Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 1,969
- 5,919
Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya Wana JF.
Ndugu kama kichwa cha habari kinavyo sema hapo .
Kumekuwa na mkanganyiko mkubwa sana ndani ya ndoa za siku hizi especially ndoa nyingi za kikristo zina yumba sana huku tukiona baadhi ya ndoa za kiislamu zikiwa zinadumu zaidi japo kunabaadhi zina yumba pia ila zinadumu sana kwa muda mrefu bila kuvunjika.
Je, ni nini kinapelekea hasa ndoa hizi za kiislamu kudumu zaidi nakuonyesha kuwa na amani ukilinganisha na hizi za kikristo na nini kifanyike ili kuimarisha hii taasisi ya ndoa za kikristo ?
Nakaribisha maoni yenu.
Ndugu kama kichwa cha habari kinavyo sema hapo .
Kumekuwa na mkanganyiko mkubwa sana ndani ya ndoa za siku hizi especially ndoa nyingi za kikristo zina yumba sana huku tukiona baadhi ya ndoa za kiislamu zikiwa zinadumu zaidi japo kunabaadhi zina yumba pia ila zinadumu sana kwa muda mrefu bila kuvunjika.
Je, ni nini kinapelekea hasa ndoa hizi za kiislamu kudumu zaidi nakuonyesha kuwa na amani ukilinganisha na hizi za kikristo na nini kifanyike ili kuimarisha hii taasisi ya ndoa za kikristo ?
Nakaribisha maoni yenu.