secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 15,167
- 28,194
Jana usiku sikulala mapema kwa kuwa nilikuwa naperuzu humu hadi saa nane usiku.
Asubuhi nilienda kanisana kama kawaida yangu. Sasa kwa sababu sikupata usingizi mzuri usiku nikaanza kusinzia kanisani na hatimaye nililala fofofo kiasi cha kutosikia kilichosemwa na padre.
Ghafla nikaanza kuota. Nikaona watu (watanganyika) wakiandamana kwa wingi na Maandamano yale yalianza kimasihara baada ya vijana wawili kusema "twendeni tukawatoe Samuya na raisi wa mawe..."
Bila kuchelewa nilijumuika nao huku tukiimba nyimbo za kuwadhihaki wahuni na kuwatishia kuwakata makende nami ndiye nilikuwa naanzisha hizo nyimbo.
Isivyobahati nikashtuka usingizini na kujikuta niko mwenyewe kanisani, waumini wameshatawanyika muda mrefu. Kwa kweli niliona aibu sana.
Haya wajuzi waje wanieleze maana ya ndoto hii ya mchana.
Mshana Jr.
Asubuhi nilienda kanisana kama kawaida yangu. Sasa kwa sababu sikupata usingizi mzuri usiku nikaanza kusinzia kanisani na hatimaye nililala fofofo kiasi cha kutosikia kilichosemwa na padre.
Ghafla nikaanza kuota. Nikaona watu (watanganyika) wakiandamana kwa wingi na Maandamano yale yalianza kimasihara baada ya vijana wawili kusema "twendeni tukawatoe Samuya na raisi wa mawe..."
Bila kuchelewa nilijumuika nao huku tukiimba nyimbo za kuwadhihaki wahuni na kuwatishia kuwakata makende nami ndiye nilikuwa naanzisha hizo nyimbo.
Isivyobahati nikashtuka usingizini na kujikuta niko mwenyewe kanisani, waumini wameshatawanyika muda mrefu. Kwa kweli niliona aibu sana.
Haya wajuzi waje wanieleze maana ya ndoto hii ya mchana.
Mshana Jr.