Ndugu Pena, unoko wako utakuponza

Ndugu Pena, unoko wako utakuponza

Maajabu ni kuwa, huyo mnayesema ni baba yake Col. Moses Nnauye hakuwa mtu legelege bali shujaa wa kisiasa.
Au Nape ni yale mambo ya mwenge ambayo wazee walikuwa wakiambiwa "toka siku ile sioni siku" wakati wamepita wengi?
Kama yale ya Le Mutuz
Mkuu Chakaza inaonekana huyo mtu amekuchukulia mpenzi wako, sio kwa namna ulivyomzodoa.
 
Back
Top Bottom