XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,293
- 6,957
Habari wakuu
Wataalamu wa kutafsiri ndoto, nina swali kwenu. Je ndoto anazoota mtu mchana akiwa amelala zina ukweli wowote kama zile za usiku.
Maana kuna ndoto nimeota (nisingependa kuhadithia) imetinisha na kuninyima raha mpaka muda huu, Je ndoto za mchana zina ukweli?
Wataalamu wa kutafsiri ndoto, nina swali kwenu. Je ndoto anazoota mtu mchana akiwa amelala zina ukweli wowote kama zile za usiku.
Maana kuna ndoto nimeota (nisingependa kuhadithia) imetinisha na kuninyima raha mpaka muda huu, Je ndoto za mchana zina ukweli?