jogoo wa maajabu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 614
- 1,113
Kama utaweza poteza hiyo pesa hufai popote hata humu jf hufai...Exactly! Nina hofu kubwa mno ya kufeli. Nina mke na watoto wadogo
Kama utaweza poteza hiyo pesa hufai popote hata humu jf hufai...Exactly! Nina hofu kubwa mno ya kufeli. Nina mke na watoto wadogo
Ulianza kuajiriwa mwaka gani?Mara nyingi nimetetea uraia pacha ili wana Diaspora wapewe nafasi za kuwekeza nchini. Sababu kubwa ya kufanya hivyo ni kwamba nina ndugu yangu huko nje alichukua uraia wa huko, na sasa anasema inakuwa vigumu kuwekeza Tanzania kwa kuwa yeye sio raia tena wa Tanzania.
Sasa juzi hapa kanishauri niachane na kazi za kuajiriwa (mshahara wangu ni kama Tshs 1.5m kwa kwenzi). Ananiambia yuko tayari kunipa mtaji wa Tshs 200m kwa shart moja tu, niachane na kazi ya kuajiriwa ili nijikite kwenye kuzitumia hizo Tshs 200m zizalishe. Kaniambia hatanipangia cha kufanya, ni juu yangu, na kwamba kama nikizipoteza pia ni juu yangu, wala hatanidai. Ila hataki anipe hizo hela huku naendelea na kazi ya kuajiriwa.
Naombeni ushauri - kwanza kama ni wazo zuri mie kuacha kazi kwa hiyo Tshs 200m, na kama ndivyo nikiacha kazi nizitumie kwenye biashara gani? Nikiacha kazi, nina mafao yangu ya kama Tshs 70m, kwa hiyo nitakuwa na jumla ya kama Tshs 270m, lakini bado sielewi nifanye shughuli gani. Kilimo? Daladala? Nyumba? Biashara ya mazao? Niziweke tu benki niwe nachukua interest? Au niendelee tu na kazi yangu ya kuajiriwa yenye uhakika wa mshahara kila mwezi?
Kwani kuwa ulaya ndo nini jmn.?Wewe unaakili kumzidi mtu alie ulaya ? Unachokiwaza wewe yeye yuko mile 100 mbele.
Je akimwita huko ulaya akae miezi 5 hivi huoni utapeli wake utajulikana.
Yani mtu anakupa mill 200 halafu unawaza kumfanyia utapeli hujui kuwa utapoteza.
Ni kweli katoa masharti ila ni magumu..Wewe jamaa sijui hujui kiswahili, kaambiwa achague kimoja tu.
Mshauri jambo moja tu aaache kazi au aziache milioni 200. Mwenye hela yake kesha toa masharti .
Graduate yoyote anatikiwa awe na akili hasa za kufanya alysis, research nk.Mkuu mie ni graduate, lakini sijasomea mambo ya biashara, na sijawahi kufanya biashara yeyote ile. Niliwahi kulima mazao nikafeli vibaya mno hata hela ya mtaji haikurudi kutokana na kuanguka kwa soko la mazao
Yaani mnavyomshauri na mimi ninayetaka kumpatia huo mtaji nafuatilia kwa ukaribu huu mjadala wenu! Yaani aniletee documents fake? Nitakuwa namna ya kumdhibiti! Bora kama anaona kazi ya kuajiriwa ni bora kwake basi asichukue hela yangu!Kuna mdau katoa hapo ushauri wa 150m bonds 50m biashara
Ila mi nashauri na kazi usiache
Raha ya utajiri ni double or triple sources of income
1.bonds
2.biashara hio ya 50m tafta kitu simple tu kiwe kinaingiza hela ya kawaida tu
3.usiache kazi km unaipenda
Ndugu foji mabarua nk
Anamwaga ugali unamwaga mboga sio?Yaani mnavyomshauri na mimi ninayetaka kumpatia huo mtaji nafuatilia kwa ukaribu huu mjadala wenu! Yaani aniletee documents fake? Nitakuwa namna ya kumdhibiti! Bora kama anaona kazi ya kuajiriwa ni bora kwake basi asichukue hela yangu!
kama utaweza ni vizuri uende kwao kabisa upate uelewa vizuri, Dsm wapo Sukari House 2nd floortume elimu ya utt bwana.
Yes..hizi ni kauli za watu wengi wasiokuwa na ulewa na masuala ya ,biashara,uwekezaji na uchumi mkuu!Pesa bwana unaziona nyingi ukiwa hujazishika ila ukizishika sasa zinayeyuka hata hujui zimepotelea wapi.
Real Estate,Usiwekeze kwenye kilimo usiwekeze kwenye daladala.
Nunua ardhi sehemu potential ambapo ardhi ni ghali angalau eka moja kwa milioni 10 unapata eka 20.Zisajili kata viwanja panga mitaa chonga barabara weka nguzo za tanesco kila plot,weka plot number hapo hapo fungua ofisi huku ukianza mradi wa matofali na vifaa vya ujenzi.Anza kuviuza viwanja hivyo kwa cash na Mkopo KILA eka moja gawa viwanja 6 uza milioni 10 KILA kiwanja so heka moja unapata milioni 60 so kwa heka 20 utapata bilioni 1.2 unaendelea kununua mashamba mengine kwa plan hiyo hiyo.Ndani ya miaka 2 sio wewe tena.
Real estate ukiijulia inalipa sana.
Hii aina stress wala hasara we Kazi yako ni kuwapigia tu simu wateja.
Hakuna kupewa hati bila kumaliza kulipa, unaruhusiwa kujenga huku ukiendelea kulipa sharti vifaa vya ujenzi ununue kwangu.
Hizi lodge tatu za maana kwa milioni 200 na day care ni za aina gani?It seems huna experience ya biashara yoyote, biashara ya mazao utafirisika ndani ya mwezi, biashara ya kilimo ndio kabisa utakufa na presha ndani ya wiki...
Bora ujenge Lodge zako 3 za maana sehem 3 tofaut yaaan mfano moja tabata, kimara na goba.
Au jenga shule mbili za Day Care sehem mbili tofaut, hii haitaji utaalam zaid ya kusimamia tu watoto wafikishwe center salama wacheze wale walale wajifunze na warudi nyumban salama...
Ukitoka kazini unazungukia lodge zako na Daycare zako. Kwani usipo acha kazi atajua, foji documents za kuacha kaz muonyeshe. Million 200 ni ndogo sana kama una mipango mizur ya biashara unayoijua... Lakini pia 200M ni nyingi kama hujui uzifanyie nini, hivyo ni rahisi kuisha ndani ya muda mfupi na hakuna cha maana ulichofanya...
Ukifukuzwa kazi hapo sasa hivi utafanya nini? Utaishi vipi? ,Exactly! Nina hofu kubwa mno ya kufeli. Nina mke na watoto wadogo
💥💥👍🏾👍🏾👍🏾👍🏾Mkuu nenda Goba nunua viwanja vya kutosha jenga nyumba na vyumba vya kupangisha. Kula hela umekaa nyumbani na glass yako ya maziwa
Huwezi pata maeneo jirani na watu kwa bei rahisiReal Estate,
Real Estate
Real estate..!!!
Hapa hakuna hasara ..
Umakini unaohitajika nikuangalia maeneo mzuri jirani na mazingira rafiki kwa makazi au biashara!!
Zungumza na wamiliki halisi nunua kiwanja kwa bei ndogo , kiboreshe..!
Pia unaweza ukawa unanuua nyumba nzuri zinazouzwa ..unaziboresha kidogo kisha unapingashisha!!
Huu ni uwekezaji utakokufanya uje kuwa billionaire, trust me