Yeye mnyika aliita wezake wezi,legelege,dhaifu mbona hakuna alietaka bunge lichukue hatua?Mnyika mwepesi sana kusahauMbunge Ali Salehe pia ameuliza uhalali wa Mbunge wa Ubungo John Mnyika kutolewa bungeni wakati aliitwa "Mwizi" na mbunge wa CCM
Yeye mnyika aliita wezake wezi,legelege,dhaifu mbona hakuna alietaka bunge lichukue hatua?Mnyika mwepesi sana kusahauMbunge Ali Salehe pia ameuliza uhalali wa Mbunge wa Ubungo John Mnyika kutolewa bungeni wakati aliitwa "Mwizi" na mbunge wa CCM
Job si wa kumuamini wala kumsikiliza
Hivi Mahakama ya Mafisadi inaendeleaje?Fukuza watetea mafisadi chadema bungeni
Who is this Ally Saleh? Yeye hakususia Jecha ndiyo kabaki kupeperusha bendera ya wapinga mapibduzi? Msalim Seif kasema anataka serkali ya mkataba, unafanya nini unamwakilisha nani? Ebu kakae Arabuni subiri mkataba tutakuita.Mnyika alitakiwa awe mpole luside amalize kisha aombe muongozo mwingine kuhusu kuitwa mwizi. Lakini yeye akataka kuleta ubabe, wakati anajua mbabe zaidi yake amekalia kiti
Mafisadi wa chama gani? Mnajisahaulisha kuwa nyie ndo mlisaini mikatabaFukuza watetea mafisadi chadema bungeni
Mie ndio hapa wawakilishi wetu hawatutendei haki.Anashindwa kufanya timingMnyika alitakiwa awe mpole luside amalize kisha aombe muongozo mwingine kuhusu kuitwa mwizi. Lakini yeye akataka kuleta ubabe, wakati anajua mbabe zaidi yake amekalia kiti
Akiuliza swali leo mbunge Alli Salehe kwa spika wa bunge amemuuliza ni kwanini Ester Bulaya na Halima Mdee hawajahojiwa na kamati ya maadili na haki na hukumu yao imetolewa tayari.
Amesema pia kwamba Halima Mdee na Bulaya walipewa barua ya kuitwa lakini hawakufanya hivyo wala kutoa taarifa yoyote.
Mbunge Ali Salehe pia ameuliza uhalali wa Mbunge wa Ubungo John Mnyika kutolewa bungeni wakati aliitwa "Mwizi" na mbunge wa CCM
Spika amesema kwamba Mnyika ni mbunge mzoefu na anajua vizuri kanuni na hakutakiwa kufanya hivyo kwa kuvunja sheria zilizowekwa na bunge.
Huyo aliemkosea Mnyika amechukuliwa hatua zipi?
Pitisha miswada ya wizi wa Mali ya uma bungeniFukuza watetea mafisadi chadema bungeni
Walipewa vipi na walikoswa nyumbani na haikubandikwa mlangoni?Yap alisema walipewa barua mpaka nyumbani kwao zilifika na sio kwa wapangaji