Ndugai afichua siri ya CHADEMA

Ndugai afichua siri ya CHADEMA

Siasa za chadema ni chafu kama maji ya vingunguti zinanuka kabisa.
 
Anasema janja yao ni hofu kuwa bunge la katiba wabunge CUF wakiungana na wawakilishi wa znz ambao nao watakuja bunge la ktiba watakuwa wengi na hivo kuchukua nafasi ya kambi rasmi ya upinzani wakati wa hilo bunge la katiba. CDM wanalijua hilo ndo maana wanajaribu kucheza mchezo ili isiwe hivo waendelee kuwa kambi rasmi. Lissu povu linamtoka kumbe sababu hatakuwa na nafasi ya kusikika! chezea siasa!

Nafasi ya kuongoza upinzani kwenye bunge la katiba HAWATAIPATA, wao wapige kelele tu ambazo hazimzuii mwenye nyumba kulala! Shame.
 
Anasema janja yao ni hofu kuwa bunge la katiba wabunge CUF wakiungana na wawakilishi wa znz ambao nao watakuja bunge la ktiba watakuwa wengi na hivo kuchukua nafasi ya kambi rasmi ya upinzani wakati wa hilo bunge la katiba. CDM wanalijua hilo ndo maana wanajaribu kucheza mchezo ili isiwe hivo waendelee kuwa kambi rasmi. Lissu povu linamtoka kumbe sababu hatakuwa na nafasi ya kusikika! chezea siasa!

kwa ujinga wake anadhani bunge la katiba nalo litakuwa na kambi rasmi ya upinzani? hakika kumbe ni kweli kuwa ccm hadi uwe na akili za maiti
 
Maskini CCM,maskini NDUGAI.......wakilala wakiamka wanaiwaza CDM,kichwani kwao hakuna mawazo ya WATANZANIA wanataka nini,wanashida gani,mawazo yao ni kutawala kupitia katiba lemavu wanayotaka kuiunda.......CCM acheni ubinafsi itazameni TANZANIA na WATANZANIA acheni kuwa na mawazo ya kuikomoa CDM,kuikomoa CDM kwa sasa ni kuwakomoa WATANZANIA.
 
Mtoa post fikilia kabla hujajidhalilisha,Bunge maalum la katika litakua halina mambo yenu ya ushabiki wa kichama,kutakua hakuna kambi ya CCM wala upinzani
 
Anasema janja yao ni hofu kuwa bunge la katiba wabunge CUF wakiungana na wawakilishi wa znz ambao nao watakuja bunge la ktiba watakuwa wengi na hivo kuchukua nafasi ya kambi rasmi ya upinzani wakati wa hilo bunge la katiba. CDM wanalijua hilo ndo maana wanajaribu kucheza mchezo ili isiwe hivo waendelee kuwa kambi rasmi. Lissu povu linamtoka kumbe sababu hatakuwa na nafasi ya kusikika! chezea siasa!

Na huyo ndio spika wa bunge letu. Anakuja na very simple arguments kama motto wa darasa la tano kwenye debating club.
 
Anasema janja yao ni hofu kuwa bunge la katiba wabunge CUF wakiungana na wawakilishi wa znz ambao nao watakuja bunge la ktiba watakuwa wengi na hivo kuchukua nafasi ya kambi rasmi ya upinzani wakati wa hilo bunge la katiba. CDM wanalijua hilo ndo maana wanajaribu kucheza mchezo ili isiwe hivo waendelee kuwa kambi rasmi. Lissu povu linamtoka kumbe sababu hatakuwa na nafasi ya kusikika! chezea siasa!


Juha yule na limbukeni sasa anaumbuka na ana iumiza CCM .
 
Anasema janja yao ni hofu kuwa bunge la katiba wabunge CUF wakiungana na wawakilishi wa znz ambao nao watakuja bunge la ktiba watakuwa wengi na hivo kuchukua nafasi ya kambi rasmi ya upinzani wakati wa hilo bunge la katiba. CDM wanalijua hilo ndo maana wanajaribu kucheza mchezo ili isiwe hivo waendelee kuwa kambi rasmi. Lissu povu linamtoka kumbe sababu hatakuwa na nafasi ya kusikika! chezea siasa!

Udhaifu na ufinyu ktk fikra za ma-CCM ndio huzaa kauli na matendo ya ki-Ndugai ndugai, ki-Wassira wassira na ki-Lukuvi lukuvi.
 
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai...
kama ningekuwa na ndugu kama ZeMarcopolo ningempeleka kwenye mbuga ya wanyama yenye simba na chui halafu namuacha simba wapate kula na kuishi angalau watalii waje tupate mapato ya kujenga shule za nchi hii.
 
Last edited by a moderator:
kama ningekuwa na ndugu kama ZeMarcopolo ningempeleka kwenye mbuga ya wanyama yenye simba na chui halafu namuacha simba wapate kula na kuishi angalau watalii waje tupate mapato ya kujenga shule za nchi hii.


Huu ni upuuzi mwingine unadhani hii ni sifa,ndiyo maana kila mmoja hapa anatoa mawazo yake,unachotakiwa ni kum-challenge huyu jamaa kwa hoja nzito na sio huu ujinga ulioandika,ndio maana kila siku linawapiga nyundo.
 
Last edited by a moderator:
Walivyo na mavi kichwani badala ya akili eti kwenye bunge la katiba kutakuwa na kambi ya upinzani,yaani hii misukule kweli ina akili za kipumbavu kweli

Katiba sio ya chama chochote ni ya Taifa la Tanzania sio ya Maccm wala ya chama chochote acheni kuandika ufinyu wa akili mlizonazo
 
Nafasi ya kuongoza upinzani kwenye bunge la katiba HAWATAIPATA, wao wapige kelele tu ambazo hazimzuii mwenye nyumba kulala! Shame.



We kibaka

Kwenye bunge la katiba hamna kambi ya upinzani umesoma shule gani wewe? Unakurupuka hujui moja wala mbili kapuku we
 
Back
Top Bottom