Mountainmover
Member
- Nov 9, 2010
- 46
- 9
Nimekuja kuwapa changamoto...nahamisha milima
Nimekuja kuwapa changamoto...nahamisha milima
Huyu mgeni mtata, by the way tumkaribishe na tusubiri kuona hiyo milima inavyohamishwa.changamoto zipi hizo mkuu? na milima inaihamisha toka wapi kwenda wapi?...
wewe umekuwa mods?kama sikosei utakuwa umeingia cha kike,,humu ndani huwezi kuondoa mtu ....wewe mwaga hoja zako watu watakujibu na kuzijadiliMilima ni matatizo yaliyo kwenye jamii yetu. Kama kuna watu hapa jamvini ni tatizo then their days are numbered.
'Where there is no vision people perish'
wewe umekuwa mods?kama sikosei utakuwa umeingia cha kike,,humu ndani huwezi kuondoa mtu ....wewe mwaga hoja zako watu watakujibu na kuzijadili