KasomeaHuyu aliyepiga hii picha ni mtukutu.
Ili atufanye to comment na kulikeMpiga picha ana lake jambo sio bure
Kweli maji hufuata mkondoView attachment 471447
Wakiondoka Mahakamani baada ya Masogange kutopandishwa mahakamani. BTW Agness kapata wapi Msambwanda vilee........... Ila mpiga picha Mungu anakuona
Mwenye kibegi,au ukipenda wa pili kutoka kushoto haaaMwenye ki bag ndio size yangu kabisa . Nafaa
Tusiingiliane chali....chagua mwingine....Mwenye ki bag ndio size yangu kabisa . Nafaa
Lengo langu si litakuwa limetimia sijali atapata nani !si unaona hapo ukoo uko karibu karibu kuna bibi au mjukuu hapo ? Wote mama mtoto usinikatishe tamaa wacha nitimize malengo na sio kunikatisha tamaa#unashangaa mjukuu wa kiume ndiyo anapata msambwanda. be careful what you wish for.
Hiyo 4GEeeh wa pili kutoka kulia jamani km lile basi la mwendo kasi ambalo km limefungwa mpira katikati!!!!!
Nimeshtushwa na mimiKusema ukweli aliyeturoga sisi Watanzania alaaniwe
Yaani akili zetu zimegoma kufikiria mambo mengine.....kila jambo tunalinasibisha na mambo ya kipuuzi...........