Evans-Arsenal
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 868
- 1,385
- Thread starter
- #21
Hao wenye vyeti feki wana watu wao humu
Huyo aliemkosea Mnyika amechukuliwa hatua zipi?Mnyika alikosea japo nae alikuwa kakosewa!
Na uchaguzi mkuu unapokaribia wasiagize magari ya washawasha pale kichinjio kinapoashiria kukataNazan safari hii ni Lissu
Huyo hafai kwa lolote.Zaidi ya kutegemea polisi wenye vyeti feki na silaha , Ndugai hana lolote lingine .
Hii comment umeiandika ukiwa na mpini kwenye MARINDA yako!Fukuza watetea mafisadi chadema bungeni
Ni mnafiki sana hapo anatafuta huruma sasa,watu wamuone kuwa hakufanya uonevuJob si wa kumuamini wala kumsikiliza
Fukuza watetea mafisadi chadema bungeni
Bora wanaotetea kuliko wanashirikiana na Mafisadi kuitafuna nchi yetu,mafisiemu pumbavuFukuza watetea mafisadi chadema bungeni
Mnyika alitakiwa awe mpole luside amalize kisha aombe muongozo mwingine kuhusu kuitwa mwizi. Lakini yeye akataka kuleta ubabe, wakati anajua mbabe zaidi yake amekalia kiti
Thibitisha uongo wa Spika Ndugai
Mnyika alitakiwa awe mpole luside amalize kisha aombe muongozo mwingine kuhusu kuitwa mwizi. Lakini yeye akataka kuleta ubabe, wakati anajua mbabe zaidi yake amekalia kiti
HahahahaNikiwa namwandika Job huwa nasogeza kichwa changu mbali na screen maana huwa anatumia fimbo vibaya!
Silaha ya WAGOGONikiwa namwandika Job huwa nasogeza kichwa changu mbali na screen maana huwa anatumia fimbo vibaya!
Haaa hyo ilkuwa 2015Nikiwa namwandika Job huwa nasogeza kichwa changu mbali na screen maana huwa anatumia fimbo vibaya!
Yap alisema walipewa barua mpaka nyumbani kwao zilifika na sio kwa wapangajikumbe waliitwa hawa wamama wawili na hawakutokea, hukumu ikitolewa wanasema ni porojo, next day wanataka wafike mahakamani....
ila upinzani kwa drama hamjambo
Yap nakubali waltakiwa wote kutolewa nje sema ndo vle ....bongo bahati mbaya...Kosa la Mnyika halihalalishi kosa la mwingine. Kuweka mambo sawa, wakosaji wote wangeshughulikiwa.
Kwa nini viongozi wa bunge hujidhalilisha kwa kufanya upendeleo wa wazi? Inawezekana kuna tatizo linaloanzia jinsi wanavyopatikana na uwezo wa wao wa kufikiri.