi, hata miti ambayo niliwahi kutuma pesa ili inunuliwe ipandwe haikuwepo yaani kiwanja kilikuwa cheupe, niliishiwa nguvu na kulia kama nimefiwa, nilienda hadi kwa mama kumuuliza kilichojiri lakini hakuwa na jibu la kueleweka, mara amejnga sehemu nyingine na nilipomuambia anipeleke akasema amepasahau hapakumbuki, niliondoka siku hiyo hiyo kurudi ninakofanyia kazi lakini moyo wangu umeumia pasipo mfano,nimepigana sana kutafuta pesa zangu lakini ndugu zangu wananirudisha nyuma,

Kabla ya hapa pia nimewahi kumkopea huyu dada yangu pesa kwenye vyama kama mil 1 lakin aligoma kulipa nkadaiwa mimi,na pia wakati nasoma nlikua nafanya biashara ya nguo nachukua kariakoo natembeza kwenye hostel za chuo sasa kuna kipindi nikawa bize na research nikampa mama yangu mzigo wa nguo wa laki 8 aniwekee dukani kwake aziuze then ubize ukiisha nitaendelea na biashara lakini mzigo aliuza na pesa hakunipa akidai kuwa alikopesha na hakulipwa.Nimeshindwa kuelewa hawa ndugu zangu kwanini wananifanyia hivyo wakati vitu vyao na mali zao mimi hawanipi na wananinyanyasia na nikitafuta vyangu wananidhulumu, kwa kweli naumia hata sijui cha kufanya.

Miss jay pole,,,,ila kama uneshagundua ilo basi si watu wazur hawapend uendelee,,,cha msingi kuanzia leo sitisha kuwashirikisha ktk jambo lolote la mafanikio yako

Panga mipango yako mwenyewe fanya maendeleo yako in ur own full stop

Ushirikiano wako kwao utakuwa ni wa kawaida tu wa kindugu kama mawazo,, labda mama anaumwa dada , vikao vya familia, michango kama kuna tatizo basi lakini masuala ya kuwapa ela kwa ajiri ya maendeleo wakufanyie acha sasa ivi utakuwa maskini pliiiz

Ndugu lawama hujui huo msemo una maanisha nini

Ni ngumu saana kumuhukumu ndugu yako coz blood is thiker than water but njia sahihi ni.iyo niliokuambia piga kazi kimpango wako full stop
 
Habari wana JF,

Mimi ni kijana wa kike mwenye umri kati ya miaka 25-30.Ninao ndugu zangu wawili ambao tangu nmekua na kujielewa nimekuwa nikiishi nao, ndugu hao ni mama yangu mzazi na dada yangu mkubwa.Mimi ni wa mwisho kuzaliwa lakini bahati mbaya nilipokuwa darasa la pili baba yangu alifariki na inasemekana baba yangu hakuwa na mtoto mwingine zaidi yangu,dada yangu yeye ana baba yake na yuko hai.

Kisa chenyewe ni kwamba hawa ndugu zangu wana maisha mazuri japokuwa dada yangu hakusoma sana kutokana na kutokuwa na akili za darasani lakini baba yake ni mtu mwenye uwezo hivyo alimpa mtaji na huwa anafanya biashara.Tangu baba yangu kufariki nilianza kupata ubaguzi kutoka kwa dada yangu huyu maana alikuwa akiletewa vitu na baba yake mimi hanigawii na tukiwa chumbani basi huniringishia,mimi nilivumilia na kuendelea na maisha.Mama yetu alikuwa akimkemea lakin hakuacha hiyo tabia,mimi nilisoma kwa bidii nikafaulu level zote hadi kufika chuo kikuu.

Baada ya kumaliza chuo na kupata kazi nilipata wazo la kutafuta mali zangu maana baba yangu hakuniachia kitu,kila tunachomiliki kama familia ni cha baba wa dada yangu hadi nyumba tunayoishi.Hivyo nikaamua kujenga kule aliko mama yangu maana mimi nafanya kazi mkoa tofauti na mama anapoishi,mara ya kwanza nikamtumia mil 3 ili anunue matofali 3000 ya block kwa ajili ya ujenzi, nikanunua na ramani kwa mkandarasi nikaituma ili ujenzi uanze.Baada ya mwezi nikaanza kluwa natuma pesa kila mwezi kwa ajili ya vifaa kama cement,mchanga,mawe na gharama za kulipa mafundi ili wajenge,nia yangu ilikua kujenga nusunusu kila mwezi hadi nimalize.

Sasa juzi baada ya kuwasiliana na mama na kuniambia nyumba imefika kwenye lenta niliamua kufanya ziara ya kushtukiza ili nikaione nyumba yangu,cha ajabu nilipofika eneo la tukio nikakuta hakuna nyumba wala msingi, hata miti ambayo niliwahi kutuma pesa ili inunuliwe ipandwe haikuwepo yaani kiwanja kilikuwa cheupe, niliishiwa nguvu na kulia kama nimefiwa, nilienda hadi kwa mama kumuuliza kilichojiri lakini hakuwa na jibu la kueleweka, mara amejnga sehemu nyingine na nilipomuambia anipeleke akasema amepasahau hapakumbuki, niliondoka siku hiyo hiyo kurudi ninakofanyia kazi lakini moyo wangu umeumia pasipo mfano,nimepigana sana kutafuta pesa zangu lakini ndugu zangu wananirudisha nyuma,

Kabla ya hapa pia nimewahi kumkopea huyu dada yangu pesa kwenye vyama kama mil 1 lakin aligoma kulipa nkadaiwa mimi,na pia wakati nasoma nlikua nafanya biashara ya nguo nachukua kariakoo natembeza kwenye hostel za chuo sasa kuna kipindi nikawa bize na research nikampa mama yangu mzigo wa nguo wa laki 8 aniwekee dukani kwake aziuze then ubize ukiisha nitaendelea na biashara lakini mzigo aliuza na pesa hakunipa akidai kuwa alikopesha na hakulipwa.Nimeshindwa kuelewa hawa ndugu zangu kwanini wananifanyia hivyo wakati vitu vyao na mali zao mimi hawanipi na wananinyanyasia na nikitafuta vyangu wananidhulumu, kwa kweli naumia hata sijui cha kufanya.

Afu kuwa makini dadangu icho kiwanja wanaweza kukiuza fanya mpango ukiuze ukajenge uko ulipo pliiz,,,na uthithubutu kufanya nao mipango ya maendeleo mshukuru mungu kwa kuweza kukuonesha.ilo
 
Habari wana JF,

Mimi ni kijana wa kike mwenye umri kati ya miaka 25-30.Ninao ndugu zangu wawili ambao tangu nmekua na kujielewa nimekuwa nikiishi nao, ndugu hao ni mama yangu mzazi na dada yangu mkubwa.Mimi ni wa mwisho kuzaliwa lakini bahati mbaya nilipokuwa darasa la pili baba yangu alifariki na inasemekana baba yangu hakuwa na mtoto mwingine zaidi yangu,dada yangu yeye ana baba yake na yuko hai.

Kisa chenyewe ni kwamba hawa ndugu zangu wana maisha mazuri japokuwa dada yangu hakusoma sana kutokana na kutokuwa na akili za darasani lakini baba yake ni mtu mwenye uwezo hivyo alimpa mtaji na huwa anafanya biashara.Tangu baba yangu kufariki nilianza kupata ubaguzi kutoka kwa dada yangu huyu maana alikuwa akiletewa vitu na baba yake mimi hanigawii na tukiwa chumbani basi huniringishia,mimi nilivumilia na kuendelea na maisha.Mama yetu alikuwa akimkemea lakin hakuacha hiyo tabia,mimi nilisoma kwa bidii nikafaulu level zote hadi kufika chuo kikuu.

Baada ya kumaliza chuo na kupata kazi nilipata wazo la kutafuta mali zangu maana baba yangu hakuniachia kitu,kila tunachomiliki kama familia ni cha baba wa dada yangu hadi nyumba tunayoishi.Hivyo nikaamua kujenga kule aliko mama yangu maana mimi nafanya kazi mkoa tofauti na mama anapoishi,mara ya kwanza nikamtumia mil 3 ili anunue matofali 3000 ya block kwa ajili ya ujenzi, nikanunua na ramani kwa mkandarasi nikaituma ili ujenzi uanze.Baada ya mwezi nikaanza kluwa natuma pesa kila mwezi kwa ajili ya vifaa kama cement,mchanga,mawe na gharama za kulipa mafundi ili wajenge,nia yangu ilikua kujenga nusunusu kila mwezi hadi nimalize.

Sasa juzi baada ya kuwasiliana na mama na kuniambia nyumba imefika kwenye lenta niliamua kufanya ziara ya kushtukiza ili nikaione nyumba yangu,cha ajabu nilipofika eneo la tukio nikakuta hakuna nyumba wala msingi, hata miti ambayo niliwahi kutuma pesa ili inunuliwe ipandwe haikuwepo yaani kiwanja kilikuwa cheupe, niliishiwa nguvu na kulia kama nimefiwa, nilienda hadi kwa mama kumuuliza kilichojiri lakini hakuwa na jibu la kueleweka, mara amejnga sehemu nyingine na nilipomuambia anipeleke akasema amepasahau hapakumbuki, niliondoka siku hiyo hiyo kurudi ninakofanyia kazi lakini moyo wangu umeumia pasipo mfano,nimepigana sana kutafuta pesa zangu lakini ndugu zangu wananirudisha nyuma,

Kabla ya hapa pia nimewahi kumkopea huyu dada yangu pesa kwenye vyama kama mil 1 lakin aligoma kulipa nkadaiwa mimi,na pia wakati nasoma nlikua nafanya biashara ya nguo nachukua kariakoo natembeza kwenye hostel za chuo sasa kuna kipindi nikawa bize na research nikampa mama yangu mzigo wa nguo wa laki 8 aniwekee dukani kwake aziuze then ubize ukiisha nitaendelea na biashara lakini mzigo aliuza na pesa hakunipa akidai kuwa alikopesha na hakulipwa.Nimeshindwa kuelewa hawa ndugu zangu kwanini wananifanyia hivyo wakati vitu vyao na mali zao mimi hawanipi na wananinyanyasia na nikitafuta vyangu wananidhulumu, kwa kweli naumia hata sijui cha kufanya.

Wewe ndio nguzo kuu hapo ndio maana unaumizwa mama.
Usikate tamaa jenga hata mji ulipo ni asset yako, sio wote wanapata mama na dada wenye hekima na upendo wa kweli hasa katika mambo ya pesa.
Pole jipe moyo, Mungu ameshakutoa mbali sasa simama ufanye yako achana na ndugu hela pekee ya kuwapa ni ile unampa mama ya matumizi lkn mipango yako ya pesa isije ikakuweka katika ugomvi na laana.
 
Pole sana ila inaonekana hujifunzi, baada ya kuibiwa mzigo wa lak nane na mil moja ungejua type ya watu unaowaamini. Bora ufanye kazi na watu baki,mnaandikishiana so hata maswala ya kudaiana kisheria hayatakuumiza kwanza watu baki wengi ni waaminifu. Mi mzee wangu alienda kusoma nje enzi hizo, mama akabaki hali ngumu tena enzi za duka la Kaya...Mzee akipata senti anatuma vitu kwa baba mdogo akijua hapo yupo salama wakati mkewe anahangaika na watoto. Baada ya miaka miwili anarudi, mdogo wake kumbe kafilimba kila alichotumiwa na hata mkewe hakupata kitu. Ndugu ni wazuri lakini ndio chanzo cha umaskini hasa ukiwaendekeza. Simama on ur own.Ukipata visent unamtumia mama lakini sio akufanyie kazi zako. Your dad is watching over u from heaven
 
Ni pm tuongee vizuri coz unaweza pata matatizo ya kisaikolojia.

mijamaa inayopenda kulelewa utaijua tu.pm majaliwa au huna lolote mario wewe kama una ushauri umwage hapa.unataka na wewe kumdhurumu dada wa watu
 
Pole Sana Miss J
Waswahili wanasema Ni heri ya rafiki kuliko ndugu, we Ni fighter mzuri Sana msamehe mama kwa yote wala usimkasirikie, fanya mambo yako bila kuwashilikisha tafuta eneo jingine hapo ulipo fanya maendeleo yako. Mungu atakulipia tu
 
Sasa bila shaka umejifunza anza kujenga mwenyewe..! Huo ndio ukubwa kuwa makini..!
 
Dogo changamka.... wife material hiyo.

Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya harusi yako nakupa go ahead...

nisaidie babu kunibembelezea maana fighters wakikaa meza moja lazima kodi ya bandarini ionekane
 
Habari wana JF,

Mimi ni kijana wa kike mwenye umri kati ya miaka 25-30.Ninao ndugu zangu wawili ambao tangu nmekua na kujielewa nimekuwa nikiishi nao, ndugu hao ni mama yangu mzazi na dada yangu mkubwa.Mimi ni wa mwisho kuzaliwa lakini bahati mbaya nilipokuwa darasa la pili baba yangu alifariki na inasemekana baba yangu hakuwa na mtoto mwingine zaidi yangu,dada yangu yeye ana baba yake na yuko hai.

Kisa chenyewe ni kwamba hawa ndugu zangu wana maisha mazuri japokuwa dada yangu hakusoma sana kutokana na kutokuwa na akili za darasani lakini baba yake ni mtu mwenye uwezo hivyo alimpa mtaji na huwa anafanya biashara.Tangu baba yangu kufariki nilianza kupata ubaguzi kutoka kwa dada yangu huyu maana alikuwa akiletewa vitu na baba yake mimi hanigawii na tukiwa chumbani basi huniringishia,mimi nilivumilia na kuendelea na maisha.Mama yetu alikuwa akimkemea lakin hakuacha hiyo tabia,mimi nilisoma kwa bidii nikafaulu level zote hadi kufika chuo kikuu.

Baada ya kumaliza chuo na kupata kazi nilipata wazo la kutafuta mali zangu maana baba yangu hakuniachia kitu,kila tunachomiliki kama familia ni cha baba wa dada yangu hadi nyumba tunayoishi.Hivyo nikaamua kujenga kule aliko mama yangu maana mimi nafanya kazi mkoa tofauti na mama anapoishi,mara ya kwanza nikamtumia mil 3 ili anunue matofali 3000 ya block kwa ajili ya ujenzi, nikanunua na ramani kwa mkandarasi nikaituma ili ujenzi uanze.Baada ya mwezi nikaanza kluwa natuma pesa kila mwezi kwa ajili ya vifaa kama cement,mchanga,mawe na gharama za kulipa mafundi ili wajenge,nia yangu ilikua kujenga nusunusu kila mwezi hadi nimalize.

Sasa juzi baada ya kuwasiliana na mama na kuniambia nyumba imefika kwenye lenta niliamua kufanya ziara ya kushtukiza ili nikaione nyumba yangu,cha ajabu nilipofika eneo la tukio nikakuta hakuna nyumba wala msingi, hata miti ambayo niliwahi kutuma pesa ili inunuliwe ipandwe haikuwepo yaani kiwanja kilikuwa cheupe, niliishiwa nguvu na kulia kama nimefiwa, nilienda hadi kwa mama kumuuliza kilichojiri lakini hakuwa na jibu la kueleweka, mara amejnga sehemu nyingine na nilipomuambia anipeleke akasema amepasahau hapakumbuki, niliondoka siku hiyo hiyo kurudi ninakofanyia kazi lakini moyo wangu umeumia pasipo mfano,nimepigana sana kutafuta pesa zangu lakini ndugu zangu wananirudisha nyuma,

Kabla ya hapa pia nimewahi kumkopea huyu dada yangu pesa kwenye vyama kama mil 1 lakin aligoma kulipa nkadaiwa mimi,na pia wakati nasoma nlikua nafanya biashara ya nguo nachukua kariakoo natembeza kwenye hostel za chuo sasa kuna kipindi nikawa bize na research nikampa mama yangu mzigo wa nguo wa laki 8 aniwekee dukani kwake aziuze then ubize ukiisha nitaendelea na biashara lakini mzigo aliuza na pesa hakunipa akidai kuwa alikopesha na hakulipwa.Nimeshindwa kuelewa hawa ndugu zangu kwanini wananifanyia hivyo wakati vitu vyao na mali zao mimi hawanipi na wananinyanyasia na nikitafuta vyangu wananidhulumu, kwa kweli naumia hata sijui cha kufanya.

Umeolewa?
 
Pole sana mpendwa Miss Jay kwa yote yaliyokufika. Vikwazo kwa binadamu ni sehemu ya maisha na vikwazo hivyo ni lazima vitokee kwani vikwazo hivyo ni sehemu ya mtihani wa maisha yako ya hapa duniani. Ukifungua Biblia kwenye kitabu cha Mathayo 18:8-9 neno la Mungu linatuambia "Kama mkono au mguu wako ukikukosesha, ukate na kuutupa mbali nawe. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima bila mkono au mguu, kuliko kutupwa katika moto wa milele ukiwa na mikono miwili na miguu yako miwili. Na kama jicho lako likikukosesha, ling'oe na kulitupa mbali nawe. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa chongo, kuliko kutupwa katika moto wa Jehanamu ukiwa na macho yako yote mawili."

Mungu anapotaja viungo hivyo katika biblia hamaanishi viungo kama mawazo yetu yanavyodhani bali anamaanisha vikwazo katika maisha. Anamaanisha kama ukiwa na kitu au mtu ambaye/ambacho anakuwa/kinakuwa kikwazo katika maisha yako kwa namna moja au nyingine basi ni heri ukatengana na mtu huyo au ukachana kabisa na hicho kitu kuliko kung'ang'ania kuwa na kitu au mtu ambaye/ambacho ni kikwazo na mwisho wa siku ukaishia kutenda mambo ambayo ni chukizo mbele za Mungu.

Naamini maneno haya Matakatifu ya Mungu yatakusaidia kwa namna moja au nyingine kutatua matatizo yanayokusibu.
 
Last edited by a moderator:
Asanteni kwa ushauri na faraja,Mungu awabariki

Pole sana. Hii ya kwako si ya kwanza, wengi imewakuta. Kuna fundi mmoja mwaminifu hadi namuogopa, anakaa kwenye bonge la jumba alilojengewa na mhanga kama wewe. Yeye baada ya kurudi alishangaa kukuta nyumba imejengwa vizuri kuliko alivyotarajia.

Akampa tena tenda ya kujenga kiwanja kingine. Alivyorudi na kuuona uaminifu wa fundi, alimkabidhi fundi funguo za nyumba na hati pale pale. So fundi muaminifu ni proud owner wa nyumba ambayo ya Kaunga ni cha mtoto.

Usiache kuwapenda ndugu zako, hatuchagui ndugu lakini anza mwanzo usiogope kudhulumiwa. Kujenga ulipo sawa lakini kama hutakaa sana na ni mkoa wa pembezoni utahangaika kuja kuuza baadaye. Jichange pesa ukij likizo unafanya kitu, halafu unasubiri tena. It can be done
 
Sasa kijana unakasirika nn, wewe shukuru mungu kakuonyesha mapema! Assume uliwapa hizo hela ila usiwe na stress ndogo ndogo na anza kupambana! Kwa umri wako na hasira za maisha ulizonazo! 2years utakuwa umefunika mashimo yote yanayotakiwa kufunikwa na utaishi raha mustarehe
 
Wewe ndio nguzo kuu hapo ndio maana unaumizwa mama.
Usikate tamaa jenga hata mji ulipo ni asset yako, sio wote wanapata mama na dada wenye hekima na upendo wa kweli hasa katika mambo ya pesa.
Pole jipe moyo, Mungu ameshakutoa mbali sasa simama ufanye yako achana na ndugu hela pekee ya kuwapa ni ile unampa mama ya matumizi lkn mipango yako ya pesa isije ikakuweka katika ugomvi na laana.

Samahani mpendwa PesaNdogo naomba nikurekebishe kidogo. Asset ni mali yoyote ambayo inaweza kuzalisha na kumuingizia mtu kipato. Nyumba ya kuishi huwezi kuiita asset kwa sababu nyumba haimuingizii mmiliki wa nyumba hiyo kipato unless nyumba hiyo iwe ya biashara yaani iwe ya kupangisha, hapo ndio utaiita hiyo nyumba kuwa ni asset.
 
Last edited by a moderator:
Samahani mpendwa PesaNdogo naomba nikurekebishe kidogo. Asset ni mali yoyote ambayo inaweza kuzalisha na kumuingizia mtu kipato. Nyumba ya kuishi huwezi kuiita asset kwa sababu nyumba haimuingizii mmiliki wa nyumba hiyo kipato unless nyumba hiyo iwe ya biashara yaani iwe ya kupangisha, hapo ndio utaiita hiyo nyumba kuwa ni asset.

Nadhani unajua moja ya sifa za asset ni depreciation, nyumba ina sifa hiyo wakati ardhi alipoiweka inapanda thamani with time. Mtoa mada hajasema ni nyumba ya nini. Sijasoma biashara/uhasibu ila najua nyumba ni asset (non - current asset) ndo maana huwekwa dhamana akapata mkopo /mtaji.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom