ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 556
kweli mkuu ccm sio chama cha siasa, bali ni genge la walanguzi...Ni kweli kuwa kitendo cha Chadema kutaka kumonopolise huu mchakato hakipaswi kuvumiliwa. Katiba ni ya watanzania wote, sio ya vyama vya siasa...