utaturaumu tu bure hakuna vision wala mkakati kilicho baki ni kuvuana tuKusema ukweli aliyeturoga sisi Watanzania alaaniwe
Yaani akili zetu zimegoma kufikiria mambo mengine.....kila jambo tunalinasibisha na mambo ya kipuuzi...........
"Genetic defects" nyengine ni baraka kwa ukoo.>> kumbe huu ugonjwa ni wa familia nzima >>
TandamuDouble deef
Wewe ukifikiria hivyo vya maana inatosha...Hatifikirii kitu cha maana....ni vitu vya hovyo tu
Wabongo wape kichwa cha habari tu inatosha!Story wataandika wenyewe.Nilipo ona hiyo picha nimejua coment zitakuwa hiv