Chiwaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 5,725
- 3,796
Duhhhhhhhhhhhhhh, rudi shule MkuuNdugai yuko sawa. CAG hausiki na mambo ya utawala bora. Yeye anahusika na kukagua vitabu vya uhasibu tu. Huko alipoenda yuko nje ya scope!
Duhhhhhhhhhhhhhh, rudi shule MkuuNdugai yuko sawa. CAG hausiki na mambo ya utawala bora. Yeye anahusika na kukagua vitabu vya uhasibu tu. Huko alipoenda yuko nje ya scope!
Wadau,
Leo katika kipindi cha tuongee asubuhi cha radio one, Naibu Spika Ndugai amepinga vikali wazo la CAG kwamba wabunge wasiwe wajumbe wa bodi za masharika ya umma. Ndugai akiongea kwa jazba amesema CAG anaingilia mambo ambayo hayamuhusu na amekuwa akitoa ushauri mbovu ambao hautekelezeki na usio na mashiko, ameendelea kusema kwamba CAG anaingilia kazi zisizomuhusu.
Najiuliza nini kimemfanya Mh Ndugai apandwe na jazba kiasi kile?
Wewe ndio urudi shule. Katoa point nzuri na sahihi. Ila yeye CAG kama mwananchi na mtaalamu wa hesabu katoa ushauri mzuri tu unaotakiwa kuzingatiwa.Duhhhhhhhhhhhhhh, rudi shule Mkuu
CAG ni moja kati ya tasisis ambazo kiutaalamu huitwa Watchdogs, hawa hufanya kazi za kuangalia utendaji na compliance za Taasisi za serikali/umma(Civil Servants) na kisha kulipoti position ya findings zao kwa wawakilishi wa Wananchi(ie Bunge). Hawa hutumwa na sisi wananchhi, na sio Bunge wala Serikali. Kwa misingi na maana ya Utawala Bora, CAG yupo sahii kwa ushauri alioutoa.Wewe ndio urudi shule. Katoa point nzuri na sahihi. Ila yeye CAG kama mwananchi na mtaalamu wa hesabu katoa ushauri mzuri tu unaotakiwa kuzingatiwa.
Mbunge wa nini huko?