johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,134
Kwangu mimi kauli Hizi za Viongozi wakongwe zimebeba ujumbe mzito sana
Kikwete anasema aliumia sana Membe alipohamia ACT Wazalendo
Ndugai anasema mzee Malecela alikuja nyumbani kwake usiku na kumwambia ajiuzulu Uspika naye akatii
Kuna mengi ya kujifunza kupitia kauli Hizi
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Kikwete anasema aliumia sana Membe alipohamia ACT Wazalendo
Ndugai anasema mzee Malecela alikuja nyumbani kwake usiku na kumwambia ajiuzulu Uspika naye akatii
Kuna mengi ya kujifunza kupitia kauli Hizi
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!