Ndoto ya JPM mwezi mmoja kabla hajafariki.

Ndoto ya JPM mwezi mmoja kabla hajafariki.

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,250
Reaction score
3,451
Akitokea Kijijini Chato akapita Dodoma,akamwapisha Jaji mmoja aliyetoa hukumu kwa lugha ya kiswahili,ndani ya wiki mbili ndani ya Ikulu ya Dodoma akaota ndoto,kwa kiingereza wanasema "nightmare" kesho yake wakiwa jogging na mkewe,akamuhadhithia ile ndoto akamwambia,"Mwenzio Jana usiku nimeota ndoto nafukuzwa na Simba,nilikimbia sana mbele nikaona mlango wa nyumba,mtu mmoja akiwa amevalia vazi jeupe akafungua mlango akaniashiria niingie kwenye ile nyumba ndio ikawa pona yangu". Mkewe akatahamaki kusikia ile ndoto akaitafakari sana lakini hakuichukulia serious,wiki iliyofuata Wakaelekea Morogoro,JPM akafungua soko la Kingalu,akalala pale na kesho yake JPM akaingia Dar na mwezi uliofuatia JPM akaaga Dunia.

Nini tafsiri ya hii Ndoto kwenye ulimwengu wa Kiroho?
 
Akitokea Kijijini Chato akapita Dodoma,akamwapisha Jaji mmoja aliyetoa hukumu kwa lugha ya kiswahili,ndani ya wiki mbili ndani ya Ikulu ya Dodoma akaota ndoto,kwa kiingereza wanasema "nightmare" kesho yake wakiwa jogging na mkewe,akamuhadhithia ile ndoto akamwambia,"Mwenzio Jana usiku nimeota ndoto nafukuzwa na Simba,nilikimbia sana mbele nikaona mlango wa nyumba,mtu mmoja akiwa amevalia vazi jeupe akafungua mlango akaniashiria niingie kwenye ile nyumba ndio ikawa pona yangu". Mkewe akatahamaki kusikia ile ndoto akaitafakari sana lakini hakuichukulia serious,wiki iliyofuata Wakaelekea Morogoro,JPM akafungua soko la Kingalu,akalala pale na kesho yake JPM akaingia Dar na mwezi uliofuatia JPM akaaga Dunia.

Nini tafsiri ya hii Ndoto kwenye ulimwengu wa Kiroho?
Tafsiri yake, kila nafsi itaonja mauti, ametangulia yeye na sisi tunafata
 
Chanzo Cha taarifa
1000031015.jpg
 
Magufuri angeendelea kuwa karibu na Anthony lusekelo huwenda angeepushwa na balaa hilo
Mimi nilisikitika sana hiyo ndoto ni roho ya mauti
 
Chawa wa enzi za jiwe umerudi?

Leo umesahau kuweka namba ya simu.
 
Hata huyu kwa haya mauaji ya wapinzani yanayoendelea ....hachukui raundi ....tena huyu atakufa kifo kibaya sana na kizazi chake hawatokuwa na amani na furaha
 
Akitokea Kijijini Chato akapita Dodoma,akamwapisha Jaji mmoja aliyetoa hukumu kwa lugha ya kiswahili,ndani ya wiki mbili ndani ya Ikulu ya Dodoma akaota ndoto,kwa kiingereza wanasema "nightmare" kesho yake wakiwa jogging na mkewe,akamuhadhithia ile ndoto akamwambia,"Mwenzio Jana usiku nimeota ndoto nafukuzwa na Simba,nilikimbia sana mbele nikaona mlango wa nyumba,mtu mmoja akiwa amevalia vazi jeupe akafungua mlango akaniashiria niingie kwenye ile nyumba ndio ikawa pona yangu". Mkewe akatahamaki kusikia ile ndoto akaitafakari sana lakini hakuichukulia serious,wiki iliyofuata Wakaelekea Morogoro,JPM akafungua soko la Kingalu,akalala pale na kesho yake JPM akaingia Dar na mwezi uliofuatia JPM akaaga Dunia.

Nini tafsiri ya hii Ndoto kwenye ulimwengu wa Kiroho?
Rip jpm
 
Akitokea Kijijini Chato akapita Dodoma,akamwapisha Jaji mmoja aliyetoa hukumu kwa lugha ya kiswahili,ndani ya wiki mbili ndani ya Ikulu ya Dodoma akaota ndoto,kwa kiingereza wanasema "nightmare" kesho yake wakiwa jogging na mkewe,akamuhadhithia ile ndoto akamwambia,"Mwenzio Jana usiku nimeota ndoto nafukuzwa na Simba,nilikimbia sana mbele nikaona mlango wa nyumba,mtu mmoja akiwa amevalia vazi jeupe akafungua mlango akaniashiria niingie kwenye ile nyumba ndio ikawa pona yangu". Mkewe akatahamaki kusikia ile ndoto akaitafakari sana lakini hakuichukulia serious,wiki iliyofuata Wakaelekea Morogoro,JPM akafungua soko la Kingalu,akalala pale na kesho yake JPM akaingia Dar na mwezi uliofuatia JPM akaaga Dunia.

Nini tafsiri ya hii Ndoto kwenye ulimwengu wa Kiroho?
Taarifa za Maghufuri Kuota Ndoto ambayo alimhadithia Mke wake tu...!

Wewe ulihadithiwa na nani!?
 
Akitokea Kijijini Chato akapita Dodoma,akamwapisha Jaji mmoja aliyetoa hukumu kwa lugha ya kiswahili,ndani ya wiki mbili ndani ya Ikulu ya Dodoma akaota ndoto,kwa kiingereza wanasema "nightmare" kesho yake wakiwa jogging na mkewe,akamuhadhithia ile ndoto akamwambia,"Mwenzio Jana usiku nimeota ndoto nafukuzwa na Simba,nilikimbia sana mbele nikaona mlango wa nyumba,mtu mmoja akiwa amevalia vazi jeupe akafungua mlango akaniashiria niingie kwenye ile nyumba ndio ikawa pona yangu". Mkewe akatahamaki kusikia ile ndoto akaitafakari sana lakini hakuichukulia serious,wiki iliyofuata Wakaelekea Morogoro,JPM akafungua soko la Kingalu,akalala pale na kesho yake JPM akaingia Dar na mwezi uliofuatia JPM akaaga Dunia.

Nini tafsiri ya hii Ndoto kwenye ulimwengu wa Kiroho?
Kwenye ndoto mlango huashiria mambo matatu tu.MKE,RIZIKI NA KABURI.madhali alishamwona mtu mwenye nguo nyeupe ni dhahiri mlango uliashiria kifo.WADHANI MLANGO UTAFUNGUKA TENA?MBONA KUTUKUMBUSHA KATIKA ZAMA HIZI.
 
Back
Top Bottom