Ndugai afichua siri ya CHADEMA

Ndugai afichua siri ya CHADEMA

Ni kweli kuwa kitendo cha Chadema kutaka kumonopolise huu mchakato hakipaswi kuvumiliwa. Katiba ni ya watanzania wote, sio ya vyama vya siasa...

Usiwalaumu tu CHADEMA... bila shaka unawasikia kina Bulembo na Le Mutuz wakijivunia wabunge 280 dhidi ya 46... ZeMarcopolo, hivi vyama visituduwaze... inawezekana miaka 20 kutoka sasa vikawa havipo but mimi, wewe, watoto wetu na Tanzania ikawepo...
 
Anasema janja yao ni hofu kuwa bunge la katiba wabunge CUF wakiungana na wawakilishi wa znz ambao nao watakuja bunge la ktiba watakuwa wengi na hivo kuchukua nafasi ya kambi rasmi ya upinzani wakati wa hilo bunge la katiba. CDM wanalijua hilo ndo maana wanajaribu kucheza mchezo ili isiwe hivo waendelee kuwa kambi rasmi. Lissu povu linamtoka kumbe sababu hatakuwa na nafasi ya kusikika! chezea siasa!

HIVI NINYI MLIMUONA NDUGAI JANA KWENYE THIS WEEK IN PERSPECTIVE? KIZUNGU OVYO, HOJA OVYO NA MBAYA UONGO ALIOUONGELE NA WASIO NA AKILI KAMA YEYE KUUKUBALI. Hivi kama hoja ni hofu ya CUF kuwa wengi na kuwanyanganya nafasi ya Kambi rasmi ya Upinzani iweje TL katika hotuba yake atake ongozeko la wajumbe kutoka Zanzibar kwa maelezo kuwa ni nchi mbili zenye hadhi sawa. Nani asiyejua kuwa unaposema ongezeko wa wajumbe kutoka zanzibar ni sawa na ongezeko la wajumbe wa CCM na CUF. Akili zingine Bana shida tupu
 
Usiwalaumu tu CDM... bila shaka unawasikia kina Bulembo na Le Mutuz wakijivunia wabunge 280 dhidi ya 46... ZeMarcopolo, hivi vyama visituduwaze... inawezekana miaka 20 kutoka sasa vikawa havipo but mimi, wewe, watoto wetu na tanzania ikawepo...

Bulembo na Le Mutuz sio wasemaji wa CCM. Msemaji Mkuu wa CCM ni Kikwete. Alichosema Kikwete ndio direction ya CCM.
 
Amini usiamini Kikwete ndiye Ilembesha yaani msawazishaji.Huyu alitabiriwa hata kabla ya wakoloni kuja. Kuwa ndiye;-
1. Atarekebisha kila kitu na kuacha inchi ikiwa bora kabisa kuliko wakati wowote.
2. Ndiye atakuwa Rais wa mwisho katika chama na utawala huu na baada ya hapo itafuatia serikali mseto. Anaebisha mda utamuumbua. Anayofanya JK hayatoki kwake ni kipaji cha Mungu. Waafidhana mulie tu, huyu ni kiboko yenu.
 
...ukiona mtu mzima anaropoka kama chizi,inawezekana akawa na mtindio wa ubongo au katupia viroba bila idadi...

Tena viroba vyenyewe Double Punch! Unakula ngumi za uso mbili kwa mpigo, lazima udate!
 
nimesahu ninaomba mnikumbushe hivu ndugai ni nani vile au ni yule siyezujua kanuni za bunge la jamhuri ya mungano wa TZ
 
Kweli huyu jamaa kachoka kimawazo ni bora arudi mbugani akasaidie kuzuia ujangili wa tembo kazi aloifanya kwa ufanisi akiwa huko! naona huku kwenye kutumia ubongo hawezi kama kweli kayasema hayo basi ni majangaaaaaaaaaaaaaa!
 
Anasema janja yao ni hofu kuwa bunge la katiba wabunge CUF wakiungana na wawakilishi wa znz ambao nao watakuja bunge la ktiba watakuwa wengi na hivo kuchukua nafasi ya kambi rasmi ya upinzani wakati wa hilo bunge la katiba. CDM wanalijua hilo ndo maana wanajaribu kucheza mchezo ili isiwe hivo waendelee kuwa kambi rasmi. Lissu povu linamtoka kumbe sababu hatakuwa na nafasi ya kusikika! chezea siasa!

nyie watu cjui huwa mnaiibukiaga toka wapi,akiyekwambia mfumo wa bunge ka katiba uko hivyo nani ?yani huwa mnakeraga sana
 
We kibaka

Kwenye bunge la katiba hamna kambi ya upinzani umesoma shule gani wewe? Unakurupuka hujui moja wala mbili kapuku we

You are an idiot. What the hell are you talking about? I know there will not be an official opposition as in Parliament but certainly there will be two opposing camps. You are just a piece of trash. Don't you ever insult people whom you do not even KNOW their CV. Shame on you!
 
Anasema janja yao ni hofu kuwa bunge la katiba wabunge CUF wakiungana na wawakilishi wa znz ambao nao watakuja bunge la ktiba watakuwa wengi na hivo kuchukua nafasi ya kambi rasmi ya upinzani wakati wa hilo bunge la katiba. CDM wanalijua hilo ndo maana wanajaribu kucheza mchezo ili isiwe hivo waendelee kuwa kambi rasmi. Lissu povu linamtoka kumbe sababu hatakuwa na nafasi ya kusikika! chezea siasa!
Kwa hiyo ndugu gei ndio kipimo cha akili yako kwani hata wakiwa kambi rasmi anazuiwa kuwatoa nje?
 
Anasema janja yao ni hofu kuwa bunge la katiba wabunge CUF wakiungana na wawakilishi wa znz ambao nao watakuja bunge la ktiba watakuwa wengi na hivo kuchukua nafasi ya kambi rasmi ya upinzani wakati wa hilo bunge la katiba. CDM wanalijua hilo ndo maana wanajaribu kucheza mchezo ili isiwe hivo waendelee kuwa kambi rasmi. Lissu povu linamtoka kumbe sababu hatakuwa na nafasi ya kusikika! chezea siasa!
Teh teh teh kweli ukiwa mwana CCM lazima ujitoe muhanga hata Kwa mambo ambayo yako wazi na ya kueleweka uyakatae na kuyapinga bila kujali kwamba yana ukweli Ma CCM yanafahamu kuwa yanakokwenda siko lakini Kwa kuwa njaa basi ndio inakuwa kama alivyosema Mizengo Pinda kuwa liwalo na liwe bora waendelee kuiba na kujaza mijitumbo yao,Ndugai kweli ana matatizo ya kiakili kama nifahamuvyo unaweza kumuona mtu mzima mzima lakini ubongo Wake una matatizo so hapa moja Kwa moja NDUGAI ana matatizo makubwa ya kiakili japokuwa yeye mwenyewe halifahamu hilo ila namshauri amuone mtaalam wa Theraphy ampe ushauri.Kuhusu ati Chadema watapoteza kamabi ya Upinzani hii angetakiwa asema mtoto wa darasa la kwanza lakini sio NDUGAI maake hapa hapatafutwi kuwa Chadema wawe viongozi wa kambi ya upinzani Bungeni ila kitafutwacho ni kuwa na KATIBA NZURI YA WATANZANIA WOTE kwani hata kama chama kingine kesho kitakuwa kiongozi wa Upinzani basi katiba iwepo nzuri Kwa wote,akili ya NDUGAI inafikiria tu madaraka lakini haifikirii Tanzania ijayo Ndugai anatakiwa aone zaidi ya mita mia tu zitamtosha kufikiria kuwa katiba sio ya Chadema ni yake yeye kama Mtanzania bila ya kujali kama yeye ni nani pia wanae,ndugu zake mke Wake na hata vizazi vijavyo zaidi ya miaka 100 ijayo hapo NDUGAI amesahaulika hata Kwa ukoo Wake so asitutishe Kwa njaa zake,Tunataka katiba nzuri itayoivusha Tanzania kule ambako tuna ndoto ya kuwa huko hata kama wakati huo tukiwa tumeitwa na bwana i mean tukiwa tushafariki so itawasaidia wajao.
 
You are an idiot. What the hell are you talking about? I know there will not be an official opposition as in Parliament but certainly there will be two opposing camps. You are just a piece of trash. Don't you ever insult people whom you do not even KNOW their CV. Shame on you!

Bora ungeandika kiswahili tu ili wamatumbi wenzako wakuelewe ulitaka kusema nini. Hii tabia ya kujitutumua kuandika kienglisha halafu bado kinakupiga chenga haikusaidii chochote na hakuna mtu yeyote atakayevutiwa kutaka kujua cv yako.
 
Anasema janja yao ni hofu kuwa bunge la katiba wabunge CUF wakiungana na wawakilishi wa znz ambao nao watakuja bunge la ktiba watakuwa wengi na hivo kuchukua nafasi ya kambi rasmi ya upinzani wakati wa hilo bunge la katiba. CDM wanalijua hilo ndo maana wanajaribu kucheza mchezo ili isiwe hivo waendelee kuwa kambi rasmi. Lissu povu linamtoka kumbe sababu hatakuwa na nafasi ya kusikika! chezea siasa!
kweli ndugai hamna kitu, yaani kwenye bunge maalumu la katiba kuna kambi ya upinzani? Kweli ccm ni majanga!
 
Back
Top Bottom