Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,650
Katika Biblia Jacob alifanikiwa kuzaa na wanawake 4, kupitia hao wanawake 4 akazaa nao watoto 13, na hapo ndipo yakapatikana mataifa 12 ya Israel, hili limekaaje? Sasa kama Jacob alikuwa na wanawake 4, kwanini na mimi nisiwe na wanawake 4?
Wajuzi wa biblia mje hapa, waislamu tafadhali sana msilete matusi wala chuki za kidini.
Wajuzi wa biblia mje hapa, waislamu tafadhali sana msilete matusi wala chuki za kidini.