Ndondondo si chururu

Milima ni matatizo yaliyo kwenye jamii yetu. Kama kuna watu hapa jamvini ni tatizo then their days are numbered.

'Where there is no vision people perish'
 
Milima ni matatizo yaliyo kwenye jamii yetu. Kama kuna watu hapa jamvini ni tatizo then their days are numbered.

'Where there is no vision people perish'
wewe umekuwa mods?kama sikosei utakuwa umeingia cha kike,,humu ndani huwezi kuondoa mtu ....wewe mwaga hoja zako watu watakujibu na kuzijadili
 
haya bwana karibu .......
lakini kuna waataaalum sana huku ndani
ambao wameshazileta hizo changamoto..
itakuwa fresh kusikia za kwako pia...
na milima angalia isije ikawa mizito sana
ikakuhamisha wewe....
take it easy and take care:peace:
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom