Ndugu zangu vijana, UKIMWI unatafuna watu na sio wanyama

na kwa kuongezea......karibu familia nyingi umeshatupunguzia ndugu,,,au hata majirari.....tujihadhari sana inaumiza sana ukiwa unauguza ....duh very badly.....tusisahau kuongea na watoto wetu jamani.....vijana wanapukitika balaa....kwenye vituo vya kutoa dawa....kakae siku moja uone....wa mbagala wanachukulia dawa bunju.... piga hesabu muda na gharama.....UKIMWI UPO...asante mleta udhi....
 
jaribun siku uende CTC za hospital yaan kuna wadada warembo hatari ila ndio waathirika, sasa baada ya kuona hayo akili inaweza kukukaa sawa..!!

Sent usingJamii Forums mobile app
mkuu inatisha sana, siku moja niko pale muhimbili dirisha la kuchukulia dawa. nikaona watu wakipewa dozi zao wanatoa mabox wanayatupa kwenye dustbin ,,, mkuu ni wazururi kiasi kwamba huwezi kudhani. mpaka leo bado sijasahau hilo.
 
mkuu watu wanakata kamba balaaaa watu wanakunywa aya madude nendeni hospital mkaone folen watu wanavochukua dawa huwez amin yaan ni watu wengi kinoma yaan ukiwaona utajifunza kitu na umalaya lazima uache
Na sio foleni ya watu wengi tu...ni foleni ambayo imejaa mabrazamen na masistaduu wakali ambao huwez kuamini ni wagonjwa jinsi walivyopendeza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na siku hizi ukipimwa tu na kuonekana una virus wanatembea na damu basi unaanzishiwa dozi right away.

Yale maharage kuyameza kila siku jamani, hapo ndio shida inapoanzia, kula maharage kiiiila siku....

Tuanzishe chama cha watumiaji, sema tu unyanyapaa!!!
 
Naona vijana hufunguwa majukwaa mbalimbali ya kutafuna papuchi, au utahalamu wa style mbambali za migegedo na ufundi mwingine mwingi wa kupinduka pinduka kama samaki baharini.

ujumbe
ikiwa kama vijana, cheza vibaya unalo, HIV imekuwa kama moja ya qualification status, hatuogopi na kama tumejisahau kuwa ukimwi upo, in fact , kama huna maambukizi huwezi feel! ila ndugu zetu wengine walio pata maambukizi kwa sababu mbalimbali wao wanafeel na wananielewa nini nazungunza! ngono zembe, ni hatari, siku hizi HIV Tester zipo katika maduka ya madawa, nenda ukajipime na mwenza wako, usienda na mtu bila kupima, tuacheni michezo ya kujichezeaa kamali katika maisha yetu.

tujihadhali, ukimwi bado upo,


KUPATA UKIMWI NI HADI ULOGWE!
 
Wiki moja iliyopita nikapata demu,kutokana na kazi yake nikajua huyu anakutana na wanaume kibao,maana mtoto ana sifa zile ambazo wanaume wengi tunaanzia kuzitazama kabla hatujaenda deep,
Nikarusha vocals mtoto akanilewa,na hata tulipopanga kukutana alifika kiroho safi,kuomba mzigo ndipo nilipompendea zaidi,maana alikataa katakata twende tukapime kwanza,condom alisema hapendi kabisa,kwa kuwa sikuwa na shaka huyooo mpaka laboratory tukapima then tukarudi room kupiga show ya kibabe,nilipanga kulala naye usiku mmoja,lakini kwa kuonesha anajari afya yake nikaongeza na siku ya pili tukala raha na jana ndipo tukarudi sehemu zetu za kazi.
Wanawake wakiwa na msimamo kama wa huyu demu hakika UKIMWI tutauepuka,maana wanaume huwa hatukumbuki kabisa swala la afya pale kichwa cha chini kikizidiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
mm alikuja sehemu ya tukio na vipimo vyake , tukajipima wote kabla ya mechi.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom