magesa robinson
Member
- Apr 30, 2016
- 92
- 58
Maneno uliyo yaongea ni maneno safi kama mtu asafishae DHAHABU iliyo chafuka hatimaye ikauzika na ikawa na thamani sana machoni pa watu , kujitambua kwa wenye HEKIMA NA KUJUA HAKI ni sawa na mtanzania mmoja aliekubali na kupiga kelele BILA KUOGOPA KULILIA KATIBA MPYA NA TUME HURU