Ndoa zina changamoto nyingi sana

Ndoa zina changamoto nyingi sana

Gubu hili mara nyingi zinahusu mchepuko, hapa mwanaume amekosa majibu ya maswali magumu.
Hili napinga sababu sikuwahi kuwa malaya maishani ila mwanamke alinifunza kutafta faraja nje sababu ya makelele yasiokoma😁😁😁
 
Au imegundulika kuna miamala ya school fees unafanya ya mtoto asiyejulikana, wakati mnadaiwa rent ya miezi mitatu sasa.
Hivi inakuwaje hii ya kushindwa kuwajibika nyumbani na kutekeleza pembeni kwa 100%!
 
Hahàhah unafukuzia mbali😁😁😁 af wanafanyaga makusudi hivyo vitimbi vyao siku ya kumtimua anaeza lia kama mtoto asijue la kufanya😁
Huwa tuna check temperature, ikiwa high huthubutu lakini ikiwa low tunaipelekesha.
 
Mimi nilipoteza furaha na aman ya moyo wangu siku nilivyozama ndoani ..sasa ngoma ni zaidi ya moto.
 
Sijawahi kuoa na sifikirii kuoa kwa kipindi hichi ila hiii siwez kuirusuhi maishani mwangu furaha yangu na utulivu wa mwili na akili ndo vitu vya muhimu kuliko chochote na nita vilinda kwa gharama yoyote
Umejikatia tamaa
 
Hahàhah unafukuzia mbali af wanafanyaga makusudi hivyo vitimbi vyao siku ya kumtimua anaeza lia kama mtoto asijue la kufanya
Huo wakati analia ndo muda wa kumuonesha hutanii....yaani anakutana na kelebu moja....anazindukia roundabout ya KCMC
 
Ushaoa au bado?

Hata baunsa aliye oa kimbau mbau anaeza kwidwa ndani mwake kama kawa
Sijaoa na sifikirii hilo.
Niliwahi kuishi na mwanamke kama wiki 3 hivi ila nilinyooka. Siku nikajiuliza,yaani huyu ndo sababu ya mimi kukosa raha?

Basi siku moja kaamka na kisirani kama kawaida yake. Nikamuambia aandae chai,akaenda kinyongee......alipoileta hata hakunywa akaniambia anataka kwenda kwa mamaake. Nikamuambia asienda hajapika cha mchana.

Eti muda uleule akaenda kupika...alipika mboga haikuiva,ugali mbichi,kaleta na masahani ya mpira. Nikaamka nikamuambia anawe tule.....akagoma. Dah....mvunguni kwangu nakuaga na stick moja hivi konki ya msenefu....nikaidaka. Alishtukia moja ya bega.....nikalabua ya mapajani....akakaa.....namuambia kula huo ugali anadai mbichi.....so alikusudia. Aisee nilikung'uta...aliula ule ugali wote.

Alipomaliza nikampa kila kilicho chake akasepa. Mpaka sijui kama alishafika kwao tangu 2015.

Hadithi yangu ikaishia hapo.
 
Alikuwa anakula MKE wa abiria wake ambaye NI dereva wa malori ya mkoa
JAMAA akisafiri dogo anaenda kulala Kwa JAMAA watu wakamwambia JAMAA dogo anakula mkeo
JAMAA akamfuata dogo akamwambia dogo unatembea na MKE wangu dogo akakataa.
JAMAA akapanga safari ya uongo.pale kwake akaweka mpelelezi dogo alivyoingia Tu.
Akapigiwa simu akachukua masela wake wawili wakaenda Kula tigo.
Kisa nini mkuu?
 
Kuna wanawake ni moto, kiwanja unanunua mwenyewe nyumba unajenga kwa pesa yako. Unatafta mke unamuoa unaeka ndani baada ya miezi sita unaogopa kurudi nyumbani kisa tu yule kiumbe kipya ulichokioa yani nyumba ni yako unaogopa kurudi.
Kama uwezo upo unapambana unajenga nyingine na unamweleza kabisa nina nyumba nyingine, ukiwa unanitibua naenda kulala huko.
 
Alikuwa anakula MKE wa abiria wake ambaye NI dereva wa malori ya mkoa
JAMAA akisafiri dogo anaenda kulala Kwa JAMAA watu wakamwambia JAMAA dogo anakula mkeo
JAMAA akamfuata dogo akamwambia dogo unatembea na MKE wangu dogo akakataa.
JAMAA akapanga safari ya uongo.pale kwake akaweka mpelelezi dogo alivyoingia Tu.
Akapigiwa simu akachukua masela wake wawili wakaenda Kula tigo.
Hahaha safi hiyo...
 
Back
Top Bottom