Rorscharch
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 1,435
- 3,113
- Kwanini maeneo ambayo mmejaa nyinyi kuliko Wakristo Dar es salaam kuna uduni wa kiasi fulani katika maendeleo mf. Nenda Chamazi - Mbagala, nenda temeke na maeneo mengine ambapo mpo wengi kuliko wakristo
- Kwanini watoto zenu wanasoma vizuri tu kwenye shule za Kikristo (mission) ila watoto zetu kusoma zenu ni changamoto
- Mbona mnakula sana kitimoto ndugu zangu? Mmejiruhusu au mmeruhusiwa?