CCM Music
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 1,036
- 1,782
Nimejiuliza sana maana kakosea sana yaani zaidi ya sana kitu very basic mno kwa mfuasi yeyote wa Yesu Kristo.
Ina maana Ndugai huwa hasomi Biblia?
Ile sala ya kuliombea Bunge kila asubuhi huwa ina maana gani kwake?
Ndugai ni kweli anaamini katika Yesu Kristo?
Ni kweli Ndugai na aina ya viongozi kama yeye wanamwamini Mungu aliye hai?
Ndugai kweli anahofu ya Mungu?
Ndugai huwa anasali? Na anasali kwa imani ipi?
Kwa kifupi sana Mungu tunusuru na Taifa letu hili maana kuna kiza kinene mno!
Ina maana Ndugai huwa hasomi Biblia?
Ile sala ya kuliombea Bunge kila asubuhi huwa ina maana gani kwake?
Ndugai ni kweli anaamini katika Yesu Kristo?
Ni kweli Ndugai na aina ya viongozi kama yeye wanamwamini Mungu aliye hai?
Ndugai kweli anahofu ya Mungu?
Ndugai huwa anasali? Na anasali kwa imani ipi?
Kwa kifupi sana Mungu tunusuru na Taifa letu hili maana kuna kiza kinene mno!