chaliko
Senior Member
- Apr 1, 2019
- 180
- 804
Habari Ndugu zanga wa JF?
Nadhani wote tunafahamu kuwa Ndugu PENA hivi majuzi tu alikuwa na Mazungumzo na Mzee Meko.
Dhana ya Mazungumzo ni kuomba Msamaha ( Wengi tulijulishwa Hilo).
Lakini kabla ya Ndugu PENA Kuna wengine pia walienda kuomba Msamaha.
Njia ya kuomba msamaha kwa Ndugu PENA ilikuwa ni mgumu mno kuipata mpaka pale alipoahidi kumnyetisha mambo nyeti Mzee Meko.
Alipokutana na Mzee Meko, Ndugu PENA alisema mengi ikiwamo mipango ya Siri iliyoratibiwa na watu wa Kundi Fulani ambalo lilidhamiria kumng'oa Mzee Meko.
Baada ya kuropoka yote kwa Mzee Meko PENA ALISAMEHEWA na KUAHIDIWA MAMBO KADHAA. Lakini pia Ndugu PENA amepewa jukumu zito la kusaka habari nyeti na kumpelekea Mzee Meko.
Hebu jiulize;
Kwa nini wale wengine wote walipomaliza kuomba msamaha hakuna impact iliyotoke.
Ila huyu siku chache tu baada ya kuzungumza na Mzee Meko tumeshuhudia mabadiliko makubwa tena mengine bado yanakuja.
ANGALIZO KWA WANA-SIASA
Ndugu PENA amekuwa MNOKO tena MNOKO kwa MAMBO NYETI.
Ndugu PENA msimuamini tena maana Sasa amekuwa INFORMER wa Mzee Meko.
Ndugu PENA Siri uliyofichua haitakuadhiri leo ila kesho usiyo ijua.
Nawasilisha.
Nadhani wote tunafahamu kuwa Ndugu PENA hivi majuzi tu alikuwa na Mazungumzo na Mzee Meko.
Dhana ya Mazungumzo ni kuomba Msamaha ( Wengi tulijulishwa Hilo).
Lakini kabla ya Ndugu PENA Kuna wengine pia walienda kuomba Msamaha.
Njia ya kuomba msamaha kwa Ndugu PENA ilikuwa ni mgumu mno kuipata mpaka pale alipoahidi kumnyetisha mambo nyeti Mzee Meko.
Alipokutana na Mzee Meko, Ndugu PENA alisema mengi ikiwamo mipango ya Siri iliyoratibiwa na watu wa Kundi Fulani ambalo lilidhamiria kumng'oa Mzee Meko.
Baada ya kuropoka yote kwa Mzee Meko PENA ALISAMEHEWA na KUAHIDIWA MAMBO KADHAA. Lakini pia Ndugu PENA amepewa jukumu zito la kusaka habari nyeti na kumpelekea Mzee Meko.
Hebu jiulize;
Kwa nini wale wengine wote walipomaliza kuomba msamaha hakuna impact iliyotoke.
Ila huyu siku chache tu baada ya kuzungumza na Mzee Meko tumeshuhudia mabadiliko makubwa tena mengine bado yanakuja.
ANGALIZO KWA WANA-SIASA
Ndugu PENA amekuwa MNOKO tena MNOKO kwa MAMBO NYETI.
Ndugu PENA msimuamini tena maana Sasa amekuwa INFORMER wa Mzee Meko.
Ndugu PENA Siri uliyofichua haitakuadhiri leo ila kesho usiyo ijua.
Nawasilisha.