Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,180
- 7,354
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai...
Mkuu, hebu tuache mipasho kwanza... hivi unadhani ni sahihi huu mchakato wa katiba kuendeshwa ki-CCM vs CDM? Maana nadhani hata kwenye bunge la katiba kutakuwa na watu ambao hawawakilishi vyama...