ndoto!

CharmingLady

JF-Expert Member
Apr 16, 2012
18,250
12,868
hbr za ucku wanaf,jaman kuna ndoto huwa inanisumbua sana. huwa naota nagombana sana na dada yangu wa tumbo moja. iwe ni ugomvi wa maneno kupgana au kutukanana ila mara nyng huwa ninamshinda. naichukia sana hii ndoto yan haipiti mwez lazima niiote. Majimoto naomba unipe ushaur juu ya hii ndoto pia wadau wenye idea yoyote naomba msaada..
 
Nenda pale magomeni usalama, ulizia nyumbani kwa marehemu shekh yahya, kuna mwanae amelithishwa mikoba, atakusaidia hii ishu yako...
 
Nenda pale magomeni usalama,
ulizia nyumbani kwa marehemu shekh yahya, kuna mwanae amelithishwa
mikoba, atakusaidia hii ishu yako...

Ndugu yangu kimbilia kwa Yesu yeye ndiye mweza wa yote achana na wanadamu watakudanganya tu
 
hbr za ucku wanaf,jaman kuna ndoto huwa inanisumbua sana. huwa naota nagombana sana na dada yangu wa tumbo moja. iwe ni ugomvi wa maneno kupgana au kutukanana ila mara nyng huwa ninamshinda. naichukia sana hii ndoto yan haipiti mwez lazima niiote. Majimoto naomba unipe ushaur juu ya hii ndoto pia wadau wenye idea yoyote naomba msaada..

Ndoto ni Mwili unakueleza matamanio ama hofu iliyojificha katika eneo la akili yako lililojificha, lile eneo ambalo wengine huliita 'roho yako'. Tafadhali niruhusu nitumie neno hili, subconcious. Yaani unajiambia mwenyewe kile ambacho hupendi kukikubali wala kukiamini wazi lakini ambacho unacho katika siri ya moyo wako. Sasa, Kwa nini unagombana ya dada yako katika ndoto?

Mimi naamini hivi: Ama unatamani kuwa kama dada yako katika jambo fulani, labda subconciously unahisi yeye ni mrembo kuliko wewe, lakini hilo hutaki kulikubali peupe ila katika siri ya moyo wako. Lakini pia inaweza ikawa sibbling rivalry ambayo haikuisha utotoni, na sasa inaendelea kukusumbua ukubwani. Sibling rivalry ni vita ya kugombea vitu, umaarufu, au kupendwa na wazazi--na hasa mama-- katika nyumba yenye watoto zaidi ya mmoja.

Haya hiyo imekaaje?
 
hbr za ucku wanaf,jaman kuna ndoto huwa inanisumbua sana. huwa naota nagombana sana na dada yangu wa tumbo moja. iwe ni ugomvi wa maneno kupgana au kutukanana ila mara nyng huwa ninamshinda. naichukia sana hii ndoto yan haipiti mwez lazima niiote. Majimoto naomba unipe ushaur juu ya hii ndoto pia wadau wenye idea yoyote naomba msaada..

Charminggirls, uliza tafsiri ya ndoto yako kwa Sheikh rashid (Online) katika sekenke forums link yake ni hii utapa majibu ya kuridhisha Inshallah.
 
mandago,me naeza sema ama kuamini hyo tafsir yaweza kuwa vise versa yan yeye ndo atakuwa anawish kuwa km me make me nimemzd kila ktu in term of uzur,finançîal, kupendwa na wazaz thou me ndo mdogo kwake na kila kitu. je hii imekaaje?
 
mandago,me naeza sema ama kuamini hyo tafsir yaweza kuwa vise versa yan yeye ndo atakuwa anawish kuwa km me make me nimemzd kila ktu in term of uzur,finançîal, kupendwa na wazaz thou me ndo mdogo kwake na kila kitu. je hii imekaaje?

umemtaja mandago ingawa unakuwa kama unarespond kwa post yangu. Vyovyote ilivyokuwa haina shida. Kama unachosema ndiyo hali halisi, basi kuna ukweli hapo, kwamba unahisi kuonewa wivu, na wivu ni conflict. Sasa kwa kuwa unayemhisi anakuonea wivu ni ndugu yako, basi unashindwa kupasua jipu na kugombana naye waziwazi. So, conflict inaenda jificha kwenye subconcious. Inakuwa repressed conflict, na repressed conflict za hasira, hofu au tamaa za mapenzi na mtu fulani huwa na namna ya kujitokeza kwako. Nasikia hata ukiufanyisha kazi sana mwili, mwili unatengeneza conflict na unakuambia habari za hiyo conflict usiku kwa kukupatia ndoto mbaya--jinamizi wanaita. Hii ya kwako ni conflict ya hofu. Na matokeo ndo hayo sasa ya ndoto mbaya unagombana na dada yako, ingawa ungeweza hata ukawa ugomvi na mtu mwingine. Hiyo imekaaje?
 
dah,kaz ipo so ntafanyaje kuondoa hyo hali make inantesa. lakn ktk uhalisia me cjawah kugombana nae!
 
hbr za ucku wanaf,jaman kuna ndoto huwa inanisumbua sana. huwa naota nagombana sana na dada yangu wa tumbo moja. iwe ni ugomvi wa maneno kupgana au kutukanana ila mara nyng huwa ninamshinda. naichukia sana hii ndoto yan haipiti mwez lazima niiote. Majimoto naomba unipe ushaur juu ya hii ndoto pia wadau wenye idea yoyote naomba msaada..

.
Jiepushe sana kutokuwa karibu na mme wake ama rafiki zake wa kiume na yeye vivyo hivyo kwako.
Ninyi wadada hamna simile kula chungu kimoja na mme wa nduguyo.
.
 
dah,kaz ipo so ntafanyaje kuondoa hyo hali make inantesa. lakn ktk uhalisia me cjawah kugombana nae!


Unatumia mtindo wa siku hizi kuandika maelezo yako; ule mtindo wa hawa watoto wetu wanaitwa DOTCOM--yaani vile vifupisho vyenu vya maneno kama kwenye sms. Ili tujadili hii mada yako vizuri, naomba andika maelezo yako kwa lugha ya kawaida inayoeleweka na kila mtu badala ya hizi "lakn ktk uhalisia me cjawah bla bla bla...." Kuna wachangiaji wengine vibabu vijana wa siku hizi mnawaita BBC. Unaweza ukute hata mimi ndo hao hao BBC. Haya, mada yako inajadilika. Try that....
 
asante mkuu Highlander. nilikuwa namaanisha katikd uhalisia sijawahi kugombana nae wala kujibizana nae. ni ndotoni tu.
 
hbr za ucku wanaf,jaman kuna ndoto huwa inanisumbua sana. huwa naota nagombana sana na dada yangu wa tumbo moja. iwe ni ugomvi wa maneno kupgana au kutukanana ila mara nyng huwa ninamshinda. naichukia sana hii ndoto yan haipiti mwez lazima niiote. Majimoto naomba unipe ushaur juu ya hii ndoto pia wadau wenye idea yoyote naomba msaada..

Mimi pia niliwahi kuota ndoto kama yako, nikauliza tafsiri yake kwa Sheikh Mmoja huko Oman akaniambia, mimi natakiwa niende kwa ndugu yangu (nilio muota) nikampe Advice (ushauri, nasiha).
 
Mimi pia niliwahi kuota ndoto kama yako, nikauliza tafsiri yake kwa Sheikh Mmoja huko Oman akaniambia, mimi natakiwa niende kwa ndugu yangu (nilio muota) nikampe Advice (ushauri, nasiha).


Mandago, huyo Sheikh alikuwa na busara sana. Alikuwa anakuzunguka uanzishe mahusiano ya urafiki na huyo ndugu yako kuvunja conflict. Kuna watu wana vipaji vya saikolojia ya kuzaliwa tu, bila kusomea.

hbr za ucku wanaf,jaman kuna ndoto huwa inanisumbua sana. huwa naota nagombana sana na dada yangu wa tumbo moja. iwe ni ugomvi wa maneno kupgana au kutukanana ila mara nyng huwa ninamshinda. naichukia sana hii ndoto yan haipiti mwez lazima niiote. Majimoto naomba unipe ushaur juu ya hii ndoto pia wadau wenye idea yoyote naomba msaada..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom