Mara nyingi nimetetea uraia pacha ili wana Diaspora wapewe nafasi za kuwekeza nchini. Sababu kubwa ya kufanya hivyo ni kwamba nina ndugu yangu huko nje alichukua uraia wa huko, na sasa anasema inakuwa vigumu kuwekeza Tanzania kwa kuwa yeye sio raia tena wa Tanzania.
Sasa juzi hapa kanishauri niachane na kazi za kuajiriwa (mshahara wangu ni kama Tshs 1.5m kwa kwenzi). Ananiambia yuko tayari kunipa mtaji wa Tshs 200m kwa shart moja tu, niachane na kazi ya kuajiriwa ili nijikite kwenye kuzitumia hizo Tshs 200m zizalishe. Kaniambia hatanipangia cha kufanya, ni juu yangu, na kwamba kama nikizipoteza pia ni juu yangu, wala hatanidai. Ila hataki anipe hizo hela huku naendelea na kazi ya kuajiriwa.
Naombeni ushauri - kwanza kama ni wazo zuri mie kuacha kazi kwa hiyo Tshs 200m, na kama ndivyo nikiacha kazi nizitumie kwenye biashara gani? Nikiacha kazi, nina mafao yangu ya kama Tshs 70m, kwa hiyo nitakuwa na jumla ya kama Tshs 270m, lakini bado sielewi nifanye shughuli gani. Kilimo? Daladala? Nyumba? Biashara ya mazao? Niziweke tu benki niwe nachukua interest? Au niendelee tu na kazi yangu ya kuajiriwa yenye uhakika wa mshahara kila mwezi?
Mjulishe kuwa umeacha kazi ukiambatanisha documents za mchongo.Mara nyingi nimetetea uraia pacha ili wana Diaspora wapewe nafasi za kuwekeza nchini. Sababu kubwa ya kufanya hivyo ni kwamba nina ndugu yangu huko nje alichukua uraia wa huko, na sasa anasema inakuwa vigumu kuwekeza Tanzania kwa kuwa yeye sio raia tena wa Tanzania.
Sasa juzi hapa kanishauri niachane na kazi za kuajiriwa (mshahara wangu ni kama Tshs 1.5m kwa kwenzi). Ananiambia yuko tayari kunipa mtaji wa Tshs 200m kwa shart moja tu, niachane na kazi ya kuajiriwa ili nijikite kwenye kuzitumia hizo Tshs 200m zizalishe. Kaniambia hatanipangia cha kufanya, ni juu yangu, na kwamba kama nikizipoteza pia ni juu yangu, wala hatanidai. Ila hataki anipe hizo hela huku naendelea na kazi ya kuajiriwa.
Naombeni ushauri - kwanza kama ni wazo zuri mie kuacha kazi kwa hiyo Tshs 200m, na kama ndivyo nikiacha kazi nizitumie kwenye biashara gani? Nikiacha kazi, nina mafao yangu ya kama Tshs 70m, kwa hiyo nitakuwa na jumla ya kama Tshs 270m, lakini bado sielewi nifanye shughuli gani. Kilimo? Daladala? Nyumba? Biashara ya mazao? Niziweke tu benki niwe nachukua interest? Au niendelee tu na kazi yangu ya kuajiriwa yenye uhakika wa mshahara kila mwezi?
hujaona neno AU ktk paragraph ya tatu..?Hizi lodge tatu za maana kwa milioni 200 na day care ni za aina gani?
Mbona na wewe unaongea kama hujaona hela hiyo iliyoandikwa. Milioni 200 ufanye yote hayo. Unajenga nini? Kua serious alafu ni seniour member wa JF
hiyo 200ml pesa ndogo sana hiyo, usizuzuke nayo, kwa mwezi sh: 1.5ml, inakutosha sana kuanzisha biashara zako na kupambana nazo huku ukiendelea na kazi.Mara nyingi nimetetea uraia pacha ili wana Diaspora wapewe nafasi za kuwekeza nchini. Sababu kubwa ya kufanya hivyo ni kwamba nina ndugu yangu huko nje alichukua uraia wa huko, na sasa anasema inakuwa vigumu kuwekeza Tanzania kwa kuwa yeye sio raia tena wa Tanzania.
Sasa juzi hapa kanishauri niachane na kazi za kuajiriwa (mshahara wangu ni kama Tshs 1.5m kwa kwenzi). Ananiambia yuko tayari kunipa mtaji wa Tshs 200m kwa shart moja tu, niachane na kazi ya kuajiriwa ili nijikite kwenye kuzitumia hizo Tshs 200m zizalishe. Kaniambia hatanipangia cha kufanya, ni juu yangu, na kwamba kama nikizipoteza pia ni juu yangu, wala hatanidai. Ila hataki anipe hizo hela huku naendelea na kazi ya kuajiriwa.
Naombeni ushauri - kwanza kama ni wazo zuri mie kuacha kazi kwa hiyo Tshs 200m, na kama ndivyo nikiacha kazi nizitumie kwenye biashara gani? Nikiacha kazi, nina mafao yangu ya kama Tshs 70m, kwa hiyo nitakuwa na jumla ya kama Tshs 270m, lakini bado sielewi nifanye shughuli gani. Kilimo? Daladala? Nyumba? Biashara ya mazao? Niziweke tu benki niwe nachukua interest? Au niendelee tu na kazi yangu ya kuajiriwa yenye uhakika wa mshahara kila mwezi?
Still bado, hiyo lodge utatengeneza kwa bei gani lodge 3.hujaona neno AU ktk paragraph ya tatu..?
Chance ndoto naomba uje kusoma hapa tujifunze kwa pamoja ktk hili andiko la Riyan Said, lakini nami nitaongezea nyama chini...Jenga lodge ya kawaida mikumi mil.50 -
nenda gairo jenga lodge nyingine ya kawaida mil.50
-nenda pale tunduma border weka fiscal chamber ya benki zote na miamala ya simu(tigopesa,mpesa n.k) pia weka bereau de change ndogo pale badilisha kwacha kwa dollar kwa shillings (apo invest 30 mil.
inabaki 70-20 hiyo ni kama collateral -50 jenga nyumba kubwa ya wapangaji weka mtu
kwa mzunguko wa hela kwa maeneo hayo kwa siku unalaza zaidi ya 2 mil. kama profit kwa siku
sijaeleza sana sababu niko border na clear mzigo navuka kasumbalesa - (natamani humu JF tungekuwa tunatuma V.N ila ....mm ngeeacha kazi nkafanya biashara ingekuwa nafasi yangu ya kutoboaa
wakati tunasoma somo la biashara shule au chuo kuna neno ( qualities of an entrepreneurship) HE/SHE IS ALWAYS A RISK TAKER
we only live once - wen only u encouter death is wen only you can truly appreciate life
Chance ndoto naomba uje kusoma hapa tujifunze kwa pamoja ktk hili andiko la Riyan Said, lakini nami nitaongezea nyama chini...
Lazima tuwe na 3rd eye, hakuna kinacho shindikana... Tatizo letu sisi WaTz hatufanyi utafiti na hatutak kujifunza...
Ndio maana mtu una mwambia nyumba yako au nyumba ile ina thamani ya million 35 anakubishia anasema katumia million 80. Kumbe mwenye nyumba hadi nyumba inaisha hajui hata bei ya mbao au nondo... Unapotaka kuanzisha mradi fanya research ukimaliza wekeza muda wako ktk kuanzisha au kujenga mradi wako... Kwahio niliposema Million 200 inajenga Lodge 3 za maana nilikua
Daaaah, SERIOUS?. Good enough nimewekeza maeneo yote yaliyoorodheshwa hapo kasoro Tunduma ila nimpita njia sana kwa eneo hilo. Bado nakukatalia. Labda uchukue maeneo ya ndani sana. Tena ambapo biashara alizosema hazina uhitaji labda kwa kiasi kidogo, na hata faida aliyosema, kufunga profit ya 2 milion au Kufunga Mauzo ya 2 milioni, biashara zinazowekezwa sio za 50ml, ni zaidi talkin 100ml to 120ml, from experience. Ebwana mkuu wetu anataka uongee fact, tupeni moyo na sisi ambao tunatamani kuwekeza. Sasa nyie mnaingiza choo cha kike watu, hivi unaijua 50ml, ujenge lodge, please over please men. I am in hotel industry for 12 good years.Chance ndoto naomba uje kusoma hapa tujifunze kwa pamoja ktk hili andiko la Riyan Said, lakini nami nitaongezea nyama chini...
Lazima tuwe na 3rd eye, hakuna kinacho shindikana... Tatizo letu sisi WaTz hatufanyi utafiti na hatutak kujifunza...
Ndio maana mtu una mwambia nyumba yako au nyumba ile ina thamani ya million 35 anakubishia anasema katumia million 80. Kumbe mwenye nyumba hadi nyumba inaisha hajui hata bei ya mbao au nondo... Unapotaka kuanzisha mradi fanya research ukimaliza wekeza muda wako ktk kuanzisha au kujenga mradi wako... Kwahio niliposema Million 200 inajenga Lodge 3 za maana nilikua sahihi kabisa... #ChallengeAccepted
Mi mwenyewe namchora nasema hiiiiiiiiiiiHizi lodge tatu za maana kwa milioni 200 na day care ni za aina gani?
Mbona na wewe unaongea kama hujaona hela hiyo iliyoandikwa. Milioni 200 ufanye yote hayo. Unajenga nini? Kua serious alafu ni seniour member wa JF
Mkuu nimeona umesema ndugu yako anakutumia dollar laki moja ambayo kwa sasa ni kwenye 240 million.Mara nyingi nimetetea uraia pacha ili wana Diaspora wapewe nafasi za kuwekeza nchini. Sababu kubwa ya kufanya hivyo ni kwamba nina ndugu yangu huko nje alichukua uraia wa huko, na sasa anasema inakuwa vigumu kuwekeza Tanzania kwa kuwa yeye sio raia tena wa Tanzania.
Sasa juzi hapa kanishauri niachane na kazi za kuajiriwa (mshahara wangu ni kama Tshs 1.5m kwa kwenzi). Ananiambia yuko tayari kunipa mtaji wa Tshs 200m kwa shart moja tu, niachane na kazi ya kuajiriwa ili nijikite kwenye kuzitumia hizo Tshs 200m zizalishe. Kaniambia hatanipangia cha kufanya, ni juu yangu, na kwamba kama nikizipoteza pia ni juu yangu, wala hatanidai. Ila hataki anipe hizo hela huku naendelea na kazi ya kuajiriwa.
Naombeni ushauri - kwanza kama ni wazo zuri mie kuacha kazi kwa hiyo Tshs 200m, na kama ndivyo nikiacha kazi nizitumie kwenye biashara gani? Nikiacha kazi, nina mafao yangu ya kama Tshs 70m, kwa hiyo nitakuwa na jumla ya kama Tshs 270m, lakini bado sielewi nifanye shughuli gani. Kilimo? Daladala? Nyumba? Biashara ya mazao? Niziweke tu benki niwe nachukua interest? Au niendelee tu na kazi yangu ya kuajiriwa yenye uhakika wa mshahara kila mwezi?
Umejua kazi anayofanya? Kama ni mwalimu je?Mjulishe kuwa umeacha kazi ukiambatanisha documents za mchongo.
Fanya study ya kutosha kuhusu biashara kisha tafuta mtu unayemmudu kusimamia biashara utakayoamua kufanya.
Fanya maandalizi yote ya biashara kisha chukua hiyo pesa.
Omba likizo ya siku 28 kazini kwako anza biashara chini ya usimamizi wako ukifuatilia mapungufu madogo na makubwa na kuyafanyia kazi.
Endapo kuna mapungufu ongeza likizo ya dharura kuendelea na biashara.
.
.
NB
Usiache kazi kwanza. Unaweza kukosa mbingu na ardhi kwa pamoja