Ndugu zangu nawaaga kwaheri

Ndugu zangu nawaaga kwaheri

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,563
Reaction score
57,888
Sitakuwa Tena mtandaoni

Hizi video na picha za ndugu zangu ninazoziona uvumilivu umenishinda.

Moyo wangu unavuja damu sana.

Nitarudi hapa siku Samia atakapokuwa kafa au kaachia madaraka

Kwaherini ndugu zangu sitaingia Tena mitandaoni hasa mitandao ya kijamii

Watu wameuwawa mpaka waliokuwa wamejificha chini ya uvungu wa vitanda vyao.

Moyo wangu unauma Sana Sana sijui Kama nitapona kwa haya niliyoyaona kwa macho

Kwaherini ndugu zangu siwezi kuendelea kuishi kwenye nchi ya namna hii.
 
Sitakuwa Tena mtandaoni

Hizi video na picha za ndugu zangu ninazoziona uvumilivu umenishinda.

Moyo wangu unavuja damu sana.

Nitarudi hapa siku Samia atakapokuwa kafa au kaachia madaraka

Kwaherini ndugu zangu sitaingia Tena mitandaoni hasa mitandao ya kijamii

Watu wameuwawa mpaka waliokuwa wamejificha chini ya uvungu wa vitanda vyao.

Moyo wangu unauma Sana Sana sijui Kama nitapona kwa haya niliyoyaona kwa macho

Kwaherini ndugu zangu siwezi kuendelea kuishi kwenye nchi ya namna hii.
Uongo, unabadili ID tu
 
Aisee nimeona video nying sana nikiri wazi nilichukulia ni ajali kazini,ila dk chache zilizopita nimeona video kuna mama kapigwa risasi mlangoni kwake tena zile nyumba za vichochoroni kabisa sio kusema barabaran damu zimetapakaa mlangoni kabisa,familia yake akiwemo mwanae mdogo amechuchumaa mbele ya damu za mama yake analia kwa uchungu na ndugu zao wengine.Nimefeel maumivu yao aisee mpk nimeshindwa kula seriously
 
Jikaze mwanaume!!

Na lengo lilikuwa kuwatoa mchezoni watu wa aina yako!

Kenya ilikuwa hivi 2007 na bado watu wanaingia barabarani kila siku hadi kesho!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom