Ndoa zina matukio jamani

Kwa wanaume ,....Usioe km hujakomaa kiuchumi, kimwili na kiroho....
Ndoa sio agano la wavulana
Ndoa ni agano ambalo wanafanya wanaume kamili waliopevuka...
Ndoa haiendeshwi na mwanamke....mwanaume ndio dereva wa ndoa, ukishindwa kuiendesha jilaumu mwenyewe, usihamishe lawama.

Tatizo wavulana wengi wanaparamia kuingia kwenye hii taasisi bila kujipanga na ndio wanaokuja humu majukwaani na slogan "kataa ndoa" ... kisa yeye imemshinda.

Ushauri,
Oa/olewa na anayekupenda na mwenye hofu ya Mungu.
Km wewe mwenyewe huna hofu ya Mungu usioe au usiolewe, yatakushinda...hiyo ni taasisi ya ki-Mungu, soul mbili zilizopata malezi tofauti haziunganishwi kienyeji.
 
Oya mwanangu Mmarekani eeh... huyo Aaliyyah Si mwanao na mnabonga fresh tu?! πŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ€”

Nipakie kilainishi basi nikiingiza mistari yangu iteleze tu mtoto anielewe, nipitishwe bila kupingwa πŸ₯ΊπŸ₯Ί
πŸ˜‚ umeshajua kwamba Aaliyyah ni KE?

We komaa mi sifahamiani nae tunakutana tu majukwaani, au nasema uongo Aaliyyah ?
 
Matatizo ni mengi ndugu.kikubwa busara na uvumilivu
Ndoa ni mapatano ya watu wawili,na mkubaliano.tmekubaliana tutamove on na kuachana na maex we inawasiliana nao unatarajia nini

Hapo kwa kupemda muonekano sio tabia nako ni kipengele kingine
Uvumilivu watu hawana kabisa, changamoto kudogo tu mtu anadai au kutoa talaka . Talaka imekua fashion mpaka watu wanafanya parties kusherehekea.
 
Nimefika umri wa kuoa lakini nawaza sana kufanya maamuzi kuoa, maana kwenye maisha yangu nachukia sana tabia ya kuoa na kuacha alafu zama hizi hakuna utulivu kwenye ndoa ni ndoa chache sana zenye migogoro yenye kuvumilika nyingi zina migogoro isiyovumilika.
 
Oa..huwezi jua inaweza kuwa tofauti
 
Tulia kwanza kula maisha πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…