Ndugai: CAG anaingilia mambo yasiyomhusu

Ndugai: CAG anaingilia mambo yasiyomhusu

Wadau,

Leo katika kipindi cha tuongee asubuhi cha radio one, Naibu Spika Ndugai amepinga vikali wazo la CAG kwamba wabunge wasiwe wajumbe wa bodi za masharika ya umma. Ndugai akiongea kwa jazba amesema CAG anaingilia mambo ambayo hayamuhusu na amekuwa akitoa ushauri mbovu ambao hautekelezeki na usio na mashiko, ameendelea kusema kwamba CAG anaingilia kazi zisizomuhusu.

Najiuliza nini kimemfanya Mh Ndugai apandwe na jazba kiasi kile?

Hawa watu ukigusa masilahi yao utaona chamoto!
 
Hivi mbona vijana wa ccm wakina ritz, msalani, faiza fox, mwanadiwani. juliana shonza. Hawaingii kwenye mijadala kama hiii
 
Wadau,
Najiuliza nini kimemfanya Mh Ndugai apandwe na jazba kiasi kile?

woman-displays-her-antire-007.jpg
 
Ndugai sio tu hafai kuwa naibu spika bali hafai hata kuwa mbunge na kiongozi maana uwezo wake wa kuchambua mambo ni mdogo na ana jazba zisizo na kichwa wala miguu.
 
Tuseme kama ni kweli CAG anaingilia yasiyomhusu,kweli kwenye radio ndio mahali pa kulalamikia?

Hawana vikao vya kujadili hayo?

Au ndio Liwalo na Liwe?

Kwa mwenendo huu, tutasikia mengi sana kabla ya uchaguzi ujao. ....

Sintoshangaa nikija kusikia na CAG nae "kajinyonga" hotelini.
 
Wasipokuwa wajumbe watakosa posho na marupurupu pamoja na kufisadi mashirika ya umma.

Wadau,

Leo katika kipindi cha tuongee asubuhi cha radio one, Naibu Spika Ndugai amepinga vikali wazo la CAG kwamba wabunge wasiwe wajumbe wa bodi za masharika ya umma. Ndugai akiongea kwa jazba amesema CAG anaingilia mambo ambayo hayamuhusu na amekuwa akitoa ushauri mbovu ambao hautekelezeki na usio na mashiko, ameendelea kusema kwamba CAG anaingilia kazi zisizomuhusu.

Najiuliza nini kimemfanya Mh Ndugai apandwe na jazba kiasi kile?
 
Wadau,

Leo katika kipindi cha tuongee asubuhi cha radio one, Naibu Spika Ndugai amepinga vikali wazo la CAG kwamba wabunge wasiwe wajumbe wa bodi za masharika ya umma. Ndugai akiongea kwa jazba amesema CAG anaingilia mambo ambayo hayamuhusu na amekuwa akitoa ushauri mbovu ambao hautekelezeki na usio na mashiko, ameendelea kusema kwamba CAG anaingilia kazi zisizomuhusu.

Najiuliza nini kimemfanya Mh Ndugai apandwe na jazba kiasi kile?
Tatizo hili la ubinafsi ndiyo linakwamisha hata katiba!!hata mgogoro wa serikali 2 ukipita huko mbele ni matatizo!!watu wanaangalia maslahi yao!!wabunge wengi wamekuwa hovyo ajabu!!
Mfano naomba tukumbuke kuna wabunge zaidi ya 100 wa viti maalum,hao rasimu haiwatambui,kuna wabunge zaidi ya 50 hawatakuwa mawaziri,rasimu haitambui wabunge kuwa mawaziri,kumbuka nafasi za ubunge zinapungua mpaka 75!!toka zaidi ya 300,mnategemea nini!!?msumari wa mwisho ubunge mihula 3 na mbaya zaidi unaweza kuondolewa kabla ya muda!!hata mgogoro wa rasimu upo hapa,hata suala la muundo wa serikali ni chaka tu,ila watambue kuwa wananchi wanaangalia na wanatambua upuuzi huu,itafika sehemu itakuwa ni machafuko.
Kwa kuendeleza maslahi binafsi Ndugai alishapinga spika kutokuwa mbunge manake kwa mawazo yake anategemea kuwa spika ajaye!!ukiangalia wazi kuna watu wengi wanapinga vitu unashindwa kuelewa vichwani mwao kuna vitu gani!!
Sishangai Ndugai kupinga ushauri huu ambao CAG anasema mfumo huu haupo popote duniani kwa lengo la kuleta uwajibikaji.
 
Binafsi namuheshimu sana CAG, kusema kweli ni mmoja wa watu wachache kwenye Uongozi wenye Uzalendo wa kweli katika Taifa letu; kama Uongozi a juu ungekuwa unasikiliza na kutekeleza ushauri wake mbona Taifa letu linge ondokana na rushwa iliyo kubuhu tungeweza vile vile kupaa kimaendeleo. Ukichunguza sana utakuta raia wanao mbeza beza CAG in public basi ujue amewashika pabaya.
 
Huyu ndugai bila ku regulate dose yake huyu ataleta madhara sana huyu
 
Tuseme kama ni kweli CAG anaingilia yasiyomhusu,kweli kwenye radio ndio mahali pa kulalamikia?

Hawana vikao vya kujadili hayo?

Au ndio Liwalo na Liwe?

Kwa mwenendo huu, tutasikia mengi sana kabla ya uchaguzi ujao. ....

Mzee utouh toka adai haoni ufisadi wa richmond siku hizi hata aseme nini simwamini huyu mzee
 
Huyo ndiyo naibu spika wa bunge letu yy anafikiria ulaji wake muda wote yupo pale kuhakikisha anaendelea kujaza tumbo lake bila kujali maslahi ya nchi na ndivyo walivyo vingozi wengi wakitanzania.anapaswa aelewe kuwa hii nchi ni kwa ajili ya watanzania wote.Ushauri aliotoa CAG nimoja ya kazi zake.Ndugu zangu kama nchi hii viongozi aina ya Ndugai wataendelea kuongoza tutegemee kuzidi kwa hali mbaya kila nyanja.
 
Wadau,

Leo katika kipindi cha tuongee asubuhi cha radio one, Naibu Spika Ndugai amepinga vikali wazo la CAG kwamba wabunge wasiwe wajumbe wa bodi za masharika ya umma. Ndugai akiongea kwa jazba amesema CAG anaingilia mambo ambayo hayamuhusu na amekuwa akitoa ushauri mbovu ambao hautekelezeki na usio na mashiko, ameendelea kusema kwamba CAG anaingilia kazi zisizomuhusu.

Najiuliza nini kimemfanya Mh Ndugai apandwe na jazba kiasi kile?

Posho za ujumbe wa bodi, ndio kiini cha ndugai kutokwa povu!
 
wasaka tonge tena mnataka wasiingie kwenye bodi mkwanja na noti za dili watazipata wapi
 
Najiuliza nini kimemfanya Mh Ndugai apandwe na jazba kiasi kile?
Ndugai yuko sawa. CAG hausiki na mambo ya utawala bora. Yeye anahusika na kukagua vitabu vya uhasibu tu. Huko alipoenda yuko nje ya scope!
 
Wadau,

Leo katika kipindi cha tuongee asubuhi cha radio one, Naibu Spika Ndugai amepinga vikali wazo la CAG kwamba wabunge wasiwe wajumbe wa bodi za masharika ya umma. Ndugai akiongea kwa jazba amesema CAG anaingilia mambo ambayo hayamuhusu na amekuwa akitoa ushauri mbovu ambao hautekelezeki na usio na mashiko, ameendelea kusema kwamba CAG anaingilia kazi zisizomuhusu.

Najiuliza nini kimemfanya Mh Ndugai apandwe na jazba kiasi kile?
Kwni huwa wana add nn kwenye hizo kamati?
Vingenevyo wana impair independency yao kwenye kusimamia hayo mashirika.
 
Back
Top Bottom