Kaveli
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 5,213
- 8,321
Mimi sio msemaji wa taasisi yoyote, hivyo naongea mimi as individual, ama ulitakaje boss.
Hujajibu swali. Kama hujaelewa swali, narudia swali:
Kujikita kwako huko kupambana na udhalimu wa awamu ya tano pekee ya hayati Magufuli, kunakusaidia nini?
-Kaveli-