Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,386
- 5,956
Japo Hayati Magufuli aliwahi kuniudhi kwenye maeneo fulani, lakini leo nimefurahi kwa kuwa Tanzania imefanikiwa kuwa a Donor Country.
Haya yalikuwa ni maono yake kuiwezesha nchi yetu kuwa msaada kwa wengine. Sasa tunaona tukiisaidia Uturuki, Malawi n.k.
Mungu baba wa Mbinguni amuhurumie mja wake huko alipo.
Haya yalikuwa ni maono yake kuiwezesha nchi yetu kuwa msaada kwa wengine. Sasa tunaona tukiisaidia Uturuki, Malawi n.k.
Mungu baba wa Mbinguni amuhurumie mja wake huko alipo.