Haaa duhNdugai atafute ushauri juu ya afya yake ya akili.
Kweli?Fukuza watetea mafisadi chadema bungeni
Kuna haraka gani kutoa hukumu watu wapo msibani? Why wasiskizwe unajua tanzania ya sasa inaongozwa na bwana mmoja asie jaribiwa polisi plus bunge plus mahakama zote zinapokea maagizo either yanayo faa au yasio faa and they have to obey ......b honest to ur self is this a better tanzania or a bullshit tanzania take ur time think hard do reserch and answer ur self ....kumbe waliitwa hawa wamama wawili na hawakutokea, hukumu ikitolewa wanasema ni porojo, next day wanataka wafike mahakamani....
ila upinzani kwa drama hamjambo
Duuh swali la mwaka no one can answer zaidi utaitwa mchocheziJe mbunge aliemuita mwizi kapatikana? Je ni hatua gani zimechukuliwankwa uyo mbunge? Fala
Umeliona hlo swali hatari sana!!Duuh swali la mwaka no one can answer zaidi utaitwa mchochezi
serious? unauliza kuna haraka gani watu wapo msibani hebu jamani tupunguze kutetea vitu vingine havina hata cha kuteteaKuna haraka gani kutoa hukumu watu wapo msibani? Why wasiskizwe unajua tanzania ya sasa inaongozwa na bwana mmoja asie jaribiwa polisi plus bunge plus mahakama zote zinapokea maagizo either yanayo faa au yasio faa and they have to obey ......b honest to ur self is this a better tanzania or a bullshit tanzania take ur time think hard do reserch and answer ur self ....
Yap walkuwa msibani na barua zlienda nyumbanserious? unauliza kuna haraka gani watu wapo msibani hebu jamani tupunguze kutetea vitu vingine havina hata cha kutetea
wanaitwa ili kamati isikie upande wao wewe ulitaka tuwasubiri watupe tarehe wanayotaka wao wasikilizwe is that what you mean?
kitendo cha wao kutokutokea then hawahitaji kulalamika